movie

Movie Movie is a 1978 American double bill directed by Stanley Donen. It consists of two films, Dynamite Hands, a boxing ring morality play, and Baxter's Beauties of 1933, a musical comedy, both starring the husband-and-wife team of George C. Scott and Trish Van Devere. A fake trailer for a flying-ace movie set in World War I entitled Zero Hour (also starring Scott) is shown between the double feature.
Barry Bostwick, Red Buttons, Art Carney and Eli Wallach also appear in both segments, with Harry Hamlin, Barbara Harris and Ann Reinking featured in one each. The script was written by Larry Gelbart and Sheldon Keller.

View More On Wikipedia.org
  1. Maria Nyedetse

    The Royal Tour (Tanzania) - itazame hapa bure

    Kama hujapata bahati ya kuiona filamu ya Tz Royal Tour ni hii hapa. Enjoy. Utajifunza mengi
  2. L

    Mwijaku: Arusha ndio mji pekee Mlima Kilimanjaro unapatikana

    Akihojiwa na mwandishi wa habari wa kituo kimoja cha tv katika uzinduzi wa filamu inayotangaza vivutio vya kitalii Tanzania. Mwijaku ameulizwa kwa nini uzinduzi wa filamu ya Royal Tour unafanyika Arusha? Amejibu kwa sababu mkoa wa Arusha ndio mji unaopatikana mlima Kilimanjaro. Mwijaku amekuwa...
  3. Lexus SUV

    Movie za Kichina na Kikorea zenye kuonesha historia (hasa za kivita) ni nzuri sana

    Wakuu, nimetoka. Kuangalia movie za nchi tajwa hapo juu za kihistoria ambazo zina akisi yaliyotokea. Into fiction movie , movie hizo ni: 1. SACRIFICE. 2. The BRIGDE AT toko -Ri 3. The steel helmet 4. My way Zote hizo hapo juu zina potray. Historical true war periods that happened...
  4. Wilhelm Johnny

    Kwa wale wapenda movie. Karibu nikusaidie kuipata

    Wakuu ndio nimeanza kuuza movie online natoa ofa mpak mwezi wa saba nitakua natuma movie bure kabisa iwe imetafsiriwa au haijatafsiriwa link nakutumia pm nikiweka hapa mods wanafuta uzi wangu: Kwasasa sipo whatsapp nitatuma link pm na instagram pekee unachotakiwa kufanya ni kunitajia jina la...
  5. N

    Rais kujali uzinduzi wa movie kuliko Siku Muhimu ya Muungano ni aibu kubwa sana

    Leo ni siku muhimu sana katika Taifa Letu. Ni siku ambayo mataifa mawili yaliungana na kuunda Taifa la Tanzania. Cha ajabu Rais huyu tuliyenae kwa sasa hajaona umuhimu yeye na watu wake kuwa apange ratiba zake aweze kuwepo nchini katika siku hii ya leo. Na ni aibu kwa Rais wa nchi kukaa nje...
  6. kindikinyer leborosier

    Steven Mangele (maarufu Steven Nyerere) kuna uhusiano gani wa bongo movie na CCM?

    Assalam wana jamvi! poleni na majukumu ya hapa na pale katika maisha! Moja kwa moja niende kwenye hoja! wakati mwingine ni kweli yamkini hainihusu, lakini hiki ndo kizazi chetu, ndo vijana wetu, na watoto wetu lakini pia ndo ndugu zetu! Muhusika niliemtaja kwa mtazamo wangu ni kama kwa sasa...
  7. H

    Naombeni filamu ya El Carpo au The Body ya 2012

    Naombeni hata link ya kudownload hii movie wadau au nitajieni website ipi nitaupata Huu mzigo maana nimetafuta kimoitv, netnaija na nkiri.com kote huku hakuna itapendeza zaidi ikiwa english subtitle
  8. pilato93

    Hii movie inatwaje?

    Habari wakuu naomba msaada kwa anayeijua hii movie jina lake
  9. Nafaka

    Death on the Nile - kwa wapenzi wa movie

    Wale wa penzi wa movie, aisee tafuteni hii movie ya Death on the Nile imetoka mwezi wa pili. Bonge la movie na bonge la story. Sema sio kwa wale wanaopenda movie za mapigano maana humu hakuna
  10. beth

    Bruce Willis kuachana na uigizaji baada ya kugundulika na Aphasia

    Kama wewe ni shabiki wa movie za kupigana, jina Bruce Willis sio geni kwako. Muigizaji huyo amepata umaarufu kutokana na movie mbalimbali zikiwemo Die Hard, Tears of the Sun, Out of Death, A Day to Die, Unbreakable, RED, The Sixth Sense, Armageddon, American Siege, Apex, Split na Death Wish...
  11. Lycaon pictus

    Movie gani kali uliicheki youtube na sisi tuicheki?

    Youtube kuna full movies nyingi sana. Nyingi za zamani na chache mpya. Ni wewe na bando lako tu, na uzuri youtube haili bando kivile. Mi napenda kutembelea channel inaitwa Wu Tang collection kuangalia movie za zamani za kichina. Hizo ndiyo huangalia sana.
  12. S

    Nawezaje kudownload movie za netflix

    Heshima kwenu wakuu Naomba msaada, hivi nawezaje kudownload movie za netflix Yaan nna laptop,nataka nidownload movie kutoka netfl;ix na kulisave file la iyo movie kwenye laptop Hii inawezekana wakuu? Maana kila nikijaribu kutafuta mafile ya movie niliyodownload kwenye simu kutoka netflix...
  13. Niache Nteseke

    MSAADA : Direct Link Movie ya Sobibor 2018 Wakuu

    Heshima kwenu wakuu. Aisee nimejaribu kuitafuta sana hii movie, naipata lakini nashangaa nikii-download inagoma kabisa, sasa kwa mwenye direct link ambayo nitaweza kui-download kwa urahisi naomba anisaidie wakuu. Natanguliza shukran zangu kwenu wakuu. Thanks.
  14. Rangooo

    Kushuka kwa influence ya Marekani kwenye muziki mzuri pamoja na movie

    Habari wana JF.. katika kipindi cha hivi karibuni kama miaka 5 au 6 nyuma kwa wale wafatiliaji wa entertainment hizi mbili muhimu kwa nchi ya marekani nazungumzia muziki na movie wamenotice kua kuna upungufu kidogo kwenye influence ya hivi vitu kwa sasa. Kwanini???? TUKIANZA NA MUZIKI, Baada...
  15. LIKUD

    Kama unashangaa au hauoni mantiki ya Putin kuivamia Ukraine basi wewe upo kwenye Kundi la watu hawa

    Unatazama movie , kwenye movie Kuna tukio limetokea let's say WTC imelipuliwa. One week later maelfu ya wamarekani wanakusanyika katika viwanja vya Madison square garden Kwa ajili ya kufanya ibada maalumu ya kuwaombea marehemu walio poteza Maisha Yao kwenye tukio Hilo pamoja Na kulaani walio...
  16. L

    Kama unapitia changamoto na unahisi kukata tamaa pita hapa

    " FORREST GUMP" Hii movie itakusaidia kujua kuwa hata mjinga anaweza kukufundisha kitu, ina mafunzo mengi mno ambayo yatakusaidia katika dunia. Kujua kuishi na watu, itakufunza kuwa hakuna ajuaye kesho basi heshimu kila mtu nk. Kama una depression, mid life crisis, anxiety, mambo yako hayaendi...
  17. H

    Msaada naombeni movie ya Tomb of the river

    Nduguzanguni waungwana Nimependa mnipe movie hii ya Tomb of the river ya korea nimependa trailer ikiwa na subtitle au mnipe link yake au website nitayopata hii movie angalizo isiwe na mb kubwa Asanteni Waungwana
  18. Jembebutu

    Ipi bora kati ya kuuza movie na nyimbo, vipodozi na kucha au Chips. Mbagala/Gongo la mboto.

    Habari ndugu. Naumiza sana kichwa kwa imani yangu kwamba pesa ipo uswahilini kwenye biashara ndogondogo. Nawaza kwenda sehemu tajwa na kamtaji kidogo ninacho. Naomba mwongozo na ushauri juu ya biashara hizo kwa wanaoishi na wasioishi maeneo hayo. Natazamia kufanya mojawapo kati ya hizo. Naomba...
  19. benny gilbert

    Movie na Documentaries za KIJASUSI

    Habari wapenda burundani. Kama title linavyojieleza, naomba list ya majina ya movie na documentary za kijasusi. Asante..
  20. Lycaon pictus

    Hivi Bongo movie hawawezi kuuza movie zao kwenye flash?

    Bongo movie inakufa, sababu si quality (japo kweli quality ni chini) kama wengi wanavyodhani bali ni hawana namna ya kuuza movie zao. Ilianza kwa kuuza VHS za kina Majuto. Ikaja CD na DVD. Kipindi hiki walau walikuwa wanapata chochote. Ghafla watu wakaanza kupirate DVD na kuziweka kwenye flash...
Back
Top Bottom