Hello wana JF,
Jamani kiukweli soko la ajira kwa sasa ni gumu kilichobaki vijana tujiajiri lakini tutajiajiri vipi wakati hatuna mitaji,Mtu unakuta uko mtaani mwaka wa 7 huu na cheti chako cha Business Administration au Uhasibu n.k.
Sasa rasilimali pekee ambayo nafikiri ni kutumia tu akili...
Habari zenu ndugu.
Ninaye kijana wangu ambaye anaelekea kuhitimu masomo ya sekondary na amekuwa akichukua masomo ya biashara kulingana na uwezo wake... japo kama mzazi nilipenda achukua masomo ya Sayansi ila yeye akapenda biashara kwa hiyo nikamsupport.
Sasa kwa mliopitia masomo ya biashara...
Wadau wote, wanahitajika wasomi wenye degree walau za masoko au za afya aina yoyote au ofisa mauzo wenye weledi kwa ajili ya masoko ya huduma za afya, lengo ni kuuza system za IT kwenye hospitals za private na za serikali na kwamba maofisa hawa watafanya kwa mikataba ya muda mfupi mfupi wenye...
Wana JF naomba kuulizia ni kampuni au ofisi ipi yenye uwezo wa kufanya Marketing na promotion ya bidhaa kama ya mafuta ya kula wawe wamesajiliwa na wana uwezo wa kutoa document za risiti, proforma invoice na delvery note.
Promotion inatakiwa ifanyike Arusha, Dar, Kilimanjaro na Manyara kama...
Siku hizi suala la Marketing limehamia mtandaoni, si Tv, magazeti, mabango, wala Radio zinazoweza kushindana na digital katika kutangaza.
Nimekuwa natangaza biashara facebook/insta. Ni msitu mkubwa na changamoto ni nyingi. Na ili upate matokea yote inabidi kuielewa vizuri. Bado najifunza lakini...
Habari zenu wakuu?
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, naomba ushauri nisome Master's ipi kati ya hizo nilizozitaja? Na kama kuna chuo kizuri unakifahamu kwa masomo hayo usisite kunishauri, faida na hasara za kusoma kozi hizo pia ningependa kuzijua. Binafsi nafirikia kwenda UDOM...
Habari za majukumu?
Naomba mtu yeyote anisaidie details za kampuni zinazofanya door to door marketing.
(Maarufu kama watu wa promotion, na wanauza bidhaa mchanganyiko kama vile vipodozi, sabuni, vyombo n.k kwa kuvitembeza mtaani)
Nahitaji kupata details zifuatazo
1. Jina la kampuni
2. Mahali...
Marie Stopes Tanzania (MST), a Non-Governmental Organization, is a social enterprise and a leading provider of family planning, sexual and reproductive health care and allied services. MST is a partner of the Government of Tanzania and a member of the Marie Stopes International (MSI) Global...
Sales and Marketing (3 positions)
Dar Es Salaam
Morogoro
Mbeya
Three People with At least Diploma who can do Sales and Marketing.
The Candidate should be fluent in English and Swahili.
Should have high convincing skills.
Should be Innovative and creative in Sales, Marketing and Self-Management...
Marketing Specialist
Post: Marketing Specialist (01)
Employer: TNUNU COMPANY LIMITED
Department: Sales and Marketing
Report to (Position) Managing Director
Duty Station Kasulu
Working days/Hours Monday-Friday 40-45 hours/week, occasional weekend and Holidays
Travel Frequent travel to Market...
A Professor explains MARKETING to MBA students; What's your favorite?
1. You see a gorgeous girl at a party. You go up to her and say “I am very rich. Marry me”.
That’s Direct Marketing.
2. You are at a party with a bunch of friends and see a gorgeous girl. One of your friends goes up to her...
JOB VACANCIES AT EPIQ PLUS LIMITED
Epiq Plus Limited is an advertising based company located in Dar Es Salaam, We are now looking for eight (8) competent and experienced Sales and Marketing personnel who will work hand to hand to ensure maximum results to our entity.
Position: Sales and...
Habari wakuu
Moja kwa moja kwenye mada, nina mpango wa kuingia katika biashara ya mtandao(Network Marketing), asilimia 80% ya maoni niliyoyapata kwa watu wa karibu ni negative; yaani wanaamini huko nitaenda kutapeliwa.
Ninaombq wana JF wale ambao mna ufahamu wa kutosha na huenda mlio kwenye...
Position: Marketing Officer (6 Posts)
JOB ANNOUNCEMENT
The CEO of the Company CPL T GRAIN PROCESSING AND STORAGE C LTD YES SEMBE located Maili moja - Loliondo KIBAHA PWANI once again Announces qualified citizens willing to work at CPL T GRAIN PROCESSING AND STORAGE CO LTD that there are 6...
Location: Shinyanga, Tanzania
Overview
FHI 360 is a nonprofit human development organization dedicated to improving lives in lasting ways by advancing integrated, locally driven solutions. Our staff include experts in Health, Education, Nutrition, Environment, Economic Development, Civil...
Habari wakuu.
Wazo la mradi wa biashara ya matangazo.
Wazo linahusiana na kufungua kampuni itakayokuwa inatoa huduma ya kufanya matangazo ya kibiashara katika mfumo wa kidigitali (digital Marketing agency),katika mfumo na mtindo ambao Tanzania haujafanyika bado,kwa nchi nyingine tayari...
Sales and Marketing
Hyperactive Equipment and Engineering Technology Limited
Join Us.
Are you a recent University Graduate with first degree honors in it related fields. Hyperactive Equipment and Engineering Technology Limited is looking to recruit one graduate in Sales and Marketing position...
https://www.linkedin.com/jobs/view/2315558137/
Fuateni hiyo link linkedin
Summary
The Marketing Manager will be responsible for all marketing initiatives that would grow our customer base in all our focus countries throughout the region. Their goal is to build Xiaomi into a mainstream consumer...
Tunapenda kutangaza nafasi ya kujitolea kufanya kazi kwa kipindi cha miezi mitatu (3) katika idara ya Sales and Marketing.
Allowance ya nauli (TSH 180,000) itatolewa kila mwisho wa mwezi
Chakula cha asubuhi na mchana kitatolewa uwapo kazini
Hakutakuwa na mshahara zaidi ya allowance ya nauli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.