Watanzania na wanachadema, wapenda mageuzi, wapenda mabadiliko, wachague mwenye hoja na sio blah blah, I'li tuone democrasia ndani ya chadema inafanyika
Wakati wa uchaguzi wa Serikali za mitaa. Mbowe , Mnyika na Wenje walihamasisha CHADEMA ishiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa. Pamoja na wengi kuona kasoro zilizokuwepo za uchaguzi kusimamia na TAMISEMI.
Mwenyekiti Mbowe ndio akaja na kuweka maamuzi ya kwba CHADEMA itashiriki uchaguzi wa...
Wajumbe tunaishi nao mtaani
Binafsi pia ni mjumbe wa mkutano mkuu Nina marafiki zangu zaidi ya 50 hawakubaliani na Mbowe kuendelea!!
Pia ndio tunaishi nao humu mitandaoni
Kwani wenyewe hawapo Jamiiforus, twiter na Facebook?
Ukiangalia kura ya maomi mtandaoni 98% ya maoni wanamkubali Tundu...
Fuko la Abdul kila lilikopita mitaa ya Chadema lilipokelewa kwa mikono miwili isipokuwa kwa gwiji la upinzani Afrika.
Lissu ndio mtanzania pekee hapo Chadema aliletewa mfuko umejaa mamilioni kama sio mabilioni sebuleni kwake na akaamua kuyakataa. Na ushahidi wa cctv upo.
Baada ya uchaguzi...
Mbowe aliahidi kuwa mwaka 2023 ungekuwa mwaka wake wa mwisho kuiongoza CHADEMA kama mwenyekiti wa chama. Wengi kama si wote, tuliunga mkono uamuzi wake huo maana kuwa kiongozi haimaanishi kukaa kwenye uongozi kwa miaka nenda rudi, bali kuwa na uwezo wa kuwatengeneza watu wengine kuwa viongozi...
Huu ndo uamuzi nilioufikia Mimi na familia yangu.
Endapo Mbowe ataendelea kuwa mwenyekiti hapo Chadema naachana na kufatilia siasa na 2025 nitawapigia kura Ccm
Tumechoka upinzani fake tunamtaka mzee wa nyeusi ni nyeusi
Hamjambo Watanzania!
Ni dhahiri joto la uchaguzi ndani ya chama cha upinzani cha CHADEMA limepamba moto na katika ufuatiliaji wangu kwenye mitandao ya kijamii hususani Youtube,X na Instagram nimeona maoni ya wananchi na wanachama wengi wa kawaida wanamhitaji Lissu kuliko Mbowe. Kwa usanisi...
Nipo Moshi kwa mapumziko ya sikukuu aisee wazee wa Moshi wamegoma kabisa kumuunga mkono Mbowe
Nimejaribu kuanzia home kwa majirani na kila mtu ninayepiga naye story anaonyesha kuuzunishwa na Mbowe !!
Hai kipindi kile kumbe Kuna watu kibao walipoteza Mali zao sababu ya chama sasahivi...
Huyu ndugu yangu Freeman Mbowe naamini ndiye recruiter bora kwa miongo 3 katika nchi hii (kwenye upande wa siasa).
Kwa nini serikali/system isimchukue na kumpa kitengo cha kutafuta vijana wenye uwezo, kuwapika na kisha tukapata wakina Lissu wengi, wakina Heche wengi, wakina Mnyika wengi...
DJ, DJ, DJ nimekuita mara tatu wahi chato ukaombe radhi...
Sasa umekufa kisiasa umebakizwa kuzikwa.
Ulimsema sana mzilakende kwa ukabila na kuzusha uongo mwingi leo sacos yako inaenda kufa iko hoi taabani na dawa pekee ni wewe ubwage manyanga au uongoze chama maiti.
Kuna haja Gani ya kungangania madaraka Kama umejenga chama na Mifumo imara kwa miaka 20
Nilifikiri angegombea Uraisi lakini pia hafai kabisa , Kama mkiti wa chama ameshindwa kujenga Mifumo ni nchi iliyojaa rasilimali Kibao
Aibu kwa watu tuliowaona wangemshauri wamekuwa machawa
Kutokana na maneno aliyoyasema mbowe akiwa nawaandishi wa habari nyumbani kwake Jana tarehe 18.12.2024 imejidhihirisha kuwa CHADEMA NI Mali ya mbowe maana kwa kinywa chake na nukuu" CHAMA CHANGU NIKIONA KINZAMA SHIMONI NITAINGIA MZIGONI "
Kwa maneno hayo inaonesha wazi kabisa chama hicho NI Mali...
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Mwenyekiti wa Chadema anayemaliza muda Wake, atazungumza na Dunia kupitia Waandishi wa Habari muda wowote kuanzia sasa.
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
====================================================
Akiwa anazungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake...
Uchaguzi ndani ya chadema umeonyesha sura halisi ya Mbowe na wafuasi wake, nimeshanga sana kusikia Mbowe anasema" eti akiona CHAMA kinazamishwa anaingia mzigoni" wewe kama nani? Mwenye hati miliki ya CHAMA? Wewe kama mwanzilishi wa CHAMA?
Wewe kama nani mfadhili wa CHAMA? Daaa zamani nilikuwa...
John Heche kwenye ukurasa wake wa Twitter ame- repost ujumbe wa David Mfugwa wa Chadema ambao unamtaka Mbowe kustaafu kwa heshima na kulinda heshima yake ndani ya Chadema. Hii ina maana kuwa hata Heche hakubaliani na kauli ya #Mi5tena.
Msimamo wetu hautaturudisha nyuma. Ni ama Mwamba avuke na...
Naamini mzee mbowe ni mzee mwenye maono makubwa sana.
Kwa busara zake nashauri apate ushauri mwingine kutoka kwa wazee asigombee amuunge mkono Tundu lissu kama baba mlezi wa chama!
Chadema ni mtoto aliyezaliwa na mgumba na kutelekezwa matunzo;
Mbowe ni mama mzazi wa mtoto na Tundu lissu ni...
Mbowe anaweza kulaumiwa kwa mambo yote lakini jambo moja kubwa ambalo hawezi kulaumiwa nalo ni kung'ang'ania au kukaa madarakani muda mrefu. Lissu mwenyewe ambaye ndiye mpinzani mkuu wa Mbowe katika nafasi ya mwenyeketi kwa sasa na anayetaka ukomo wa kushika madaraka ndani ya CHADEMA uwekwe...
Hakuna ubishi ya kwamba Lissu ni moja ya akili kubwa tulizonazo hapa nchini ukiondoa mapungufu ambayo hakunaga binadamu asiekuwa na mapungufu.
Kitendo cha Lissu kutaka kuwa Mwenyekiti wa chama chake na kuanza kuonekana kutishia utawala wa mzee Mbowe na dalili mbaya kwa chama na Lissu pia.
Mzee...
Kuna nyakati watu wengi walikuwa wakisema mbowe ni wakala wa ccm mda mrefu watu wengi walibisha hususani machawa wake ambao kwa sasa ndoo wanaompigania kugombea tena kiti cha mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo.
Mbowe asichokijuwa Tundu lisu ana clip zote zinazoonesha wenje kwenda...
Toka John Mrema ahitimu elimu ya Ualimu na kupata Gentlemen pass hajawahi kuwa na maisha nje ya Chadema au siasa.
Gari ya kwanza kumiliki Mbowe alimpa zawadi ya Nissan Safari ambayo ilikuwa Mali ya Chadema.
Kapata mke kupitia posho za chadema. Kajenga kupitia pesa ambazo anahongwa na Mbowe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.