mbwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Jemima Mrembo

    Kisa cha mume wangu na dili la mbwa

    Kisa hiki nimeshindwa nikiweke kwenye jukwaa gani haswa, sijui jukwaa la habari mchanganyiko, sijui jukwaa la uchumi na biashara au jukwaa la mapenzi? All in all let me drop it here. Kabla sijaolewa nilijiwekea nadhari kwamba nataka ñiolewe na Bwana mwenye akili, hata kama hana hela au wengine...
  2. B

    Kwanini mbwa hugongwa sana na magari barabarani?

    Juzi nimesafiri kutoka mkoa wa Dar es Salaam kwenda mkoa wa Shinyanga. Kijiografia, ni umbali mrefu, ambapo magari ya abiria hutumia si chini ya masaa 16 kufika mwisho wa safari. Sasa kuna jambo moja nimeliona katika safari hii ndilo nataka wajuvi wa mambo ya wanyama watueleze, kwani ni jambo...
  3. Chizi Maarifa

    Usijaribu kununua haya magari mawili utalia kilio cha mbwa mdomo juu

    Nimekuja mkoa flani kikazi nilitumia usafiri wa ndege. Huku kuna jamaa yangu akaniambia kwa kuwa akija Dar huwa nampatia usafiri nitumie gari ndogo ambayo huwa anatumia mkewe. Niende kwake nikachukue. Nikaenda. Nimefika nikakaribishwa ndani n.k nikamwambia shemeji nimeambiwa nije chukua gari...
  4. Mr Why

    Mbwa mnyama mhuni sana kwenye ngono

    Mbwa wahuni sana kwenye mapenzi kuliko wanyama wengine, mbwa haoni aibu kungonoka mbele za watu tofauti na paka yeye huenda mafichoni
  5. Kiranja Mkuu

    Mbwa wanaponatana wakijamiiana tatizo huwa kwa jike au kwa dume?

    Ningependa kujua mechanism inayosababisha wanatane. Asante
  6. S

    Wafanyakazi wameandaa mabango na T-shirts zao lakini wanapita mbele ya Rais Samia kwa kukimbizwa kama mbwa mwizi

    Kama Rais hana muda wa kupokea waandamanaji wote basi waratibu wa sherehe hizi za Mei Mosi walipaswa kupunguza makundi ya waandamanaji. Watu wamepoteza muda wao kujiandaa, wakatafuta na t-shirts halafu wanapita mbele ya mhe rais wakikimbizwa kama kuku wa mgeni ama mbwa mwizi. Watu wazima...
  7. rubii

    DONGE NONO kutolewa kwa atakae fanikisha kupatikana kwa Mbwa HUYU

    MIlioni 1 ukifanikiwa kumpata mbwa huyuu.....FURSA FURSA FURSA
  8. Scars

    Wale ambao wanapima thamani ya mnyama wa kufugwa katika jicho la kitoweo tu, mnalakujifunza hapa

    Helpful and caring Na hapo mbwa anafanya hayo yote bila expectations ya award huko peponi. Wanyama wakifundishwa na kuwa treated vizuri, wanakuwa na umuhimu na wenye msaada zaidi kuliko hata watu. Love is a universal language
  9. NetMaster

    Yesu Kubambikiwa alitakasa vyakula vyote ina maana alimkaidi Mungu alietuchagulia vya kula? Ni ruksa kula nzi, paka, mbwa, chura, kinyonga, nyoka?

    Mungu alishaweka sheria tule vyakula vifuatavyo Wanyama - wawe wenye kwato + miguu ya kupasuka kati + mwenye kucheua walioruhusiwa: Ng;ombe, mbuzi, kondoo, swala, nyati, n.k wasioruhusiwa: Nguruwe, Kobe, punda, mbwa, nyau, panya, n.k. Samaki - wawe na magamba + mapazi walioruhusiwa...
  10. Bujibuji Simba Nyamaume

    Abweka kama mbwa kisha afariki dunia

  11. JanguKamaJangu

    Inadaiwa FIFA imeifungia Yanga kusajili madirisha matatu kutokana na deni la Kocha Luc Aymael

    Kwa mujibu wa @FARPostZA, FIFA imeifungia klabu ya Yanga kusajili wachezaji kwa madirisha matatu (3) mfululizo baada ya kushindwa kumlipa fidia ya kuvunja mkataba aliyewahi kuwa Kocha wao Luc Aymael. Kocha huyo raia wa Ubelgiji ambaye pia amewahi kuzifundisha Free State Stars na Polokwane City...
  12. M

    Awauzia wakazi wa Dar es salaam mishikaki ya nyama ya Mbwa kwa zaidi ya miaka 10. Adai wanaipenda, ni tamu

    Mzee mmoja ambaye jina lake linahifadhiswa, amekutwa akitengeneza mishkaki kwa kutumia nyama ya Mbwa na kusema biashara hiyo aliianza tangu mwaka 2010 akiwa katika stendi ya Ubungo na sasa alikuwa stendi ya mbezi (Kituo cha Mabasi Mbezi, Magufuli). Chanzo : Channel Ten
  13. Meneja Wa Makampuni

    Siasa: Kama hii katuni ya chatu na mbwa imechorwa na Masood Kipanya basi anapaswa kupewa tuzo ya kutuchanganya

    1. Yaani hapo kuna mbwa na chatu. 2. Chatu amemmeza mbwa. 3. Miguu ya mbwa imetoboa tumbo la chatu. 4. Mbwa anatembea huku amemezwa. 5. Najaribu kulitazama jicho la chatu nimebaki nimeduwa sielewi kwanini liko hivo.
  14. N

    Katuni ya Masoud Kipanya inamaanisha nini?

    Ndugu hii katuni inamaanisha nn?
  15. Zombie S2KIZZY

    Karibuni Jijini Mwanza (Rock City)

    Hahahaaaaa wabongo bhana cjui ni nani anaewauzia tumbaku yaan kabla hamjavaa sox mnaanza kuvaa viatu alfu ndo mvae sox kwel viatu vichwa box rafu Leo mmechezea sharubu za rock city sa nawafanya wafu. Hivi kwann watanzania ni watu wa ajabu Sana ujinga ukabila ujuaji na ushamba ambao wametoka...
  16. Trubarg

    Kutumika Mbwa kwenye uokoaji Syria na Uturuki

    Mbwa bado anaonekana ni kiumbe chenye msaada sana kwa binadamu. Kwa sasa Mbwa anatumia sana kwenye nchi ambazo zimepata majanga ya tetemeko Hivi karibuni yaani Syria na Uturuki. Najiuliza nchi hizi ni za kiislamu vipi kuruhusu Mbwa atumike wakati kwa uislamu Mbwa ni najisi. Nauliza tu kupata...
  17. Kibosho1

    Orodha ya Timu zilizokuwa Kibonde kwa Tanzania ila sasa Wanatupiga kama mbwa koko

    1. Madagaska 2. Gambia 3. Comoro Saivi Kibonde wetu labda Somalia tu au nasema uongo ndugu zangu?
  18. Bujibuji Simba Nyamaume

    Kisa cha binti aliyebakwa na Wazungu wanne na mbwa wao

    Hiki ni kisa cha miaka mingi kidogo, kuna baadhi ya members wa JamiiForums walikuwa hawajazaliwa, na wengine walikuwa ni wadogo sana, na wengine walikuwepo ila walikisahau. Ninakiweka kisa hiki ili kuwakumbusha mabinti wa kizazi hiki ambao wanadhani mabwana wa kizungu na maisha ya kudanga ndio...
  19. Suley2019

    Mchezaji wa zamani wa Zambia auliwa na mbwa wake

    “Baada ya umeme kurudi, niliingia ndani kumtafuta mume wangu lakini sikumpata. Niliendelea na upekuzi kisha nikamuona akiwa amelala nje kwenye bustani. Nilipotoka nje kupeleleza kulikoni, nikagundua mume wangu alikuwa hatikisiki baada ya kuumwa na mbwa wetu watatu." Kiungo wa zamani wa timu ya...
  20. H

    Kwa wale wapenda mbwa tuchukue tahadhari

    Niende moja kwa moja kwenye mada, ukiamua kufuga mbwa hasa hawa wakizungu kama Rottweiler, Pitt Bull, Mastif, Belgium Malnoir nk, tenga muda wa kuwa nao karibu. Mafunzo ni muhimu wafanye watambue kuwa wewe ndo mkuu na kiongozi. Kwanini nasema hivi kuna kipindi nileta habari ya mbwa ya mbwa...
Back
Top Bottom