NHIF iliwalipia wanaume wengi kujifungua uja uzito kwa upasuaji au njia za kawaida.....
==========================
A male with a big belly. PHOTO | COURTESY
Dodoma. The National Health Insurance Fund (NHIF) reportedly paid hospital bills for male patients to either undergo caesarian or...
Urais wa Samia Suluhu Hassan umeanza na upole. Umeanza na uungwana wa kuwa tayari kupoteza baadhi ya marafiki ili mradi tu taswira yake kimataifa iweze kubakia na heshima. Akaenda Ubelgiji akaonana na Tundu Lissu wakati ambao wapo wana CCM wengi tu wasingependa kumuona akijishusha (kwa mujibu wa...
Mkuu wa nchi ambae ndio ndio custodian wa mali za taifa la watanzania kudai kuwa hawezi kufokea mtumishi wa umma ni kushangaza umma wa watanzania.
Kwamba watumishi wa umma wakiharibu atawabembeleza?
Nimekaa na wazee wengi waliofanya kazi na hayati Julius Nyerere wanasema wazi kuwa Mwalimu...
Kati ya hawa malegend nani alikuwa mkali wa sauti tamu?
Celine Dion
Whitney Houston ( Rip)
Mariah Carey
Mimi naondoka na Celine Dion huyu mwana mama alikuwa ni shida, moja kati ya nyimbo zake kali ninazozipenda.
Love doesn't ask why
A new day has come
Tiririka hapa ni nani ulikuwa...
Huyu jamaa kwa wasanii hapa Bongo bado sijaona msanii anamiliki chombo ya ukweli kama DJ Nalimison.
Huyu hapa shemeji yetu siku alipoenda ukweni kuwatembelea nymbani kwao na kina DJ Nalimison maeneo ya Shinyanga nakuamua kufanya mazoezi maeneo ya Ngokoro matope na maeneo ya jirani na hapo kwao...
Huyu mwanamama RestutaBura ni mpambanaji kwelikweli, pamoja na mambo mengine yanayomkuta bado anasimama kama mmoja wa wanawake hodari na watafutaji kila wapoona fursa. Rest anafanya biashara ya bar, vipodozi na urembo
Rest amekua akifanya biashara kwenye moja ya eneo linalomilikiwa na baba...
Jana hata kabla ya Simba kutoa taarifa kuhusu kumsimamisha Bernard Morrison nilieleza kuwa mchezaji huyo amesimamishwa kwa sababu ya utovu wa nidhamu kwa kile kilichodaiwa kuwa alitoroka kambini.
Baadaye Morrison akapost kwenye pages zake kuwa kuna kitu kikubwa kinakuja akiwa ameweka picha...
Mgawanyiko mkali kati ya watu wa Lukuvi,Tulia,Mussa. Kila mtu anataka mtu wake awe spika wa bunge. Na kila kundi linaona mtu wake ndio anafaa kuwa spika.
Musukuma kubebwa na PhD yake ili kuukwaa uspika.
Ngoja tuone mwisho wa hii kitu.
Wapenda masebene
Bill Clinton toka Congo
Huyu jamaa alikua vizuri sana.
Tutu Calodji kajikata.(yuko vizuri sana)
Alipoondoka Wenge kapotea.
Fille Nyafu kapotea.
Soleir Wanga kapotea
Sabath Obrigado huyu bingwa kapotea
Cele skram kama jina lake anascream tu(simkubali)
Kuna kina chameleoni rapper...
Najua kuna mpishano kidogo wa eras,lakini hawa wote kwa kipindi fulani walishawah kuwa kwenye peak ya Bongo fleva
Kwa mtazamo wako yupi alikuwa mkali zaidi?
Mb Dogg aliwahi kutamba na hits kama
-Latifa
-Si uliniambia
-Mapenzi kitu gani
-Natamani
-Inamaana
kwa upande wa Marlaw
-Rita...
Tanzania sijaona MC mbunifu kama huyu jamaa,baada ya kufatilia video zake nyingi nimegundua hata Anord Kayanda Alikua na style hii.
Huyu jamaa nimemkubali zaidi kwa sababu anapenda rege kama mimi. Ni mkali gani wa rege bongo zaidi ya huyu?
Natumaini wote ni wazima humu jamvini poleni na majukumu pia..! Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza mm ni mpenzi sana wa Ngoma za Hiphop leo na taka tushare pamoja kuhusu Rappers wa kibongo hata huko majuu(ulaya) je ni msanii gani ni best kwa Storytelling song kwa mimi msanii wa kibongo...
Hi there!
Do you remember our history. Here is a story written 27 years ago:
Tanzania Jet Hijacked; 2 Are Reported Killed
Published: February 27, 1982
Hijackers demanding the resignation of President Julius K. Nyerere of Tanzania seized a Tanzanian jetliner with more than 90 passengers...
Ndugu zangu,
Kama wewe ni software & web developer mzuri, na upo Dar, nadhani nina project kwaajili yako.
A quick introduction about the project;-
Project itahusisha utengenezwaji wa high performing website (ambayo ningependa kuiita platform ama portal) kutokana na multifunctionality yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.