moyo

Dambisa Felicia Moyo (born (1969-02-02)2 February 1969) is a Zambian-born economist and author who analyzes the macroeconomy and global affairs. She currently serves on the boards of Barclays Bank, the financial services group, Seagate Technology, Chevron Corporation, the global miner Barrick Gold, and the 3M Company. She worked for two years at the World Bank and eight years at Goldman Sachs before becoming an author and international public speaker. She has written four New York Times bestselling books: Dead Aid: Why Aid Is Not Working and How There Is a Better Way for Africa (2009), How the West Was Lost: Fifty Years of Economic Folly – And the Stark Choices that Lie Ahead (2011), Winner Take All: China's Race for Resources and What It Means for the World (2012), and the most recent Edge of Chaos: Why Democracy Is Failing to Deliver Economic Growth – and How to Fix It (2018). She holds a bachelor's degree in chemistry and an MBA from American University, an MPA from the Harvard Kennedy School, and a DPhil in economics from the University of Oxford.

View More On Wikipedia.org
  1. Mzee Mwanakijiji

    Kutamalaki Demokrasia: CCM iwatie moyo Wanachama kuchukua fomu za Urais

    Sio lazima wapitishwe, siyo lazima wapendekezwe. Ni muhimu ionekane demokrasia ipo na haiogopwi. Watu wasitishwe au kukatishwa tamaa. Kazi, sera, mitazamo na mafanikio yaliyosheheni ya Magufuli yanaonekana. Kuna mwanaCCM mwingine anafikiri anaweza kufanya au kuongoza tofauti na bora kuliko...
  2. B

    Corona: Sudan ya Kusini hali ni tete, tuwasaidie. Uzoefu tunao

    Hali ni mbaya sana Sudani Kusini kuhusiana na huu ugonjwa. Kama ilivyokuwa kwetu na kugongelewa vilivyo na Mh. Makonda: "Watu huko wanapukutika kweli kweli." Hii siyo siri ya kuficha tena. Ndani ya mwezi mmoja tu hali iko hivi: Horror as South Sudan Loses 35 Generals, Senior Officials in one...
  3. Victor Mlaki

    Usiukatishe tamaa moyo wako kwani kila wakati na katika kila hali unasimama na wewe

    Katika maisha ya kila siku na kumbo la wakati Binadamu tunakutana na masuala mengi mno mengine yanaumiza na kukatisha tamaa lakini katika yote hayo bado tunakuwepo na mioyo yetu. Hata katika hali ya hatari kubwa kiasi gani bado rafiki wa karibu ni wewe mwenyewe. Jenga urafiki wa dhati na moyo...
  4. Y

    Kuna binadamu wana moyo...

    Natumai hamjambo wananzengo Wakuu kuna binadam wana moyo sana, hili nimelithibitisha baada ya huyu bwana kunisimulia kisa chake. Ipo hivi, huyu bwana alisoma chuo kimoja na mpenziwe, wakiwa chuo mpenziwe alimcheat na lekcha jamaa akasamehe maisha yakaendelea. Siku nyingine akawa anahtaji...
  5. Superbug

    Uchaguzi 2020 Mbowe uwe na moyo mkuu! Ni msimu wa kusulubiwa utapita na utabaki salama

    Mh Mbowe ujue kwamba mti wenye matunda ndio hupigwa mawe. Watanzania bado Wana Imani nawewe mnoo na wapinzani wenu wanajua Hilo. Wanazijua nguvu zako hivyo hawataacha kukuandama. Kumbuka yesu alisalitiwa na Petro wewe ninani hata uepuke kikombe hicho? Wanaohamia CCM Sasa mbowe na chadema...
  6. M

    Mahudhurio ya wagonjwa wa moyo yapungua JKCI kwa hofu ya COVID-19

    Wagonjwa wenye matatizo ya moyo, kisukari, shinikizo la juu la damu, figo na saratani wameshauriwa kuhudhuria kliniki zao bila kukosa ili kuepuka kupata madhara ya kiafya ikiwa ni pamoja na kupoteza maisha. Rai hiyo ilitolewa jana Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya...
  7. Terrible Teen

    TANZIA Dkt. Kinabo ambaye ni daktari bingwa wa moyo afariki dunia leo Dodoma

    TANZIA Ndugu yangu wa karibu Dr. KINABO anayemiliki Dispensary za Avenue hapa Dodoma, amefariki leo asubuhi. Nikiwa mwanafamilia naendelea kuisihi Serikali iwe serious na changamoto inayolikabili Taifa kwa sasa. Mchezo wao ndio mauti yetu. RIP Daktari.
  8. N

    VIDEO: Best speech ya Makonda, tumekaribia nchi ya ahadi, hii video inanipa moyo sana

    The best speech ever kutoka kwa mkuu wa mkoa bora kabisa tangu hii nchi ipate uhuru,tumekaribia kufika nchi ya ahadi TUPO PAZURI MNOO,NARUDIA TUPO PAZURI MNOOO Watakuja hapa vibaraka wa mabeberu kupinga lakini nakuhakikishia KISHINDO CHA AWAMU YA TANO kimegonga kote duniani na heshima ya nchi...
  9. jogi

    Pigo la vifo liliuleeza moyo wa farao, bado kitambo kidogo mtamwabudu Mungu kwa roho na kweli.

    Ilitokea zama za utawala shupavu wa misri. Pharao aliwatumikisha wana wa Mungu na kuwatesa, hakuwapa nafasi ya kuabudu sawasawa na matakwa ya Mungu. Hata walipoomba 'kutoka' Pharao aliwakatalia. Pharao alipigwa mapigo sita akayavumilia. Pigo la Saba ambalo liliua kila mzaliwa wa kwanza wa kila...
  10. Erythrocyte

    Devota Minja amwaga maelfu ya barakoa Morogoro ili kuwakinga Wananchi na Corona

    Wahenga walishasema tangu zamani kwamba kutoa ni moyo , na wala si utajiri , huyu Devota Minja yeye ameamua kutoa barakoa ili kuwaokoa wananchi dhidi ya vifo vya corona. Lakini inafahamika kwamba Tajiri Mohamed Abood yeye miaka yote anatoa Magari ya kubebea maiti kupeleka makaburini kuzika ...
  11. C

    Natafuta Mwanamke wa kuoa ambaye ana hizi sifa

    1. si mpenda pesa 2. si mwenye dharau 3. si mwana wa shetani 4. si muongo na mbabaishaji 5. si malaya / muhuni 6. si mwizi na mchawi 7. si mpumbavu na mnafiki wasifu wangu kiufupi majina: cellulaire mjukuu chirama dini: mkristo wa dhehebu la katoliki kabila: myao kutoka mkoani lindi umri...
  12. 44mg44

    Kama uliolewa ukiwa "single mother" na ndoa ikadumu njoo uwape moyo wenzio!

    Vijana wengi wa kiume wamekuwa wakiwapomda sana single mama kwa kuwakashifu kuwa hawawezi kuolewa. Wanaume weng wanaamin kuwa ukimuoa single maza atakusumbua kwa tabia mbaya hasa ile ya kuwasiliana na mzaz mwenzi. Lakn ukweli ni kwamba single maza wanaolewa na wanakalika katka ndoa! Wewe...
  13. Erythrocyte

    Kutoa ni moyo: Ole Sosopi amwaga misaada kwa Wahanga wa Mafuriko Ismani

    Wakuu poleni na janga la Corona , pamoja na taarifa nyingi sana kutoka kwenye vyombo vya habari ni kuhusu Corona , lakini nchini Tanzania kuna tatizo kubwa sana la mafuriko kwenye maeneo mengi , na hivyo kuleta shida kubwa sana kwa wananchi wa maeneo husika. Kumekuwa na uharibifu wa makazi ya...
  14. Mkuna mgongo

    Msaidizi wa kazi za ndani aliyeuteka moyo wangu

    Penzi la beki tatu sehemu ya 1... Iman yangu wazima nyote! Sikuwahi kuandika chochote humu ingawa ni msomaji mzuri wa nyuzi humu jukwaan hasa jukwaa hili. Mimi ni mfanyakazi katika taasisi moja ya serikali ambapo hapo ofisini nafanyakazi na madam ambaye anaishi katika nyumba za taasisi...
  15. mmewadadako

    Mambo yanayoweza kugusa moyo wa mwanamke

    WANAUME wengi wanaamini wanawake, kwa kawaida, ‘wanapenda hela.’ Kwamba ukiweza kumhakikishia mwanamke 'uhakika wa kiuchumi' unakuwa umemaliza. Ingawa hatuwezi kupuuza ukweli kuwa uhakika wa 'kiuchumi' ni moja wapo ya mahitaji ya mwanamke, lakini si sahihi kuamini kuwa moyo wa mwanamke unaweza...
  16. Sky Eclat

    Madaktari na manesi wamempa heshima mtoto wa miaka 11 kwa ujasiri wake

    Mtoto wa miaka 11 alitibiwa kansa ya ubongo. Alipofahamu kuwa hatapona aliamua kuchangia moyo na figo zake kwa watoto wanaozihitaji. Mauti yalipomfika jopo la madaktari na manesi waliomtibu walimpa heshima kubwa. An 11-year-old boy with brain cancer's wish to donate his organs moved his...
  17. Erythrocyte

    Kutoa ni moyo : Mbunge wa Mbeya Mjini awakumbuka Wafungwa wenzake , atembelea gereza alilofungwa , amwaga zawadi

    Kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu hakutakuwa na picha ya tukio
  18. Kapepo

    TCRA mlichonifanyia kinaumiza Sana moyo wangu

    Kwekweli Leo nilikuwa na mihadi na demu wangu mpya sijawahi kula hata siku moja keshakula vyangu leo ijumaa tumepanga tukatiane namcheki muda huu naambiwa namba nayopiga imezuiliwa kupokea simu kwa sasa nijaribu tena baadae Wakati Jana tumapanga vizuri tu hii hari inaniumiza mno kwakweli, nahivi...
  19. Kapepo

    TCRA mlichonifanyia kinaumiza Sana moyo wangu

    Kwekweli Leo nilikuwa na mihadi na demu wangu mpya sijawahi kula hata siku moja keshakula vyangu leo ijumaa tumepanga tukatiane namcheki muda huu naambiwa namba nayopiga imezuiliwa kupokea simu kwa sasa nijaribu tena baadae Wakati Jana tumapanga vizuri tu hii hari inaniumiza mno kwakweli 😥😥😥😥
  20. Kapepo

    Mtandao wa simu mlichonifanyia kinaumiza sana moyo wangu

    Kwekweli leo nilikuwa na mihadi na demu wangu mpya sijawahi kula hata siku moja keshakula vyangu leo ijumaa tumepanga tukatiane namcheki muda huu naambiwa namba nayopiga imezuiliwa kupokea simu kwa sasa nijaribu tena baadaye hii hali inaniumiza mno kwakweli 😥😥😥😥
Back
Top Bottom