mawazo

  1. H

    Kubadili mawazo ni kitu cha msingi sana

    Mawazo ni kitu cha msingi sana katika maisha yetu.Mawazo yana nguvu kubwa. Mawazo yakiunganishwa na malengo yanayoeleweka,subira pamoja na Nia yatatusaidia kufikia mafanikio na utajiri. Watu huwa tunapitia hali ngumu mbalimbali katika maisha,kwa mfano. 1. Umaskini. 2. Kukosa nafasi za ajira...
  2. yuda75

    Wanawake na mawazo mgando ya kuhudumiwa

    Habarini wadau, Jamani dada zetu au wanawake siku hizi wamebadilika sana wengi wao wanawaza kupata mwanamme wa kumtimizia mahitaji yake haswa ya kimaisha. Wao wanawaza kupendeza na kuvaa vizuri kuliko kujishughulisha katika vitu vya maendeleo ndio chanzo cha kuangukia kuwa malaya na kujiuza...
  3. Richard

    Uchaguzi 2020 Dkt. Charles Kimei ana mawazo ya kuibadili Vunjo ifafane na mji wa Toronto Canada. Akishinda ubunge apewe Wizara ya Viwanda na Biashara

    Katika watu ambao wameingia katika kinyang'anyiro cha kugombea ubunge na ambao kama wakipata nafasi hiyo, watachangamsha sekta za uchumi, biashara na viwanda ni Dr Charles Kimei. Dkt. Charles Kimei ni mmoja wa watu ambao wana matamanio ya kufanya mabadiliko ya haraka yaani "quick...
  4. T

    Mawazo yenu: Kutokana na uzoefu wangu wa kupeleka watu machimbo, nataka kuandika kitabu

    Wakuu habari zenu, kutokana na uzoefu nilioupata kutokana na kupeleka watu machimbo ya maeneo ya biashara, nimeweza kugundua biashara nyingi za kawaida tu, zikiwa na faida nzuri tu, sasa nataka kuandika kitabu ambacho kitakuwa na mambo yafuatayo. AINA YA BIASHARA: Hapa nitafafanua aina za...
  5. Civilian Coin

    Je, mpenzi wako amekukwaza au amekusaliti? Mfukuze kwa Wimbo huu "GO AWAY" ili uondoe msongo wa mawazo

    IF YOUR LOVER HATRED YOU, GIVE HIM/HER THIS SONG. . New video song "GO AWAY" for Lovers in Hatred, watch now to remove Stress alongside Don Nalimison.
  6. A

    Nani mwenye hali ya kiuchumi kama yangu muda huu? Toa mawazo jinsi ya kujikwamua

    Habari wana JF, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26, ni mhitimu wa Shahada ya Electrical & Electronics Engineering. Katika moja ya Chuo Kikuu hapa mjini Dar es Salaam kama ilivyo kawaida ya vijana wengi tukiwa vyuoni hujisahau kuwa kuna kumaliza masomo na kushindwa ku tafakari kukabiliana na...
  7. M

    Ukimwangalia mtoto kwa makini huwa unapata picha gani?

    Kila nikimwangalia mtoto mchanga huwa napata picha fulani ya Kiungu. Ni picha ya ajabu. Mfano, nikimwona mtoto ana mzazi au mlezi wake huwa napenda kuona ana'behave' namna gani. Unaweza kumwona mtoto mchanga amebebwa na mama yake na amelala usingizi na hana habari ya kinachoendelea karibu naye...
  8. mtwa mkulu

    Naombeni Mawazo kuhusu kusoma LLM Online Uingereza ama nchi nyingine za magharibi

    Wakuu, Ninaombeni maelekezo kuhusu kufanya masters online kwa vyuo vya ulaya na marekani, Ni njia gani rahisi ya kufanya hivyo? Naomba msaada kwa mtu mwenye uzoefu na hayo mambo. Ni chuo gani kilicho Bora na Cha uhakika? Mafunzo yanapatikana kwa muda gani? Ni majira gani ya kufanya...
  9. S

    Kuna raha au amani ya roho kupita kwenye daraja la juu ya bahari huku ukiwa katika msongo huu wa mawazo?

    1. Una miaka mitano mshahara wako serikalini ni ule ule aliouacha JK 2. Una madai yako serikali na huu ukiwa ni mwaka wa tano hujalipwa na wala juju utalipwa lini 5. Kila mwisho wa mwezi unakatwa asilimia 15 ya mishahara wako kulipa mkopo wa Bodi ya Mikopo 6. Una mzee wako kastaafu huku hajui...
  10. K

    Mawazo kwa vijana mtapotoshwa kuwaangalia wasanii kwa maendeleo yenu

    Nawapa mawazo ya bure wadogo zangu wa miaka 18-35. Kwasababu wasanii wetu hasa wa musiki wanafanya vizuri jamii hasa wanasiasa watawatumia wenyewe kwa manufaa yao binafsi. Lakini kwa mawazo yangu acheni kuwafuata wasanii na kushinda mitandaoni kuangalia maisha yao na kutaka kuiga badala yake...
  11. Ninja assasin

    Mawazo ya Masoud Kipanya kuhusu ubigwa wa Simba SC

    Nimekutana na hii post ya Kipanya kuhusu ubigwa wa Simba SC Leo kiukweli nimetoka kapa mwenye wazo jamaa alitaka kusema nini
  12. Infantry Soldier

    TUNAOMBA MCHANGO WA MAWAZO YAKO: Serikali itumie mbinu gani ili kufidia muda wa likizo ya Corona na wanafunzi waweze kumaliza mitaala yao kwa wakati??

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania; Serikali itumie mbinu gani ili kufidia muda wa likizo ya Corona na wanafunzi waweze kumaliza mitaala yao kwa wakati...
  13. msani

    Mawazo yangu kuhusu Bilionea wa Tanzanite

    Nimejaribu kufanya Hesabu Zangu za Darasa la 7 D kuhusu huyu Bilionea mchimbaji mdogo wa madini. Hebu Twende Sawa Hapa na hesabu za Darasa la saba!! Tanzanite thamani yake hupimwa kwa Carats. 1 Carats = 0.0002kg Je 15kg ni sawa na ngapi? = (15kgs x 1 carats) gawa kwa 0.0002kg Hapa jibu ni...
  14. G

    Bati za Waja General ni nzuri?

    Binafsi nimepaua kibanda changu kwa bati nyeupe, ila kuna jamaa yangu yeye anashinda ya macho na ana project yake ya ujenzi ngazi ya kupau na anatamani msouth. Tumekwenda halafu bei imemshinda wanauza 28,000/ 27,000 kwa pc za rangi. Yeye ana uwezo wa 24,000/- katika kuzunguka tukakutana na watu...
  15. roselina john

    Msaada wa Mawazo kwa wenye uzoefu wa kununua na kuuza mchele wa Jumla nataka nijiajiri mtoto wa kike

    Habari ndugu zangu, Ninawasalimu kwa jina lake bwana wetu Nimejaliwa kukusanya shilling 5M kutokana na nilivyokuwa najikusanya kwenye kimshahara changu kwa mwaka sasa, Naona maisha ya kuajiriwa siyo, Nikaamua niwaze kuanza uuzaji wa mchele kutoka mbeya au Ifakara, Nataka niende Jumamosi...
  16. kikoozi

    Kwenye hili sitaki nifeli, naombeni ushauri wenu waungwana

    Nimemaliza chuo muda (2016) kidogo, nimesota sana kupata ajira, nimesota sana mpaka nilifikia kukata tamaa ya maisha, Mungu mkubwa mwaka jana mwezi wa 5 nikaja kupata kazi kwenye mradi mmoja hivi, kutokana na mapito ya kukosa kazi na kuangaika mtaani, nilijichanga mnooo mnoo nilijichanga kupita...
  17. Mkogoti

    Hii picha kichwani kwangu haitaki kutoka shida ni nini

  18. K

    Mawazo kwa wasanii wa filamu: Tumieni mbuga zetu/ Wanyama wetu biashara zenu zitapata pesa sana

    Biashara ya filamu imeenda chini sana kuanzia enzi za Kanumba kwasababu hakuna ubunifu. Mimi kama diaspora nimefanya uchunguzi kujua kwanini hii inatokea. filamu zetu zinaiga na kujaribu kushindana na Nigeria lakini Tanzania tuna kitu kimoja ambacho wenyewe hawana. Sijawahi kuona picha kutoka...
  19. A

    Jinsi ya kuondoa misongo ya mawazo kwa wanaume

    Habari wanna JF. Wanaume siku zote ni watu wanaozungukwa na msongo wa mawazo katika mihangaiko ya kimaisha ha hapa na pale...... Baadhi ya vitu vinavotuletea msongo wa mawazo ni Kama; 1.kuachwa na mwanamke umpendae 2.kumpenda mtu asiekupenda 3.kuwa na madeni lukuki 4.kukata tamaa/kufeli Jambo...
  20. Sky Eclat

    Mheshimiwa Lissu akiwa kijana bila mawazo ya kuwa kilema siku moja

    Ni pale wale wasioweze kujibu hoja kwa hoja walipoamua kumnyamzzisha kwa risasi lakini. Mungu wa Ibrahims na Jacob alimnusuru na kifo.
Back
Top Bottom