matatizo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Mchambuzi: Wapinzani Tanzania wajivue gamba siasa wanazofanya haziakisi utashi wao kutatua matatizo yaliyopo

    Akizungumza jioni hii kupitia kipindi cha BBC kinachotathimini mwekekeo wa mambo katika mwaka tuanaouanza, mchambuzi huyo amesema kwa upande wa Tanzania wapinzani wanatakiwa wajifungie na kujivua gamba. Amesema vyama vya upinzani vinapaswa kujitazama upya namna vinavyofanya siasa na hali ya...
  2. Avith almachius

    Matatizo yanayotokana ukosefu wa lishe bora kwa mtoto kipindi akiwa Tumboni na baada ya kuzaliwa

    Jamii nyingi za Kiafrika zinasumbuliwa na tatizo ugonjwa wa akili kwasabab nyingi moja ikiwemo. 1. Ukosefu wa lishe bora: Ambapo watoto wanakosa lishe wakina ndani na nje baada ya kuzaliwa ambapo inapelekea kuwepo na changamoto nyingi zinazosababishwa na matatizo ya kukosekana kwa Afya ya Akili...
  3. The Boss

    CRDB Wana matatizo gani?

    Siku hizi kila nikiwa nahitaji huduma za kibenki hasa nikiwa Kkoo au posta nikienda Tawi lolote la Crdb lazima nipate maudhi. Hadi najiuliza ni Mimi Tu nnaeona kuna shida mahal? Asubuhi moja nimejikuta kwenye foleni ya ATM posta Azikiwe street, imagine foleni ya ATM. Nahisi hii bank imeelemewa...
  4. TheForgotten Genious

    Si kwamba wanaojiua kutokana na matatizo ama changamoto za kimaisha hawawashirikishi watu

    Kumekuwa na wimbi kubwa la watu kujiua kwa namna tofautitofauti kutokana na changamoto za kimaisha, ndoa, kiuchumi nk. Wengi tumekuwa tukisema "Ongeeni na watu" kuhusu matatizo ili pengine yatatuliwe, wanaamini kwamba wahanga hawawashirikishi watu wakati sivyo. Watu wengi wanafanya maamuzi...
  5. BARD AI

    TANESCO: Matatizo ya Umeme kutengemaa ifikapo Februari 2023

    ITIHADA ZILIZOFANYIKA ZA KUKABILIANA NA HALIYA UPUNGUFU WA UMEME Mnamo siku ya Jumatano, tarehe 23 Novemba 2022. Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) lilitoa taarifa ya hali ya upungufu wa umeme pamoja na kueleza jitihada za muda mfupi, wa kati na mrefu zilizopangwa kuchukuliwa iii kukabiliana...
  6. Suzy Elias

    Mwigulu: Acheni ubingwa wa kuorodhesha matatizo

    Ameyasema hayo huko Arusha leo.
  7. BARD AI

    Air Tanzania yasimamisha Ndege zote za Airbus A220 kutokana na matatizo ya injini

    Shirika la Ndege la Air Tanzania linatathmini hali ya Ndege zake ili kuziba pengo linalojitokeza katika kutoa huduma lililosababishwa na kusimamishwa kwa Ndege zake za Airbus A220 kutokana na matatizo ya injini. Kwa mujibu wa taarifa, Ndege moja ya A220 ya ATCL iliruka mara ya mwisho Januari 3...
  8. Suzy Elias

    Warioba: Siyo wakulima pekee wenye matatizo bali hata wafugaji na machinga nalo hilo ni janga!

    Waziri Mkuu Mstaafu mzee Sinde Warioba ameunga mkono hoja ya matatizo ya Wakulima na ameitaka Serikali isikwepe wajibu wake wa kuwatimizia matakwa yao na isipumbazwe na kundi la wapiga masifu ya hovyo. Vilevile mzee Warioba ameitaka Serikali kushughulikia tatizo la Wafugaji na Machinga kwa...
  9. The Burning Spear

    Ndugu Nape Nnauye umeona kombe la dunia ndiyo kipaumbele kuliko matatizo mengine?

    Ewe bwana mdogo nape, nimeiona kauli Yako juu ya malalamiko ya watu juu ya uonyeshwaji wa kombe la dunia Sasa wakati tunalalamika na vifurushi Kwa Zaidi ya mwaka mzima hujatoka hadharani kukemea. Msitufanye kama watoto wadogo, kutupa makopo tuchezee huku mnapiga madili. Acheni kabisa hizo...
  10. Ali Nassor Px

    Matatizo yaliyopo kwenye mitandao ya kijamii

    Nadhani kila moja anajua kama dunia sasa imekuwa kijiji kwa kuunganishwa na simu . yani mitandao ya kijamii (social media). Na sijui niseme uzuri au ubaya wa mambo humu kwenye mitandao ya kijamii kumekuwa na makundi ya watu wa aina mbalimbali . na makundi hayo yanazalishwa na kutoka na ulewa...
  11. M

    Kumpatia Majaliwa ajira Zimamoto, kumpelekeka Bungeni na kumpatia mil 5 sio suluhu ya matatizo ya taifa letu

    Tuna changamoto lukuki kama taifa ambazo zinatakiwa kupatiwa suluhu na serikali kupitia vyombo vya dola na wala sio porojo za kisiasa. Tuna majambazi, panya road na vibaka. Wanasumbua kwa zaidi ya miaka ishirini. Hapa napo tusaidiwe na akina majaliwa? Tuna wahamiaji haramu kibao wanaishi na...
  12. The Burning Spear

    Enyi viongozi wa CCM acheni kumsingizia Mungu kwa matatizo yenu

    Mimi kama mkristu kamili. Amri ya pili inasema "usilitaje bure jina la mungu wako". Viongozi wa dini mko wapi kukemea jambo hili ovu. Nimesikia mara ya tatú mhimili wa serikali inamsingizia Mungu. 1. Mgao wa umeme last year makala alisema serikali haina namna tumwombe Mungu mvua inyeshe. 2...
  13. NetMaster

    Hongera kwa Ruto kutowarembea M23, Akiwa mpole Kenya Magharibi itaanza kuchezewa kama Congo, M23 = Rwanda + Uganda

    Mwanzoni mtoto wa M7 alikuwa anapima kina cha maji kutesti reaction ya Ruto, Nahisi aliona Ruto ni Docile akaanza kumtesti kwa kumwambia ataiteka Nairobi ....ujumbe huu ulikuwa ni direct kwenda kwa Mkuu wa majeshi ya Kenya ambae ni Ruto. aliweka ujumbe kwamba anaweza kuikamata Nairobi ndani ya...
  14. crankshaft

    Je, inawezekana kwa mwanamke kudumu na mwanaume mwenye matatizo ya nguvu za kiume kwa sababu anampenda?

    Umempenda mtu fulani kwa sababu kupenda huwa ni kabla ya kukutana kimwili. Sasa baada ya mahusiano ya muda mmekutana kimwili unakuja kugundua kuwa jamaa hawezi, je, unaweza kudumu nae kwa sababu ya kumpenda?
  15. A

    Matatizo ya nchi hii mengi yanatokana na kutoheshimu ujuzi na nidhamu

    MATATIZO YA NCHI HII MENGI YANATOKANA KUTOKUHESHIMU AKILI KUBWA. Na Thadei Ole Mushi. Morogoro wametangaza Mgao wa Maji, Dar wameshatoa ratiba ya mgao wa maji, Huko mjini kila mahali Majenereta yananguruma kuashiria kuwa kuna tatizo la Umeme japokuwa waziri January hajatutangazia. Tuliwapa...
  16. Shujaa Mwendazake

    China: Tutaiunga mkono Urusi katika 'kushinda matatizo'

    China imeahidi kuiunga mkono Urusi inapokabiliana na nguvu ya pamoja ya nchi za Magharibi, Waziri wa Mambo ya Nje Wang Yi aliripotiwa kumwambia mwenzake wa Urusi Sergey Lavrov wakati wa mazungumzo ya simu siku ya Alhamisi, ambapo maafisa hao wawili waliapa kuunga mkono juhudi zao za kijiografia...
  17. Mboka man

    Hivi wanafunzi wanaosoma shule za kata wana matatizo gani?

    Matukio yanayonihuzunisha 1.Wanapiga makonda mpaka wanawapa vilema 2.Mwalimu akizingua wanamchapa kama mtoto mdogo 3.Yaani shule wanaingia saa 4 Kuhusu taaluma 1.Kufaulu 1 kati ya 120 2.Mwanafunzi mwaka mzima kasoma page 2 3.Muda wa masomo wanashinda vijiweni wakicheza kamari 4.Akienda...
  18. emmarki

    Nawahurumia sana viumbe hai ninapowakuta kwenye matatizo

    Habari wanajamvi, Nina hali ambayo sijui niiterm kama tatizo au ya kufurahisha. Ninajikuta navionea huruma sana viumbe hivi visivyokuwa na hatia wanyama, ndege na wadudu wa aina zote (kufugwa na wasiofugwa), ninapokutana navyo vikiwa kwenye hali yoyote itakayohatarisha uhai wao. Nikupe...
  19. JanguKamaJangu

    Watoto waliofariki kwa matatizo ya figo Indonesia wafika 133

    Idadi hiyo imeongezeka kutoka 99 ya awali chanzo kikitajwa ni matumizi ya dawa za kifua za Watoto, ambapo mamlaka zimesema uchunguzi unaendelea. Kuna wagonjwa 241 wa majeraha ya figo katika majimbo 22, wengi wao ni watoto chini ya miaka mitano. Dawa hizo ambazo zimepigwa marufuku ni...
  20. APPROXIMATELY

    Eti, pesa inamaliza matatizo au matatizo yanamaliza pesa?

    Eti, pesa inamaliza matatizo au matatizo yanamaliza pesa? Nipeni muongozo.
Back
Top Bottom