Dambisa Felicia Moyo (born (1969-02-02)2 February 1969) is a Zambian-born economist and author who analyzes the macroeconomy and global affairs. She currently serves on the boards of Barclays Bank, the financial services group, Seagate Technology, Chevron Corporation, the global miner Barrick Gold, and the 3M Company. She worked for two years at the World Bank and eight years at Goldman Sachs before becoming an author and international public speaker. She has written four New York Times bestselling books: Dead Aid: Why Aid Is Not Working and How There Is a Better Way for Africa (2009), How the West Was Lost: Fifty Years of Economic Folly – And the Stark Choices that Lie Ahead (2011), Winner Take All: China's Race for Resources and What It Means for the World (2012), and the most recent Edge of Chaos: Why Democracy Is Failing to Deliver Economic Growth – and How to Fix It (2018). She holds a bachelor's degree in chemistry and an MBA from American University, an MPA from the Harvard Kennedy School, and a DPhil in economics from the University of Oxford.
Sio lazima wapitishwe, siyo lazima wapendekezwe. Ni muhimu ionekane demokrasia ipo na haiogopwi. Watu wasitishwe au kukatishwa tamaa. Kazi, sera, mitazamo na mafanikio yaliyosheheni ya Magufuli yanaonekana.
Kuna mwanaCCM mwingine anafikiri anaweza kufanya au kuongoza tofauti na bora kuliko...
Hali ni mbaya sana Sudani Kusini kuhusiana na huu ugonjwa. Kama ilivyokuwa kwetu na kugongelewa vilivyo na Mh. Makonda: "Watu huko wanapukutika kweli kweli." Hii siyo siri ya kuficha tena.
Ndani ya mwezi mmoja tu hali iko hivi:
Horror as South Sudan Loses 35 Generals, Senior Officials in one...
Katika maisha ya kila siku na kumbo la wakati Binadamu tunakutana na masuala mengi mno mengine yanaumiza na kukatisha tamaa lakini katika yote hayo bado tunakuwepo na mioyo yetu.
Hata katika hali ya hatari kubwa kiasi gani bado rafiki wa karibu ni wewe mwenyewe. Jenga urafiki wa dhati na moyo...
Natumai hamjambo wananzengo
Wakuu kuna binadam wana moyo sana, hili nimelithibitisha baada ya huyu bwana kunisimulia kisa chake.
Ipo hivi, huyu bwana alisoma chuo kimoja na mpenziwe, wakiwa chuo mpenziwe alimcheat na lekcha jamaa akasamehe maisha yakaendelea.
Siku nyingine akawa anahtaji...
Mh Mbowe ujue kwamba mti wenye matunda ndio hupigwa mawe.
Watanzania bado Wana Imani nawewe mnoo na wapinzani wenu wanajua Hilo.
Wanazijua nguvu zako hivyo hawataacha kukuandama.
Kumbuka yesu alisalitiwa na Petro wewe ninani hata uepuke kikombe hicho?
Wanaohamia CCM Sasa mbowe na chadema...
Wagonjwa wenye matatizo ya moyo, kisukari, shinikizo la juu la damu, figo na saratani wameshauriwa kuhudhuria kliniki zao bila kukosa ili kuepuka kupata madhara ya kiafya ikiwa ni pamoja na kupoteza maisha.
Rai hiyo ilitolewa jana Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya...
TANZIA
Ndugu yangu wa karibu Dr. KINABO anayemiliki Dispensary za Avenue hapa Dodoma, amefariki leo asubuhi. Nikiwa mwanafamilia naendelea kuisihi Serikali iwe serious na changamoto inayolikabili Taifa kwa sasa. Mchezo wao ndio mauti yetu. RIP Daktari.
The best speech ever kutoka kwa mkuu wa mkoa bora kabisa tangu hii nchi ipate uhuru,tumekaribia kufika nchi ya ahadi TUPO PAZURI MNOO,NARUDIA TUPO PAZURI MNOOO
Watakuja hapa vibaraka wa mabeberu kupinga lakini nakuhakikishia KISHINDO CHA AWAMU YA TANO kimegonga kote duniani na heshima ya nchi...
Ilitokea zama za utawala shupavu wa misri.
Pharao aliwatumikisha wana wa Mungu na kuwatesa, hakuwapa nafasi ya kuabudu sawasawa na matakwa ya Mungu.
Hata walipoomba 'kutoka' Pharao aliwakatalia.
Pharao alipigwa mapigo sita akayavumilia.
Pigo la Saba ambalo liliua kila mzaliwa wa kwanza wa kila...
Wahenga walishasema tangu zamani kwamba kutoa ni moyo , na wala si utajiri , huyu Devota Minja yeye ameamua kutoa barakoa ili kuwaokoa wananchi dhidi ya vifo vya corona.
Lakini inafahamika kwamba Tajiri Mohamed Abood yeye miaka yote anatoa Magari ya kubebea maiti kupeleka makaburini kuzika ...
1. si mpenda pesa
2. si mwenye dharau
3. si mwana wa shetani
4. si muongo na mbabaishaji
5. si malaya / muhuni
6. si mwizi na mchawi
7. si mpumbavu na mnafiki
wasifu wangu kiufupi
majina: cellulaire mjukuu chirama
dini: mkristo wa dhehebu la katoliki
kabila: myao kutoka mkoani lindi
umri...
Vijana wengi wa kiume wamekuwa wakiwapomda sana single mama kwa kuwakashifu kuwa hawawezi kuolewa. Wanaume weng wanaamin kuwa ukimuoa single maza atakusumbua kwa tabia mbaya hasa ile ya kuwasiliana na mzaz mwenzi. Lakn ukweli ni kwamba single maza wanaolewa na wanakalika katka ndoa!
Wewe...
Wakuu poleni na janga la Corona , pamoja na taarifa nyingi sana kutoka kwenye vyombo vya habari ni kuhusu Corona , lakini nchini Tanzania kuna tatizo kubwa sana la mafuriko kwenye maeneo mengi , na hivyo kuleta shida kubwa sana kwa wananchi wa maeneo husika.
Kumekuwa na uharibifu wa makazi ya...
Penzi la beki tatu sehemu ya 1...
Iman yangu wazima nyote!
Sikuwahi kuandika chochote humu ingawa ni msomaji mzuri wa nyuzi humu jukwaan hasa jukwaa hili.
Mimi ni mfanyakazi katika taasisi moja ya serikali ambapo hapo ofisini nafanyakazi na madam ambaye anaishi katika nyumba za taasisi...
WANAUME wengi wanaamini wanawake, kwa kawaida, ‘wanapenda hela.’ Kwamba ukiweza kumhakikishia mwanamke 'uhakika wa kiuchumi' unakuwa umemaliza. Ingawa hatuwezi kupuuza ukweli kuwa uhakika wa 'kiuchumi' ni moja wapo ya mahitaji ya mwanamke, lakini si sahihi kuamini kuwa moyo wa mwanamke unaweza...
Mtoto wa miaka 11 alitibiwa kansa ya ubongo. Alipofahamu kuwa hatapona aliamua kuchangia moyo na figo zake kwa watoto wanaozihitaji. Mauti yalipomfika jopo la madaktari na manesi waliomtibu walimpa heshima kubwa.
An 11-year-old boy with brain cancer's wish to donate his organs moved his...
Kwekweli Leo nilikuwa na mihadi na demu wangu mpya sijawahi kula hata siku moja keshakula vyangu leo ijumaa tumepanga tukatiane namcheki muda huu naambiwa namba nayopiga imezuiliwa kupokea simu kwa sasa nijaribu tena baadae Wakati Jana tumapanga vizuri tu hii hari inaniumiza mno kwakweli, nahivi...
Kwekweli Leo nilikuwa na mihadi na demu wangu mpya sijawahi kula hata siku moja keshakula vyangu leo ijumaa tumepanga tukatiane namcheki muda huu naambiwa namba nayopiga imezuiliwa kupokea simu kwa sasa nijaribu tena baadae Wakati Jana tumapanga vizuri tu hii hari inaniumiza mno kwakweli 😥😥😥😥
Kwekweli leo nilikuwa na mihadi na demu wangu mpya sijawahi kula hata siku moja keshakula vyangu leo ijumaa tumepanga tukatiane namcheki muda huu naambiwa namba nayopiga imezuiliwa kupokea simu kwa sasa nijaribu tena baadaye hii hali inaniumiza mno kwakweli 😥😥😥😥
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.