Kwenu Secretariat ya Ajira. Mliweka Nafasi za kazi za MDA na LGA hapo July 2022. Wasaka Ajira tukajitosa kuomba Tena Kwa Gharama kubwa na Sifa mlizotaka zipo. Mrejesho toka kwenu ikawa Received.
Mpaka Leo hakuna jibu lingine la maybe not shortlisted au shortlisted au nafasi hii imechukuliwa...
Mara ya mwisho kujihusisha na mapenzi ilikuwa mwaka jana na mwezi wa 10 hivi, Nikipiga hesabu inakaribia mwaka
Mtu wa mwisho kukutana naye ameolewa na ameshajifungua. Baada ya kukaa mwaka bila show haya ndiyo mabadiliko ambayo nayaona.
Kila mwanamke namuona ni mzuri, natamani kila mwanamke na...
Habari wadau,
Nahitaji kwa ambae anatumia huduma ya Internet ya Vodacom supakasi unlimited atupe mrejesho huduma yao ikoje upande wa kasi na kama Mbps unazolipia ndizo unazopata siku zote za mwezi.
UPDATE APRIL 2023
Nilijiunga na Ttcl fibre baada ya Vodacom kukuta eneo langu halina 5G coverage.
Ni siku nyingi zimepita, nimeona ni vyema nitoe mrejesho. Kesi ilimalizika mwaka 2017, na nilipata talaka yangu, hilo ndilo jambo la msingi kwangu.
Alifanikiwa kuchukua gari polisi maana polisi walisema ni kesi ya madai na sio ya jinai. Baada ya kuchukua gari alienda kuiuza na kununua gari...
Habari nadhani wadau na wapendwa mnakumbuka niliandika uz hapa wa kuulizia pesa za kujikimu.
Thread 'Hela za kujikimu kwa waajiriwa wapya ziko wapi 2022'
Dokezo - Hela za kujikimu kwa waajiriwa wapya ziko wapi 2022
Sasa pesa wamewapa waajiriwa 2022 ila upigaji ni mwingi saana hususani...
Habari wakuu,
Kuna hawa jamaa wa M-gas wanakopesha gesi kwa elf 30 tu kisha unakuwa unajinunulia gesi kwa matumizi yako. Wanasema hata ukiwa na buku tu unapata gesi.
Waliotumia tunaomba kujua faida na changamoto zake. Mfano, hiyo gesi ya buku unaweza kufanyia chochote? Je, unaweza kununua hata...
Utangulizi
Utayari ni hali ya kuafiki au kukubali jambo fulani. Hivi sasa kumekuwa na mikanganyiko ya aina mbalimbali baina ya nchi na watu wake, huku ikionekana kuwapo kwa upinzani kutoka kwa wananchi juu ya masuala mbalimbali yahusuyo uendeshaji wa nchi kwa ujumla.
Mpaka sasa ni dhahiri kuwa...
Nina uzito wa kilo 84 nataka nipunguze angalau zibaki 70!
Nina kitambi kama mfuko kiasi cha kupata shida sana wakati wa kuvaa soksi!
Njia ya mazoezi nimejaribu imenishinda! Naambiwa kuna dawa za mitishamba zinauzwa huko ukinywa unahalisha mafuta kitambi na uzito unapungua!
Naomba kama kuna...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kwa kifupi nimekua nikitumia beta blocker kwa takriban inaelekea kufika miezi 8 hivi na baada ya muda kidogo kuringana na ushauri wa doctor kwa kuniambia niache kutumia hizi dawa beta blocker (NEBIVOLOL 5MG TAB), hivyo nikaona sio mbaya kuziacha nikajaribu...
Nikili yakuwa lile tangazo nililoliweka jukwaa ili limenipatia picha Kamili ya vijana waliomo humu wengi yakuwa hawajui maana ya matumizi ya mitandao.
Nitaeleza vyema naomba mnielewe na msome andiko hili na mwelewe vyema sio Kila mtu anae weka tangazo humu anakuwa anataka akuchunguze na kukujua...
Leo nimejikuta nakumbuka mambo mbalaimbali tuliyopitia Kama taifa kwa nyakat tofauti ambayo yalizua simanzi na taharuki lakini yakapita hivihvi bila kupewa mrejesho ingawa wahusika hukaa mbele ya vyombo vya habari kwa mbwembwe kuwa watatoa ripoti ndan ya siku kadhaa lakn hugeuka hekaya tupu...
Salamu wakuu..
Juzi siku ya jumapili nilisema wacha nitoke niende zangu club nikapate beer 🍺 kadhaa ila sjaenda club anayofanya demu ambaye nilikuwa natoka nae.
Wiki iliyopita alienda kwao KZN (Durban) ila mimi naishi Jozi.
Sasa bana kipindi napiga mambo yangu na mizuka imepanda ya akili za...
Salaam
Naomba kutoa maoni yangu kwa huduma mpya ya uwakala wa NMB maarufu kama NMB pesa fasta
Binafsi ninafanya biashara ya uwakala nina miliki mashine ya NMB kwa ofisi moja pia nilifungua biashara nyingine ya uwakala kama sehem ya kuongeza mapato knilifanikiwa kupata pos ya CRDB na nyinginezo...
Kazi ambayo serikali imechukuwa muda kuiratibu lakini imetendeka ktk kiwango cha chini au kinachostaajabisha.
Anuani ya makazi unakuta wilaya nzima vibao vimeandikwa kwa majina ya watu hivi ilishindikana kabisa kufatilia kujuwa jina la mtaa la asili?
Au kuna watu walitaka kujitafutia umaarufu...
Habari Wadau!
Mimi ni kijana mtafutaji wa hali ya chini kwanza niseme jamii forums n8 sehemu iliyonifanya nipate wazo hili ambalo naweza sema lime badilisha maisha yangu kwa kiasi kikubwa!
Mnano mwaka jana mwezi wa 9 nilifanikiwa kupata uzi hapa jf wenye ushauri juu ya biashara ya ufundi simu...
Vipi jamani, mambo yameendaje huko?
Maana kuna jamaa yangu alinikopa nauli ya kwenda huko Dodoma kuhudhuria huo usaili nafasi ya Tax management officer ii, jana nampigia kutaka kujua kama amekwisharudi ila akaniambia yeye ni kama alienda kutalii tu huko Dodoma maana pepa haikumwendea poa...
I'm very spiritual man.
Kwanza hapo mwanzo bidada yule aliyeutesa moyo wangu nilipo mtamkia kuwa nampenda alinikataa.
Lakini kwa kiburi changu na Roho ya kutokukubali kushindwa niliamua Kufanya kuishawishi nafsi ya dada huyo hata akiwa mbali, niliisemesha roho yake na kumwambia maneno mazuri na...
Wakuu nahitaji mrejesho kwa wanaowafahamu , hawa wana fiber mjini na nje ya mji au mikoani ni wireless but wanajinasibu wana unlimited yeny bandwith kama posta yao inavyoonyesha au tofauti na hawa nipeni some recomendations
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.