mawazo

  1. F

    Spika Ndugai unakosea, Mbowe ana haki ya kuelezea mawazo yake na chama chake, anaowakilisha ni watanzania

    Sijui kama Ndugai anaelewa maana ya kuwa Spika? Anachofanya ni mahaba ya waziwazi kwa kwa Serikali ambayo anashindwa kuyaficha. Kila mwananchi anafahamu function ya Bunge na Mahakama kama taasisi huru (hata wale wanaolipwa pesa na polepole lakini watajitoa akili) Ni jambo la kushangaza kuona...
  2. CONTROLA

    Sio kila mfanyabiashara ni Mfanyabiashara,Chagua mtu sahihi wa kumshirikisha mawazo yako

    Unajua kuna watu huwa nawakutaga wanasema mimi mpira wa BONGO siangaliii kabisa,ukimuuliza kwanini haangaliii Atakupa sababu za ajabu ajabu tena za kijinga jinga zisizo hata na maana yeyote Huwa nawambia watu wa namna hiyo kuwa "nyie mpira sio fani yenu na wala haupo kwenye damu" hivyo...
  3. CONTROLA

    Kwenu Walimu, hii inawezekana au mawazo yangu ni ya kijiweni tu?

    Unajua maisha ya sasa hivi kila mtu analia kilio chake, huyu atalia sauti ndogo, yule kubwa, yule mwingine atalia kimoyo moyo ila wote tunalia na kubwa linalotoa watu machozi ni Ugumu wa maisha, ukosefu wa ajira, nk. Leo nitaongea na walimu tu ambao wengi hulalamika ajira hamna,maisha magumu na...
  4. kikoozi

    Msaada wa mawazo: COVID19 inanirejesha nyumbani, baba naye hanitaki

    Habari za uzima ndugu zangu, poleni sana na miangaiko ya hapa na pale, Mimi ni kijana mwenye miaka 37 kwa sasa elimu yangu ni degree, kama mnakumbuka nilishawai kuja na uzi wa baba yangu mzazi wa kunizaa kunitimua nyumbani kisa eti mimi ni mwanachama wa chama cha mapinduzi kisa cha kunifukuza ni...
  5. Superbug

    Asilimia 98% ya mawazo yangu nawaza wanawake

    Naombeni msaada asilimia 98 ya mawazo yangu nawaza wanawake Yani kila baada ya dk 2/3 lazima niwaze wanawake hivi ni Mimi peke yangu au wanaume wote. Mimi najihisi Nina tatizo naomba msaada wa kisaikolojia. Hii Hali naona sio ya kawaida.
  6. Corticopontine

    Trump asema magonjwa ya akili yanayosababishwa na msongo wa mawazo kwa amri ya kutotoka nje yameongezeka Marekani

    Trump amesema kuwa kuendelea kuwafingia watu ndani ni kuwaua zaidi kuliko CORONA yenyewe Watu wanaopiga namba za dharua imepindukia alisema Trump Trump amesema wataandaa muongozo wa kukabiliana na janga hili alhamisi hii atatangaza namna ya watu watavyokabiliana na hili janga huku amri ya...
  7. J

    #COVID19 Namna gani unaweza kukabiliana na mawazo kipindi hiki cha CoronaVirus

    1. Ni kawaida kuhisi huzuni, kupata mawazo, kuchanganyikiwa, kuogopa au kuwa na hasira wakati wa matatizo. Ongea na watu unaoamini watakusaidia. Wasiliana na familia yako au marafiki 2. Kama ni lazima ukae nyumbani, kuwa na maisha yenye afya ikiwa ni pamoja na kula lishe sahihi, kulala, kufanya...
  8. B

    Nataka kuanzisha duka la vyombo. Je, mtaji wa kuanzia unafaaa shilingi ngapi?

    Nataka kuanzisha duka la vyombo, nipo DSM, isue naitaji kujua wapi naweza kupata bidhaa hizo na mtaji wa kuanzia unafaa shilingi ngapi?
  9. Raja_Makuku

    Naomba msaada wa mawazo au tiba

    Ndugu zangu wana JF nina mambo mengi ila mawili ndio makubwa sana kwangu 1. Sipati usingizi napohitaji kulala Hivi, ukiwa kitandani unahitaji kulala akili yako inatakiwa kuwa focused katika jambo gani ili uupate usingizi? Maana nimejaribu mengi bado nipo palepale. Mimi ni dereva na kutokana na...
  10. M

    Nisaidieni mawazo yenu

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 nimeajiriwa. Baba yangu amegoma kabisa kujenga nyumba yake akidai mimi nisipomjengea watu watanidharau na kunicheka, yaani kwa ufupi nawaza mpaka nakonda ukizingatia kwa sasa namjengea mama ambaye tayari walishaachana na baba. Mama naye alikuwa anaishi...
  11. Analogia Malenga

    Utafiti: Mashabiki kindakindaki wa mpira huwa hatarini kupata msongo wa mawazo

    Mashabiki kindakindaki wa mpira wa miguu hupata msongo wa mawazo wanapokuwa wakitazama timu zao, wanaweza kujiweka hatarini kupata mshtuko wa moyo, utafiti umeeleza. Utafiti uliofanywa Oxford ulipima mate ya mashabiki wa Brazil wakati walipoweka historia ya kushindwa walipocheza na Ujerumani...
  12. Melanny

    Ni biashara gani unaweza kufanya ikawa inakuingizia kipato na huku umeajiriwa

    Nina imani wengi tumeajiriwa ila tunatamani kuongeza kipato zaidi. Naomba tuchangieni biashara ipi tunaweza fanya tukiwa kazini. Kwa mimi kazi ambayo naweza fanya nikiwa kazini ni za kuuza bidhaa online na baadae nikitoka mida ya saa kumi nafanya delivery. Je, wewe unafanya ishu gani na huku...
  13. Sky Eclat

    Msaada wenu wa mawazo tafadhali, Maisha ya kuishi ukweni yamenishinda

    Nilikutana na mume wangu wote tukiwa 30+. Nilishakuwa na kwangu tofauti yangu na mwenzangu yeye anaishi kwao ingawa yeye ndiye alijenga nyumba. Kama mwanaume aliyeoa anataka niishi kwao. Hataki kuingilia vitu alivyonikuta navyo. Maisha ya kuishi ukweni yamenishinda, ninatamani tununue...
  14. K

    Mapendekezo ya nini cha kufanya Wizara ya Afya

    Mapendekezo ya cha kufanya Wizara ya Afya Niweke wazi tu kabla ya yote kuwa mimi kwa miaka zaidi ya 10 sasa nimekuwa nikifanya kazi kama consultant kwenye kampuni za Afya. Mwaka wa uchaguzi nitatumia muda kutoa mawazo yangu kwenye sehemu na wizara tofauti. Nianze na machache kwenye Afya Mfumo...
  15. Jakamoyo msoga

    Ushauri kwa Diamomd: Jitahidi uanzishe redio na Tv yako kabisa ili mzee huyo akikuchoka usipatwe na msongo wa mawazo

    Kuwa mjanja mdogo wangu. Utatumiwa sana kwakuwa ni maarufu uendeshe faida kwenye kituo cha watu halafu akipata mbinu nyingine anaku-dump. Kuwa makini Diamond.
  16. maganjwa

    Watumishi wa umma mje hapa tubadilishane mawazo kuhusu harakati za kimaisha

    Kwanza nawapa pole kwa yanayoendelea nikiwepo mimi mwenyewe. Lengo la uzi huu ni kutafuta namna mbadala nje ya kazi zetu. Mimi nimekuwa na kabiashara kangu na huko ndo nguvu zangu iliko kwa wingi maana ndiyo kazi inayoniweka mjini naonekana mtu. Pili nawaomba tusiwaze sana kwamba sijui...
  17. Rajesi

    Naombeni msaada wa mawazo kuhusu kozi hizi

    Naombeni ushauri kati ya hizi kozi. Ni kozi ipi ambayo ipo marketable ukimaliza masomo: - Law - Journalism - Public administration - Social Work Naombeni ushauri wenu hapo wakuu.
  18. S

    Uchaguzi CHADEMA: Anthony Komu ataka Mbowe apishe uenyekiti

    Uchaguzi wa ndani CHADEMA Wabunge na Mameya CHADEMA wamuunga mkono Mbunge wa jimbo la Ndanda Mhe Cecil David Mwambe kuchukua fomu ya uenyekiti wa CHADEMA taifa kumrithi Mbowe. Kwa taarifa kutoka moja ya wabunge wanaomuunga mkono anasema wamemchangia shilingi milioni 25. Anasema katika kikao...
  19. IBRA wa PILI

    Nina mtaji wa milioni 1.5 nataka kufungua biashara hii, wazoefu nahitaji mawazo yenu

    Salute wakuu, Baada ya kutulia na kufikiri sana, nikapata wazo la kufungua biashara ya vitu vya electronics sijui kama nipo sahihi. Vitu hivyo ni kama: Flash drive Memory card USB wire Charger Card reader Power bank Min speaker Bluetooth earphone Hair cutting machine External and Internal...
  20. I

    Lile shamba nililokuwa nauza hatimaye nimefikia hapa

    Habari wapendwa, Poleni na majukumu kunakipindi nilikutana na changamoto flani nikataman niuze baadhi ya vitu kimoja wapo lilikuwa ni shamba langu lile la Kilosa. Nashukuru Mungu sikupata mteja maana bei nilio kuwa nauza na ninacho kiona sasa nilikuwa nauza bei sawa na bure. 1. Zao la ufuta...
Back
Top Bottom