Wanaukumbi.
Genocide Joe, Holocaust Harris, and Butcher Blinken
Their legacy?
A pointless proxy war in Ukraine that failed to defeat Russia🇷🇺, hundreds of thousands dead in a completely avoidable war that could have been ended with the deal at Istanbul
A genocide in Gaza perpetrated by...
Marekani imestuka baada kasi mauaji ya wanajeshi wa NATO huko Ukraine kuongezeka huku Russia akaikamata maeneo kwa spidi ya ngiri....hofu hiyo imefanya Blinken aropoke China iondoe wanajeshi North Korea Russia tuelekee studio..
Update: NATO backed Ukrainian forces and on the verge of total...
Patricia Kaliati (57) Mwanasiasa wa ngazi ya juu wa Upinzani na Katibu Mkuu wa chama cha UTM, amekamatwa na kushtakiwa kwa tuhuma za kupanga njama za kumuua Rais Lazarus Chakwera, huku Wanasiasa wengine wa upinzani wakidai kuwa mashtaka hayo yana msukumo wa Kisiasa.
Kaliati, alifikishwa...
Baraza la vita la Israel limepitisha azimio la kuishambulia Iran kutokana na shambulio la mauaji kwa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu.
Haya yanajili baada ya picha za satellite zilizoonesha kushambuliwa kwa ulinzi na mifumo ya ulinzi ya Iran
Je kwa sasa Israel itafanya kile ambacho...
Issue yake ya kukamatwa iko hivi, miaka minne ilyopita rapper king von ambaye ni swahiba wa durk aliuawa kwa risasi huko Atlanta akiwa anamletea usela mavi rapper mwenzake wa chicago wa kuitwa quando rondo wakamshoot
mwaka 2022 lil durk alituma member wa kundi lake la OTF (Only the family)...
NI STORY YA UTOTO MWINGI NA UPUUZI MWINGI:
Binti anaitwa Jania Meshell
Alikuwa mpenzi wa rapper anaeitwa nba youngboy na pia alifanikiwa kuzaa nae.
Baada ya kuwa wameachana. Binti huyu alianza kudate na rapper mwingine ambaye anaitwa king von.
King von ambaye alikuwa tayari ameanza...
Salaam, shalom!!
Nitumie fursa hii kuwatia moyo ndugu zangu Watanzania wenzangu kuwa, haya tunayoyapitia ni ya Muda tu, kama ambavyo Kuna usiku mnene, Giza Totoro, tukumbuke kuwa Giza ni la muda tu, KUTAPAMBAZUKA na Nuru itaonekana tena,
Kodi zetu ndizo zinatumika kuwalipa waovu Kuteka...
Kutoka nchini Msumbiji inaelezwa kuwa watu waliokuwa na bunduki wamempiga risasi na kumuua mwanasiasa wa upinzani nchini humo Elvino Dias
Taarifa iliyotolewa na chama chake cha PODEMOS imeeleza kuwa Elvino Dias, wakili wake na mshauri wa mgombea wa nafasi ya Rais kwa tiketi ya chama cha...
Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Tunasubiri kauli ya taasisi na jumuiya za Kiislamu tanzania kupinga dhulma ya Israel dhidi ya ndugu zetu Wapalestina ikiwemo mauaji ya Viongozi wao Yahya Sinwar, Hassan nasrallah na Ismael hanniyeh
Ndugu zetu hao wameishi kwa mateso na...
Wadau hamjamboni nyote?
Serikali ya Israel yazidi kutengwa kimataifa
Serikali Nicaragua inayoongozwa na Rais mhafidhina Daniel Ortega
imetangaza kuvunja mahusiano ya kidiplomasia na Israel wakipinga uvamizi huko Gaza.
Hatua hiyo imetangazwa rasmi na Makamu wa Rais Bi Rosario Murillo ambaye...
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa ambazo hazijathibitishwa - Kamanda huyo Jeshi la Iran Meja Jenerali Esmail Qaani hajaonekana hadharani na hajulikani alipo tokea kuuawa Kwa Kiongozi Mkuu wa Hezbollah hivi karibuni!
---
Unconfirmed report: Quds force commander suffers heart attack during...
Wakuu,
Hii poster inatembea kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo kurasa za CHADEMA, je ni maandalizi ya maandamano mengine baada ya yale ya mwanzo kuingia doa baada ya viongozi wao kukamatwa siku ya maandamano?
Pia soma: Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Mwanasheria wa kimataifa Robert Amsterdam apanga kufikisha madai kwenye Jumuiya ya Madola ya kuitaka jumuiya hiyo kuifuta uanachama Tanzania kutokana na mambo yanoendelea nchini hususan watu kutekwa, kuteswa na kuuliwa huku serikali inoongozwa na CCM ikikaa kimya bila kuchukua hatua yoyote...
amsterdam
ifutwe
jumuiya
jumuiya ya madola
katika
kupeleka
kutaka
kutokana
madai
madola
mauaji
robert
robert amsterdam
tanzania
utekaji
utekaji na mauaji
vitendo
vitendo vya utekaji
wanachama
Salaam, Shalom!
Nchini petu tangu lini imewahi kutokea mtu akakamatwa live kwenye halaiki na watu walio na pingu kisha kumfunga mtu na kuondoka naye kisha kwenda kumuua na kumtupa vichakani?
Tangu lini kikundi cha watu kimeruhusiwa kumuua mtu bila kumfikisha mahakamani?
Pia soma: Rais Samia...
Mauaji haya yanayo tekelezwa na Israel kwenda kwa viongozi wa makundi hasimu yanayo washambulia na kuharibu mipango yao yanafanana na mauaji yaliyokuwa yakifanywa na serikali mbalimbali dhidi ya viongozi wa vyama vya kisiasa vya kikomunisti vilivyo kuwa na vikundi(jeshi la mapambano) dhidi ya...
Akiongea na na Watangazaji wa kipindi cha asubuhi Good Morning cha Wasafi radio Septemba 27, 2024 Spika wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia Akson Mwansasu ameshangaa Jeshi la Polisi kuhusishwa na utekaji na mauaji ya raia wema
Hivi karibuni vijana watatu wa chama cha demokrasia na maendeleo...
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kithure Kindiki, amesema Polisi pekee hawastahili kulaumiwa kwa vifo vya waandamanaji waliopigwa risasi wakati wa maandamano ya 25 Juni, 2024 ambayo yalihusisha majengo ya Bunge la Nairobi yakivamiwa
Akiongea mbele ya Kamati ya Usalama wa Taifa ya Bunge, Kindiki...
Huko moshi jamaa wa miaka 54 amemuua mama yake wa miaka 74 kwa sababu ya ugonvi wa mali alizoacha baba ama mume wa marehemu ambae ndio baba wa mtuhumiwa.
Marehemu aliacha mashamba, hayo ndio yameleta mgogoro hadi jamaa akaamua kumuua mama yake.
Matukio ya hovyo ya watu kuua wazazi wao kisa...
Ni mtoto labda ndio hajui kuwa hamas na hezbollah ni midori ya Iran.
Iran atafanikisha lolote lile liendalo na utapeli wake hata kwa gharama ya damu ya watu wake wenyewe.
Nini haswa madhumuni ya Iran,
kufanikisha kupatikana haki kwa walebanon na wapalestina??????
Hapana madhumuni ya Iran...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.