maswali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wababa13

    Maswali yanayotoka kwenye Tax Management Assistant II ni ya muundo upi?

    Habari za muda huu. Naomba kufahamu kwenye hizi nafasi za kazi TRA kwenye kipengele cha Tax management assistant II ni maswali gani wanatoa na yanatoka kwenye kitabu kipi? Note:- diploma holder
  2. Mfagio

    Msaada maswali ya programming/ Developer

    Naomba msaada wa maswali ya programming/Developer wanayopenda kutoa utumishi kwenye mitihani yao , naomba kutanguliza shukrani.
  3. Idugunde

    TANZIA Profesa Honest Ngowi afariki dunia kwenye ajali Mlandizi Pwani. Alikuwa mhadhiri Chuo Kikuu Mzumbe

    Habari Wote. Makamu Mkuu wa Chuo Prof. Lughano Kusiluka anasikitika kutangaza kifo cha Prof. Honest Ngowi na Dereva wake, waliofariki asubuhi ya leo kwa ajali ya gari wakiwa njiani kuja Kampasi Kuu Morogoro. Tunaomba muwe watulivu wakati Menejiementi inaendelea kufuatilia taarifa kamili ya...
  4. kavulata

    Maswali yote kuhusu mechi ya Simba kuchezwa saa 4 usiku asiachiwe Ahamed Ally kuyajibu

    Mechi kati Simba vs US Gendamarie itachezwa saa 4 usiku siku ya jumapili kuamkia jumatatu siku ya kazi. Hii ni mara yetu ya kwanza kuwa na kitu kama hiki nchini kwetu. Inafahamika kuwa Uwanja wa Mkapa uko pembeni mwa jiji hasa kwa watu wanaotoka Ilala, Kinondoni, Ubungo, Kawe, Bagamoyo, Kibaha...
  5. K

    Maswali ya interview Mbeya cement

    Kwema guys? Tusichokane jamani,nimetwa kwenye interview mbeya cement nafasi ya finance. Naomba kuuliza maswali gani huwa wanauliza,na mshahara wao huwa ni kiasi gani?
  6. M

    Maswali yote kuhusu wanunuzi wa gesi ya Urusi yamejibiwa hapa na utaratibu wote umefafaniliwa

    Hapa yapo maelezo ya kina kuhusu utaratibu wa Nchi zilizoiwekea vikwazo Urusi kununua gesi kwa Rouble!! Kama Kuna atakayejitolea kutafsiri kwa kiswahili itapendeza Sana Ili watu wote wajue kinachoendelea. Kuna watu wanaongea kishabiki tu hata hawajui utaratibu itakayotumika! 1. What paying for...
  7. mathsjery

    Tupromote hii project: Unakaribishwa kwa maswali

    Tunapenda mitaa yetu iendeshwe kidijitali. Hivyo tumejaribu kuleta suluhisho mahususi katika kuboresha huduma za serikali za mitaa nchini, lengo ni kurahisisha upatikanaji wa huduma hizo popote pale hatakama huko mbali basi ni rahisi kupata taarifa zako au nyaraka muhimu kutokea mtaani kwako...
  8. I

    Msaada jamani wenye kujua maswali ya position ya recovery loan specialist.

    Nimeitwa kwenye interview bank ya access micro finance nikafanye written interview lakini mwenye a,b,c ya maswali naomba anisaidie
  9. F

    Maswali 10 juu ya wabunge 19 wa Chadema

    Kufuatia kauli ya mwenyekiti wa CHADEMA taifa Mhe, Freeman Mbowe ya kuwa CHADEMA hakijawahi teu wabunge wa viti maalumu kama inavyotakiwa na katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Kuna maswali mengi juu ya wabunge hawa 19. 1.Nani? aliorganize ili kupata majina hayo 19. 2.Nani? alipeleka...
  10. Mshamba wa kusini

    Sahili za vitendo (practical) kada network administrator wanatoa maswali ya namna gani?

    Habari Nimeitwa kwenye practical ya utumishi kada network administrator, ningependa kupata hints jinsi namna maswali yanavyotoka na ni part ipi nijiandae vizuri.
  11. BAKIIF Islamic

    Al-Barzakh: Haya ndio Maisha ya Kaburini baada ya kufa

    Kufa ni nini? Kufa ni hali ya roho kuepukana na kiwiliwili, au kufa ni kukatika matumizi ya roho kwa kiwiliwili na kukosa kiwiliwili ambayo ndio ala yake na kumuepusha mtu na mali yake na watoto wake na mke wake. Kufa kunakata utamu wa maisha ya kiulimwengu na kwenda ulimwengu mwingine. Mtu...
  12. Equation x

    Jiulize haya maswali unapokuwa kwenye mahusiano

    Fumba macho kwa dakika 10 hapo ulipo, kisha tafakari yafuatayo:- Ni nani atakuwa na wewe, bega kwa bega ukiwa gerezani? Ni nani atakuwa na wewe, ukiwa kwenye ugonjwa mahututi? Ni nani atakuwa na wewe, pale utakapopata ulemavu? Ni nani atakuwa na wewe, pale familia itakapofariki? Ni nani atakuwa...
  13. exalioth

    Majibu ya Chid Benz kwenye "red carpet" ya Mahaba Ndi Ndi Ndi

    Utapenda jinsi Chid Benz alivyokuwa akiulizwa maswali na mtangazaji pale Mlimani City, Siku ya Wapendanao wakiwa Red Carpet usiku wa mahaba ndi ndi ndi Mtangazaji: Nakuona umevaa umependeza CHID BENZ : Nalijua hilo Mtangazaji: Hatujawahi kukuona na mtoto mzuri kama huyu CHID BENZ: Huyu sio...
  14. kikoozi

    Mwenye kujua maswali ya oral ya PCCB-2022 msaada

    Kuna mtoto wa mdogo wangu amechaguliwa kwenye oral ya pccb, sasa ananiuliza baba mkubwa maswali ni yapi wanatoa nimemuambia ngoja nimuulizie kwa watu. Kwaiyo naomba mwenye uelewa kwenye maswali ya oral ya TAKUKURU (PCCB) msaada wenu ili uyu mtoto aweze kupata nafasi ya kazi maana amekaa sana...
  15. nyeupe7

    Naomba kufahamu kuhusu Research

    1. Components of research design 2. Analysis of research is done in stages. Explain
  16. J

    Nataka kujua kwa wale waliofanya interviews za ICT Officer DUCE

    Wadau humu ndani. Nilikuwa nataka kujua kwa wale waliofanya interviews za ICT Officer DUCE tarehe 05/01/2022 mifumo ya maswali ilikuwaje kwa Kada za Business Analysts, Network Administrator, System Design and Development na User and Support kwa paper za written. Siyo mbaya kwa waliofanikiwa...
  17. K

    Wachambuzi wa siasa za kimataifa naomba mnijibu maswali yangu haya kuhusu taifa la USA

    Mnafahamu kuwa kwa Sasa mgogoro baina ya Ukraine na Urusi ,unaonekana kuwa Kati ya Urusi na Marekani? Yaani sasa hivi ni majibizano kati ya Joe Biden na Vladimir Putin? Kwanini Marekani kashikia bango mgogoro huu? Kwanini Urusi anashauri NATO isiiunge Ukraine? Lakini kwa Nini Marekani...
  18. Suley2019

    Yaliyojiri kesi ya Mbowe 01/02/2022. Luteni Denis Urio amaliza kutoa ushahidi wake. Shahidi wa 13 kuanza 04/02/2022

    Habari Wakuu, Leo 01/ 02/ 2022 shahidi wa 12 Denis Urio amemaliza kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3. Kujua Kesi ilipoishia fungua kiungo hiki: Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa...
  19. karv

    Maswali ya kujiuliza kabla hujaamua kuingia kwenye ndoa

    Habari zenu watanzania wenzangu hasa kwa wale ambao bado hamjaoa Nimepata kitu nimeona ni bora kuchangia na nyie ambao mnatarajia kuoa siku za mbeleni. Mambo yenyewe ni hayo hapo Kwa nini ufungue ndoa na mtu? ~Usifunge ndoa sababu ya msukumo mkubwa wa kihisia au watoto (sababu ya mimba) au...
  20. KAGAMEE

    Wana-Simba, naomba mjibu maswali yafuatayo

    1. Bado mnaamini mna timu bora? 2. Bado mnaamini GSM anawahujumu? 3. Bado mnaamini mnakamiwa? 4. Bado mnaamini Simba Sc itawapa raha msimu huu kwa soka safi? 5. Bado mnaamini timu yenu ipo competent kupambana shirikisho? 6. Bado mnaamini Mo ni muwekazaji kwenye timu yenu? 7. Bado mnaamini...
Back
Top Bottom