mtaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PAZIA 3

    Nani ana mtaji tuanzishe biashara ya PLASTIC WELDING?

    Plastic welding Ni Kazi nzuri Sana ukiiendesha kisasa, yaani uwe na eneo la kuhifadhia vitu/vyombo vya wateja/kalakana, uwe na umeme. Vitu vinavyohitajika Ni; Electronic gun kwa kutobolea matundu na kuyeyushia plastics, Wire mesh laini, makret yaliyopasuka kwa kuungia plastics za wateja, hivi Ni...
  2. N

    Naombeni ushauri wa biashara ya juice ya miwa, mtaji ni milioni 1-2

    Habari za leo. Naomba ushauri, nataka kufanya biashara ya juice ya miwa. Ni hivi sitaifanya mimi nitamuweka kijana afanye. Kwahiyo naomba ushauri juu ya hii biashara ikiwa itaweza kunilipa maana nachukua hela ya mkopo. Nikiwa na maana kwamba biashara nitakayofanya naitegemea inipe rejesho...
  3. pet geo pet

    Nina shahada ya ualimu, natafuta kazi itakayonipatia mtaji

    Wakuu kama kichwa kinavyojieleza, Nimejaribu kutafuta kazi katika fani yangu ya uwalimu, kwani nimehitimu shahada ya ualimu mwaka jana katika taasisi kubwa tu hapa nchini lakini mpaka sasa hivi bado sijapata kazi. Nimekuja kwenu wana JF kwani hapa kuna watu tofauti tofauti, hivyo naomba mtu...
  4. Izzi

    Faida/hasara za kutaja mtaji mkubwa/mdogo wakati wa usajili wa kampuni

    Habari wana jukwaa, Naomba kueleweshwa: Natarajia kusajili kampuni na hivyo nimefuatilia taarifa zote za msingi kuhusu hatua za kufuata ili niweze kufikia lengo. Hatua mojawapo ni ya kulipia ada ya usajili ambayo inategemea kiwango cha mtaji nilichonacho; pasipo kujali ikiwa mtaji huo ninao in...
  5. Michael Mkwanzania

    Step 10: Nilivyowekeza laki moja hadi kuanza kutengeneza milioni moja kila siku 3 (step by step)

    Disclaimer (cha kuzingatia): This is not a get rich quick scheme (hauto tajirika ghafla ndani ya masaa au siku kadhaa), imenichukua mwaka kufikia wakati ambapo naweza pata faida ya millioni moja na kadhaa ndani ya siku 3. Nimejifunza mengi hapo kati, hopefully haitokuchukua mda mwingi kama mimi...
  6. JamiiForums

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Wakuu, Kutokana na wadau kadhaa kuja na mijadala anuai inayoonyesha kuwa wanayo mitaji yenye kuanzia kiasi cha TZS 100,000/= hadi TZS 999,999/=, tumeona ni vema tukawa na mjadala mmoja endelevu ambao utatoa mawazo mbalimbali ya jinsi ya kutoka kimaisha ukiwa na mtaji huo. Aidha, tunashauri...
Back
Top Bottom