Mlipuko wa virusi vya Corona unaoshuhudiwaduniani kote umeleta athari kubwa katikauchumi na maisha ya watu, kwani biasharazimefungwa, shule zimefungwa, na waajiriwawengi wanafanya kazi majumbani, huku wale ambao kwa bahati mbaya iliwalazimu kutoka ilikupata pesa za kulisha familia wakiwa...