mjadala

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GENTAMYCINE

    Huenda leo ndiyo ukawa mwisho wa Mjadala wa Feitoto kwani anarejea rasmi Yanga SC

    Mama kapigiwa sana Simu (siyo za Vitisho) na Watu anaowaheshimu na wenye Nyadhifa zao na wale waliowahi kuwa nazo nchini (wenye Mapenzi mema) na Yanga SC ili amsihi Mwanae abadili Maamuzi na hatimaye Nguvu ya Mama kwa Mtoto imefanya Kazi. Kuanzia leo Feitoto ataomba Radhi kwa Uongozi wa Yanga...
  2. M

    Mjadala wa nani zaidi kati ya Messi na CR7 wafungwa rasmi kibabe: Inahitaji mtu awe na kinasaba cha ubishi kuendeleza mjadala huo!

    Mechi ya jana ya fainali kati ya Argentina na Ufaransa pamoja na kutoa jibu ni nani atakayetwaa kombe la dunia mwaka huu, ilitoa jibu pia ni nani zaidi kati ya Messi na Christiano Ronaldo. Nikiri kwamba mimi ni timu CR7 lakini nimenyoosha mikono!! Messi ni zaidi ya kuwa zaidi! Wenye vinasaba...
  3. BARD AI

    Faini ya Tsh. Bilioni 1 dhidi ya Mgodi wa Williamson Diamond yazua mjadala kwa wadau wa Madini

    Inawezekana kabisa Baraza la Kitaifa la Usimamizi wa Mazingira (Nemc) lina sababu za msingi sana za kuipiga faini ya Tsh. Bilioni 1 (kama dola 434,782.6 kampuni ya Williamson Diamond Limited (WDL), lakini wanamazingira wameonesha wasiwasi kuhusu uamuzi huo. Clay Mwaifwani, mratibu wa mradi...
  4. IamBrianLeeSnr

    Prof. Mkenda: Tuko tayari kwa mjadala wa kitaifa kuhusu Mapendekezo ya Sera ya Elimu na Mitaala

    Mapitio ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 na Mitaala ya Elimu Msingi yamekamilika na yanasubiri mchakato wa ndani ya Serikali ili kupata ridhaa ya rasimu zilizoandaliwa kupelekwa kwa wadau kwa mjadala wa kitaifa. Hayo yameelezwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Profesa...
  5. M

    Kukatika kwa umeme vs Mjadala wa Bashiru haumsaidii mnyonge

    Habari kuna mijadala mingi inaendelea ambayo haina faida kwa mwananchi Mnyonge hasa kuhusu Bashiru, Tuna tatizo kubwa sana la umeme,Kimara siku ya pili tuko gizani kira kitu kimelala,wahusika wafuate walau zamu ya mgao wa kimyakimya.hayo ya Bashiru sizani kama yanatusaidia.
  6. Lusungo

    Rais Samia tufufulie mjadala wa EPA

    Kwako mheshimiwa sana Rais Samia Suluhu Hassan tunakuomba sasa ufufue ule mjadala wa nchi kujiunga kwa mkataba wa EPA. Binafsi naona hakukua na mjadala mpana na wenye tija juu ya nchi kuridhia au kutoridhia zaidi sana naona tuliongozwa na ushabiki kuliko facts. Ni vizuri sasa tufanye review ya...
  7. S

    Dkt. Bashiru kweli kajilipua au lengo ni kufunika mjadala wa mgao wa umeme unaendelea nchini?

    Mgao wa umeme ni tatizo kubwa na linalogusa karibu kila mtu hivyo kisiasa ni jambo la hatari sana kwa CCM. Sasa kuibuka kwa Dr. Bashiru na matamshi yake yanayoonekana kumlenga Bi. Mkubwa kipindi hiki cha mgao, lengo ni kuhamisha attention ya watu kutoka kwenye mgao wa umeme waanze kujadili...
  8. balimar

    Mjadala Kama wa Kitaalamu lakini hauna Utaalamu

    Ukisikiliza hoja hapa unaweza ukachoka mwenyewe Yaan hoja hapa ni "wastani" na uhalali wale wa kutumika kwenye data zote (generalisation) Maana yake uchukue wastani wa JUMLA iliyogawanya kwa idadi ya items kadhaa halafu huo wastani unautaja kwa kila item inahitaji akili za kihisabati tu...
  9. NetMaster

    Hakuna tena mjadala kwamba Jon Jones ndie baba lao wa kupigana ufc, Wengine umaarufu unawabeba

    Achana na kina usman, mac gregor au kina Israel adesanya alietembezewa kichapo na Alex kwa mara ya tatu mfululizo. Hili jamaa la kuitwa Jon Jones ni habari nyingine kabisa, kapoteza pambano moja tu ambalo alimtembezea sana kipigo mpinzani na kumpiga kipepsi side cut cha pua ndio akawa...
  10. Mayor Quimby

    Five chapter za social science PHD thesis huu mjadala kweli

    Yaani mtu uliesoma mpaka A level haya masomo ya biashara yasitaka hesabu au social science ukafunzwa jinsi ya kufanya research mtu mwenye Phd ya hizo fields anakutisha kweli. Kiwango cha elimu ya watanzania kitakuwa duni kweli. Surely if you know how to do research tayght from A level provided...
  11. G

    Mjadala: Forex na betting kipi kigumu?

    Wakuu, Nawakaribisha kujadili hili. Kati ya forex trading na betting kipi kirahisi au kipi waweza sema unaweza jivunia. Binafsi kutabiri outcome ktk forex ni rahisi kuliko kwa betting. Risk ya betting ni 100pecnt ya mtaji wako or stake, ila forex unaweza limit kiasi kadhaa. Betting ina...
  12. Meneja Wa Makampuni

    Mjadala mkubwa wa kitaifa kuhusu nishati safi ya kupikia (gesi na mkaa wa mawe)

    Wizara ya Nishati imeandaa Mjadala Mkubwa wa Kitaifa kuhusu nishati safi ya kupikia utakaozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan tarehe 1-2 Novemba 2022. #pikia #gesi #nishati #safi #LPG #mkaa #wa #mawe #acha #kuni #mkaa #wa #miti #tunza #misitu
  13. Meneja Wa Makampuni

    Ni vikwazo vipi vinadumaza matumizi ya gesi ya kupikia?

    Wizara ya Nishati imetangaza kuandaa kongamano la nishati safi ya kupikia yaani ‘Clean Cooking Conference’ ili kuchunguza vikwazo vinavyodumaza matumizi ya nishati za kisasa za kupikia. Kongamano hilo linalenga kupendekeza mikakati ya kufanikisha upatikanaji wa nishati safi, za bei nafuu na...
  14. Bujibuji Simba Nyamaume

    Je, issue ya Masanja imeletwa kimkakati kututoa kwenye mjadala wa Trilioni 360?

    Nchi hii inaendeshwa na rimoti na watu fulani. Kila mara inapotokea issue yenye maslahi mapana kwa raia, na washika remote hawataki tuijue au tuijadili basi kwa gharama yoyote ile watatuletea tukio la kutupoteza maboya. Kipindi cha kasha ya Epa akaibuliwa Babu wa Loliondo, akapewa promo hadi...
  15. Roving Journalist

    Saratani ya Uvimbe Tumbo kwa watoto

    Mjadala unaendelea muda huu kwenye Twitter Spaces ya JamiiForums Septemba 29,2022. Unaweza kusikiliza kupitia kiunganishi hiki hapa >>> JF SPACES Dr. Shakilu Jumanne Tunachoongelea hapa ni uvimbe unaotokea tumboni. Ni magroup ya magonjwa kadhaa yanayo sababisha saratani tumboni. Dr...
  16. C

    Sera mpya ya elimu inapatikana wapi na wadau wanaoipitia na kuijadili ni akina nani?

    Nimesikia tu kuwa kuna sera mpya ya elimu ambayo kwa sasa wanadau wanaipitia. Swali langu je sera hii inapatikana wapi? Je, kuna forum yoyote inayoijadili? Au ndio mnaini ninyi mlio serikalini ndio wenye akili pekee kujadili sera hiyo? Je hamuwezi kuruhusu hata sisi wa kawaida tuulize hata...
  17. D

    Wabunge hili nalo mkalitazame kwenye mjadala yenu

    Suala la bima kwa wote ni zuri! Lakini hakikisheni sheria isimlazimishe mtu kuwa na bima! Bima kwa wote iwe ni Hiari! Mtu asinyimwe huduma za kijamii kisa hana bima Mtu asinyimwe pembejeo kisa hana bima Mtu asinyimwe damu kisa hana bima Mtu asisafili kisa hana bima Mtu asinyimwe leseni kisa...
  18. C

    SoC02 Mjadala wa wachezaji 12 wa kigeni kwenye ligi kuu Tanzania bara; bado hatui tulipojikwaa?

    Kama kuna biashara inayolipa sasa hivi ni biashara ya mpira wa miguu na vyote vinavyohusiana navyo,hapa nazungumzia biashara kama kuuza na kununua wachezaji,kuuza jezi na vifaa vya klabu,kuonyesha mpira,vituo vya runinga vinalipa fedha ili kupata haki za kurusha matangazo,udhamini mbalimbali...
  19. H

    MJADALA: Mafanikio kibiashara bila uchawi haiwezekani?

    "Oy babu Hauwezi shika milioni kumi au kutengeneza himaya Kubwa kibiashara bila kwenda KWA mganga kuchukua ndagu" Unamwona Fulani ako na kidonda kisichopona ... Mangi anae msukule ndani unaodondosha udenda ambao ni hela... Mpemba anayo majini ... Hizi ni baadhi ya kauli tinazokumbana nazo...
  20. Erythrocyte

    Andrew Chenge afika kwenye Kamati ya Katiba, awataka Wajumbe warudi kwenye Rasimu ya Warioba

    Mzee Chenge , mtu anayeaminika kuwa miongoni mwa wanaccm wachache wenye busara , leo amefika kwenye Kamati ya Rais ya kuratibu maoni ya Katiba mpya na kueleza yaliyo moyoni mwake . Chenge ambaye pia ni Mwanasheria wa Zamani wa Serikali ya Tanzania hakumung'unya maneno , amewataka wajumbe wa...
Back
Top Bottom