movies

  1. I am Groot

    HOLLYWOOD MOVIES: kwa nini huwa wanaweka filter za rangi za ajabu ajabu hasa kwenye scenes au movies zinazohusu Africa, India, .......?

    Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa movies utagundua jambo hili. Movie au vipande vingi vya sinema vinavyohusu nchi zisizo za kimagharibi utakuta wameweka rangi kama kuna vumbi vumbi😀. Hivi huwa wanatuonaje? Mfano huu hapa chini Moja ya picha ya kipande toka kwenye kampuni kubwa ya kutengeneza...
  2. Deejay nasmile

    Movies zilizotoka 2022 toka hollwood hizi hapa...bando lako tu

    Weka bando...chagua mzigo unaoutaka then ushushe.... Ukitaka kunipa ya vocha unakaribishwa pia...ili niendelee kuwatafutia vitu vitamu zaidi.... http://103.222.20.150/ftpdata/Movies/Hollywood/2022/
  3. Mr HQ

    Naombeni Ushauri Kuhusu Biashara ya Kukodisha CD za Movies

    Habari Ndugu Zangu Naimani Wote Ni Wazima Wa Afya.🙏 Ndugu Zangu Nimepata Wazo La Kufanya Biashara Ya Library Yani Kuban Movies Kwa empty CD Na Music Pia Kuuza Flash Na Memory Card Pia Kuuza Vifaa Vidogo Vidogo Vya Simu Kama Vile Earphones, Makava Ya Simu Na Chaji. Kwani Mtaji Ninao...
  4. MK254

    Netflix helps produce three Kenyan movies, offers Sh33m to train local actors

    Netflix is helping produce three Kenyan movies and will spend Sh33 million to train actors, as part of its investment in local content. The three are in different stages of production while their licensed local titles are being reviewed by Netflix. The US streaming service said the Kenyan...
  5. N

    CHADEMA ya sasa imekuwa kama Bongo Movies!

    1. Hawaeleweki wanataka na wanasimamia nini kama yasivyoeleweka maudhui ya bongo movies! mfano: kufeli kwa ukuta na ukusanyaji wa michango mbalimbali ya fedha kutoka kwa walalahoi 2. Wamekuwa na vijikaulimbiu (slogans) viiingi visivyo na maana kama titles za bongo movies. baadhi ya...
  6. Niache Nteseke

    MSAADA : Naombeni Direct Link za Hizi Movies TERMINATOR & SUPERMAN Part Zote Wakuu.

    Heshima kwenu wakuu. Nimekumbuka hizo movies hapo juu niliziangalia nikiwa mdogo, sasa nimezikumbuka nahitaji kuziangalia tena zote in series kuanzia ya mwanzo mpaka ya mwisho. Najua wadau mtanipa muongozo ili niweze kuzi-download mwanzo mpaka mwisho wakuu. Natanguliza shukran zangu za dhati...
  7. S

    Mwanajeshi wa SAS, Uingereza, awaonya raia wa UK wasijaribu kwenda vitani Ukraine, badala yake wakae nyumbani waangalie movies za 'Call of Duty '

    Aliyekuwa mwanajeshi wa SAS amewaasa raia wa kawaida wa Uingereza wakae nyumbani na watazame kwa umakini movies za 'Call of Duty' badala ya kusafiri kwenda Ukraine kupigana na majeshi ya Russia. Phil Campion, mwenye miaka 53, alihudumu jeshini toka mwaka 1997, na akashiriki mapigano ktk kikosi...
  8. Forest Hill

    Tukumbushane movies za zamani za Nyumbani

    Habari za Asubuhi movie lovers hope mmeamka Salama..back to the bussines,movie gani za zamani unazopenda au kukumbuka Sana?? Kiasi kwamba ukiiona tena unapatwa Na nostalgia??Mimi nitataje chache. 1:Kifo Haramu 2:Shamba Kubwa 3:Nsyuka 4:Gubu La wifi 5:Chiku na Kapili 6:Shumileta Nawe shusha zako
  9. M

    King'amuzi gani kinaonesha Movies za MGM?

    Anayejua Kingamuzi gani naweza kununua nikaona zile Movie za zamani za MGM zenye Nembo ya Simba anijuze. Maana Nazielewa Sana. Najua humu kuna wataalamu hawashindwi kitu.
  10. Swahili Subtitler

    Subtitles za Kiswahili kwa movies na series zote zinapatikana

    Kwema wakuu! Faida ya kuangalia Movie au Series ni kuelewa kiundani neno kwa neno na Story nzima. Kwa wale wapenda Movies na Series kutoka nje ya nchi ambazo hawatumii Kiswahili kama lugha mama, wanaelewa ugumu wa kushindwa kuelewa kinachoendelea kwenye Movie au Series husika sababu tu ya...
  11. S

    Best movies 2021

    Kwa wale wapenzi wa movies naomba mdondoshe Movies Kali za mwaka huu iwe actions or horror ambazo kwako wew ndio best movies in 2021 🔥 Nataka nami nisibaki nyuma natamani kuzitazama 🤝
  12. Red Giant

    Quotes kali kutoka bongo movies

    Wakuu naomba tushirikishane quotes kali kutoka bongo movies.
  13. P

    INAUZWA Transcend External 2 TB 100,000 & 3 TB 200,000 used,mint condition

    Habari, Zipo external za transcend, used but in mint condition. 2TB kwa 100,000 FIXED 3TB kwa 200,000 FIXED Call 0712198128 Call 0712198128 Call 0712198128
  14. APPROXIMATELY

    Kuuza na kukodisha movie: Biashara simple faida kubwa

    Habari wana jukwa hili tamu,moja kwa moja ngoja nienda kwenye point,kuna biashara ya LIBRARY YA KUINGIZA NYIMBO NA KUKODISHA CD ni biashara inayoonekana ya kawaida sana,ila ni biashara yenye pesa nyingi tu,ninaposema pesa nyingi nina maana faida kibao,isiyo na presha ya mtaji kukata,mara bidhaa...
  15. Chizi Maarifa

    Kwa wapenzi wa Music na Movies. Wireless earbuds za bei rafiki zinazokaa na charge muda mrefu

    Nahitaji wireless earbuds ambazo zinaweza kaa na charge kwa muda mrefu. Lets say masaa 8-12. Kama unazifahamh please nijulishe. Na bei iwe rafiki tu ya kitanzania.maana nmeshanunua sana na kukuta ni bomu masaa unakuta 3-4 charge imeisha na wameniuzia tsh 50,000 + kuna mtu anasema inawezekana...
  16. rr4

    FinanceBuzz will pay an individual $1,300 to watch 13 scary movies in October

    #Repost CNN @download.ins --- FinanceBuzz will pay an individual $1,300 to watch 13 scary movies in October, in an effort to find out whether the size of a movie's budget impacts its scariness. They will monitor the person's heart rate during the films using Fitbit, the company said.⁠ ⁠ The...
  17. my name is my name

    Hivi wazungu hawawezi kutengeneza movies/ series bila gay scenes?

    Movies zao karibia zote lazima ziwe na characters ambao ni gays. Nlikuwa nangalia Bridgerton, nmeangalia mpk episode ya 3 sijaona scenes zenye hyo mambo mpk nkajisemea wamejtahidi kweli 😂 Hee kufika episode ya 4 wameonyesha gays km kawaida yao. Halafu scene yenyewe ina km sekunde 5 tu hta...
  18. Robert Heriel Mtibeli

    #COVID19 Askofu Gwajima Kaathiriwa na Filamu za Hollywood "Fiction movies" Pamoja na Mambo dhahania

    GWAJIMA AMEATHIRIWA NA FILAMU ZA HOLLYWOOD "FICTION MOVIES" PAMOJA NA MAMBO DHAHANIA. Na, Robert Heriel. Gwajima anaonekana ni muumini mkubwa wa filamu za kimarekani "Hollywood", hasa zile fiction movies, adventure movies na Horror movies. Ukimsikiliza Kwa umakini mkubwa Ndugu Gwajima...
  19. Living Pablo

    Naombeni orodha ya movies za kihalifu

    Habari zenu wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomben mnitajie list ya movie kali za kihalifu au kihuni kama hizi nlizowah kuziona mimi. -Living Pablo -Narcos season -El Mariachi Mostly zinakuwa za South America hasa Mexico na Colombia.
Back
Top Bottom