movies

  1. Darucha

    Wanyaturu wamemkosea nini huyu DJ anayetafsiri filamu na series za nje? Haoni kama anatengeneza chuki ya ukabila?

    Huyu DJ mtafsiri wa movies na series za nje anawaponda sana Wanyaturu sijui wamemkosea Nini kwa kweli anaudhi sana huyu. Kila kitu yeye ni Wanyaturu, Wanyaturu mpaka Kero yaaani. Wanyaturu kamshtakini huyu kwa kuwafanya muonekane watu wa Karne ya 20. Hizi ni baadhi ya kauli zake anazozitoa...
  2. Lee

    Special Thread: Best Turkish series & movies

    Wapenzi wa series za Uturuki nikiwa mmoja wapo, japo kuangalia kwa subtitles ni changamoto ila kwenye story wanajitahidi hasa kwenye visa kuanzia vya mapenzi, missions n.k Zifuatazo ni baadhi ambazo nimezielewa story zake 1. ARIZA 2. Tesklat 3. Zemheri 4. Sol yanim Ongezea list wale wapenzi...
  3. Kimbioko

    Stori za kidini katika movies

    Natumai wanajamvi hili wazima. Naomba mwenye kujua majina ya movies zinazolezea masuala ya matukio ya dini za Kiislam na Kikristo..mfano maisha ya Nabii Ibrahim, safari ya Wana wa Israel kutoka utumwani Misri, nk. Itapendeza hata Kama utaniwekea link niweze kufuata na kuaccess vizuri
  4. I am Groot

    Movie Zone: katika sub-movies au movies ni actor/ actress/ Director gani ukigundua kahusika humo ndani lazima uitafute??

    Kwa ukweli mimi kama mdau wa movies nikiri kuwa kuna waigizaji au waongoza movies ni magenious, ni talented haswa na hii hufanya nifuatilie sana kazi zao kwa sababu wanajua nn wanafanya. Kati ya actors ninaowakubali sana ni Henry Cavill, Ryan Raynold hawa jamaa kama vipaji wanavyo sana.
  5. Castr

    Movies in Pictures

  6. Robert Heriel Mtibeli

    Athari mbaya za Bongo Movies kuwa na Vilaza wengi ndani ya jamii

    ATHARI MBAYA ZA BONGO MOVIE KUWA NA VILAZA WENGI NDANI YA JAMII Kwa Mkono wa, Robert Heriel Wapo watu wataona nimewaandama hawa ndugu zetu, lakini lazima ukweli tuuseme. Hatuwezi sema kuwa hakuna athari chanya walizotupatia Bongo Movies ndani ya nchi yetu, zipo faida kadhaa, kama vile, kutoa...
  7. Robert Heriel Mtibeli

    Bongo Movies wengi ni vilaza, si ajabu wameilaza sanaa ya uigizaji. Wasomi ingieni huko

    BONGO MOVIE WENGI NI VILAZA, SIO AJABU WAMEILAZA SANAA YA UIGIZAJI Anaandika, Robert Heriel Hapana shaka sanaa ya Uigizaji kwa sasa imelala Usingizi wa Pono, imelala fofofo na waigizaji wake wanakoroma. Wapo kwenye ndoto za majinamizi wabaya wanaowakimbiza kwenye mitaro huko usingizini. Tangu...
  8. Kibosho1

    Biashara ya movies za nje ni 🔥 sana Kkoo, ni nini kiliua soko la filamu za Tanzania?

    Leo nimepita mtaa wa Likoma maeneo ya Kariakoo kuna biashara kubwa sana ya movies za nje. Zinagombewa na zinauzika sana,nakumbuka kuna wakati Tanzania tulikua juu sana kwenye mambo ya kuigiza,yalikuja malalamiko mengi kuwa wasanii wanaibiwa kazi zao huku wafanyabishara wakidaiwa kufaidika...
  9. Victor Mlaki

    Hivi ni kweli wasanii wa bongo movies wameshindwa kutunga tamthiliya pendwa itakayopata mashiko nchini?

    Tanzania ina wasanii wengi mno lakini cha kusikitisha ubinafsi umewapiga kiasi cha kuua kabisa ubunifu wao. Wazee wenzangu tunakumbuka tamthiliya ya tausi ilivyokuwa na mashiko wakati ule. Hivi inaingi akilini nchi ya uchumi wa kati tunaangalia tamthiliya za wenzetu zilizofasiriwa kwa Kiswahili...
  10. I am Groot

    Wonder Woman 2 Movie (WW84): Wale wapenzi wa movies (big screen) mzigo uko mlangoni

    Baada ya kusubiri kwa muda mrefu tangu june ilipotakiwa itoke na kuahirishwa mara 2 hatimae kitu kimeanza kutoka rasmi. Tambua tarehe ya ufunguzi katika nchi yako ukaenjoy. Pia itapatikana katika app ya HBO MAX kwa malipo ya $14 tu. The latest international release schedule appears below...
  11. SteveMollel

    Bless weekend yako na hizi movies..

    Kama si muda kubana, tungaliona thread hii tangu jana (Ijumaa), lakini hakuna kilichoharibika, bado ni weekend so twende na hizi hapa kuanzia usiku huu... Hii itakuwa ni thread yangu ya nane sasa katika mfululizo wa 'movies to watch'... kama ni mgeni, basi waweza zipitia moja baada ya nyingine...
  12. I AM NO ONE

    Tv show na movies za HBO na HBO Max zinachochea mapenzi ya jinsia moja kwa kwenda mbele

    Habari wapenzi wa burudani nimeona nilete kwenu hii issue nimetizama movies nyingi kiasi zikiwemo za hbo huko mambo ni mazito kidogo yaani ukiwa unacheck movies zake inabidi uwe peke yako au uwe na demu wako maana sio kukaa na watoto maana unaeza aibika. Huko ni mchezo wa wanaume kwa wanaume...
  13. SteveMollel

    Chukua muda wako kutazama hizi Movies Weekend hii

    Nina furaha nimerudi tena uwanjani hapa ikiwa ni toleo langu la saba sasa kuhusu movies mbalimbali. Ni matumaini yangu mko salama. Sasa Weekend ndo' hiyooo inasogea, wengine hatuna mambo ya clubs wala drinking, tunafanyaje? Tunakaaa ndani kutazama movies. Bila kupoteza muda, tutazame movies...
  14. Brastus Jnr

    Site ya kudownload movies

    Natafuta site nzuri kwa ajili ya kudownload movie kwenye simu.
  15. Xzone

    List ya Websites za Kudownload Movies kwa MB Ndogo

    1. https://www.fzmovies.net/ Ni moja ya tovuti yenye mkusanyiko mkubwa wa sinema ambazo unaweza kuangalia kwenye simu au kompyuta yako. Pia Inaruhusu Watazamaji Kupakua Sinema. 2. Mobile Movies - Tovuti hii ilijengwa kwa ajili ya watu wanaotumia simu za kawaida(mobile), Sinema Zote Zipo...
  16. mwaswast

    Bongo Movies vs Kenyan Movies

    Movie industry in East Africa inaendelea kupiga hatua sana haswa kwenye quality ya picha, creativity, graphics na storyline. Kenya Kama kawaida ndio kinaara ifikapo quality in terms of production and creativity ukilinganisha na Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Kenyan Movie Bongo Movies
  17. SteveMollel

    Movies kali za weekend hii (Session 06)

    Ni matumaini yangu mko poa. Ni ‘weekend’ sasa, muda ambao tunapata mapumziko, hivyo basi si vibaya kama tukipata wasaa wa kupakua na kutazama filamus kadhaa kwa ajili ya burudani na pia kujifunza. Bila kupoteza muda, tuzame kwenye hizi hapa ambazo naamini hautajutia ukizipatia muda na bundle...
  18. SteveMollel

    Wewe ni mpenzi wa Movies? (Session 05). Tupia jicho hapa..

    Niaje, wakuu? Kama kawaida tunakutana katika mfululizo wetu wa tano sasa wa kugusiana filamu kuhamasishana kuzitazama na kuzielewa. Bila maneno mingi, na tuanze. Karibu. IDENTITY ya 2003. Kuna watu wanaamini hamna kitu kinachotokea duniani kwa bahati mbaya. Kila kitu kimepangwa na kipo kwa...
  19. T

    Hivi mnaoangalia au kupenda movies mnapata raha gani?

    Sijui kama ni mimi au kuna wengine tunaoona movies ni kama michezo ya kitoto au watoto wadogo. Mimi akili yangu imegoma kabisa kuzielewa movies. Hata nikiangalia baadae sikumbuki nilikua naangalia kitu gani. Naona kama ni childish sana. Nimejitahidi kuangalia movies lakini wapi akili yangu...
  20. Sky Eclat

    Wahenga tukumbushane 80’s movies

Back
Top Bottom