“Maisha ni kama mkufu, unachukua kipande hiki na hiki unaviunganisha, kipande kikikataa kiache kitamfaa mtu mwingine...” Mzingile.
Falsafa ya maisha kwa muono wa Kezilahabi, hauna tofauti na wanafalsafa walio wengi, lakini muono wake upo kwenye kujifunza, take that which works for you! Kwa kuwa...
''..ulianza lini kutoamini…”
“nilipoanza kusomasoma na kusitasita”
Nagona
Kezilahabi, ni mtu anayeona umuhimu wa kujisomea vitabu, katika kila kitabu chake lazima akupe picha ya mtu kusoma kitabu. Na namna mtu husika anavyobadili fikra zake kupitia usomaji wa vitabu.
Katika hii dunia, watu...
AMNESTY INTERNATIONAL HUMAN RIGHTS WATCH
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Ukandamizaji wa vyombo vya habari, watetezi wa haki za binadamu na vyama vya upinzani umeongezeka tangu mwaka 2015, zinasema ripoti mbili tofauti za mashirika ya Amnesty International na Human Rights Watch zilizotolewa leo...
Kezilahabi amekuwa ni msomi wa zile enzi za Vita baridi (Cold war) wakati ambao wasomi wengi wa afrika walikuwa upande wa UJAMAA, japo baadhi waliamini hawafungamani na upande wowote.
Kutokana na vita ile vijana wengi wa Tanzania na wanaharakati wa enzi hizo walijivika ujamaa kiitikani kuanzia...
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo ametangaza kuwaruhusu wagombea wote waliochukuwa fomu na kuzirejesha kwa ajili ya kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika nchini Tanzania Novemba 24, 2019 wanaruhusiwa kushiriki uchaguzi huo...
ccm
chadema
haki
jafo
katiba
katiba ya tanzania
matokeo
mawazo
miti
nyumba
serikali
serikali za mitaa
sheria
tamisemi
tanzania
uchaguzi
upinzani
vyama
wote
Kuna baadhi ya changamoto kubwa zinazotukabili ambazo, ili zipate ufumbuzi; inabidi ifike mahali maoni ya umma yakutane na utashi wa kisiasa na hapo jambo linaweza kutokea na kuleta mabadiliko makubwa. Moja ya changamoto tunayoweza kuizungumzia kwa leo ni;
Suala la ukosefu wa ajira kwa vijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.