mchezo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwalimu

    Mchezo wa Mieleka nchini Tanzania

    Wadau, Nakumbuka kwenye miaka ya themanini mchezo wa mieleka ulitokea kuwa maarufu sana hapa bongo. Kulikuwa na wababe kama Power Bernado, Power Vuru Mroma, Power TX Chaka, Power Bukuku na wengineo. Kuna yeyote mwenye taarifa za magwiji hawa waliishia wapi?
Back
Top Bottom