Japo hatua hiyo inaweza kuwa imetokana na sababu nyingine, ukweli kwamba imetokea katika kipindi hiki cha vuguvugu kubwa kuishinikiza serikali iifungie X/Twitter unweza kuyumkinisha kuwa hizi ni dalili za awali za mtandao huo wa kijamii kufungiwa.
Hata hivyo, wakati viongozi mbalimbali wakuu wa...
Habari wakuu,
Poleni kwa majukumu.
Nilikuwa naomba msaada kuhusu kupata AVN kwa wale wa Diploma wanao apply mkopo HESLB.
Nimeshafanya usajili NACTE, ila kila nikijaribu kuendelea na hatua inayofuata ya kupata CONTROL NUMBER nakwama.
Sasa najiuliza ni swala la mfumo ndio haujakaa sawa au mtandao...
Wakenya wengi waripoti shida ya kuweza kutumia mtandao wa X pamoja na TikTok.
Hii ni baada ya mitandao hii kutumika zaidi kupanga harakati za maandamano na kuhamasishana kuunga mkono maandamano hayo.
Ndio, unaweza kutengeneza pesa kupitia uandishi mtandaoni. Kuna njia kadhaa ambazo unaweza kutumia kufanya hivyo:
1. Blogu: Unaweza kuanzisha blogu yako na kuchapisha maudhui kuhusu mada zinazokuvutia au zinazohusiana na ujuzi wako. Unaweza kupata pesa kupitia matangazo ya Google AdSense...
Kijiji cha Songambele ni kijiji kilichopo nje kidogo na mji mkuu wa nchi. Wananchi wa kijiji hiki wamekua wakijihusisha na shughuli za kilimo na ufugaji ili kuweza kujikwamua na wimbi la umaskini Kwan imekuwa ni gumzo hali hii ilipelekea vijana wengi kushindwa kuendelea na masomo kutokana na...
Pasipo kupepesa macho, airtel ni moja ya mtandao ambao matapeli kila itwayo leo huutumia kutuma sms za kila aina, mpaka muda huu sijajua tatizo ni nini??
Natumia mtandao wa tigo pia, kwakweli nisiwe mnafiki nakaa mpaka miezi 6 yaan huwezi kuona sms yeyote ya kitapeli, sijui tuma kule, mimi...
Mtandao wa X haupaswi kufungiwa kama Watanzania wanavyodai hii ni kwasababu zifuatazo
1:Mtandao wa X unatumia teknolojia ya Algorithm inamaana kwamba mtumiaji hawezi kuona maudhui ambayo hayafuati yeye au hayatazami au kuyatafuta yeye ndani ya mtandao huu ndio maana yapo makampuni, taasisi na...
UTANGULIZI
Kuboresha sekta ya teknolojia ya habari na mawasiliano (ICT) ni muhimu katika kufikia Tanzania tunayoitaka kwa miaka 25 ijayo na ya sasa. Yafutayo ni maelezo ya kina kuhusu jinsi ya kuboresha sekta hii:
Uwekezaji katika Miundombinu ya ICT: Tanzania y tutakayo inahitaji kuwekeza...
haki
huduma
ict
katika
kidijitali
kuimarisha
kutunga
matumizi
mtandao
sekta
sera
serikali
sheria
tanzania
tanzania tuitakayo
tehama
tuitakayo
tunahitaji
usalama
uwezo
uzalishaji
viwandani
watumiaji
Hapa JUZI tulisikia kiongozi mmoja aliingia kwenye tuhuma na kashfa za kulawiti mwanafunzi wa CHUO
Lakini UVCCM hawakujitikeza na kulaani jambo Hilo.
Tukasikia tena Mtoto kapotea na ghafla mwili wake umeokotwa ukiwa baadhi ya viungo vya mwili vimenyofolewa Cha ajabu UVCCM hawakujitokeza hata...
Mpaka hivi sasa watu wengi wanatumia vifaa mbalimbali vya sayansi na teknolojia katika kufanya shughuli zao.
Ukuaji wa sayansi na teknolojia umekuwa hivi sasa kulinganisha na miaka kadhaa iliyopita. Uwekezaji katika matumizi ya vifaa vya sayansi na teknolojia utaleta matokeo chanya kwani dunia...
Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Nape Nnauye amesema wanaona mijadala yote inayoendelea (kuhusu maoni ya kama mtandao wa X ufungiwe au laah) na kusema Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), itatimiza wajibu wake wa kuhakikisha Tanzania na hususani kizazi cha Watoto kipo...
digital rights
freedom of expression
haki za kidigitali
maadili kwa watoto
mitandao ya kijamii
mtandaomtandao wa x kufungiwa
tcra
uhuru wa kupata taarifa
uhuru wa kutoa maoni
waziri nape
MAGEUZI
#IDADI YA LAINI ZA SIMU
#MIUNDOMBINU YA KUWASILIANA.
Kwasababu kama barabara zetu za Tanzania ni moja baina ya wapingani wa wili, kwanini na njia za mitandao ya simu isiwe ni moja?
Mfano, sidhani kama kuna hoja za mashiko kwa kuwepo kwa minara nchi nzima ya mitandao tofauti tofauti.N a...
Nimekuwa najiuliza sana lkn sipati majibu kwanini watu wanalalamika sana kusikia mtandao wa x utafungiwa nchini Tanzania, vyama vya siasa tayari vimeshaanza kutoa statements vikidai ni kuminya uhuru wa kutoa maoni. Uhuru gani wa kumtukana kiongozi wa nchi? Uhuru gani wa kuhamasisha violent...
Hii nchi bwana yani hawa ccm na watu wengine wanao shabikia kufungwa mtandao waulize kama raisi wao ana account JF.
mtandao X ndio mtandao umebeba viongozi wengi wenye account kuliko mitandao mengine.
Hivi nyie chawa wa ccm na uvccm mnajitafakari au mnataka kujiona mna akili
Dunia hii ya leo ya kibepari kila mtu anataka fedha ya mwenzake kwa njia yoyote ile.
• Nashangaa mtu anajifanya anagawa pesa za UNICEF anawatapeli watu.
• Nashangaa pale mtu anapojifanya rafiki yuko USA baada ya siku mbili tu anajifanya amekutumia zawadi kisha kujifanya zimepotea mwelekeo na...
Mathalani mmekubaliana na mtuma hicho kitu, kwamba anakutimia muda huo, halafu, ukiwa katika hali ya shauku, bashasha na hamu kubwa sana ya kupokea, kutazama na kuona ulichotumiwa, na halafu anae kituma anakuhakikishia kabisaa kwamba tayari ameshakutumia.
Ukiachilia mbali pesa,
Ni kitu gani au...
Kwa kifupi nakareka sana na huduma za huu mtandao.
Mtandao haumalizagi mwezi lazima hitilafu itokee tukose baadhi ya huduma.
Mfano nipo hapa tangu saa moja jioni, TIGO PESA haifanyi kazi.
Unakuta mtu ulikuwa na mambo yako ya msingi ya kufanya lakini unapata hasara kwa sababu ya huu kila mwezi...
Nimesoma mara mbili mbili sijaelewa hii takwimu wamemaanisha nini, kilichonishangaza zaidi ni kutumika kwa neno pekee kwa maana hakuna nyingine mwenye takwimu ya namna hiyo.
Jukwaa la mtandao wa kijamii wa X maarufu kama Twitter, limebadili Sera zake za Maudhui na sasa litaruhusu rasmi watu kuonesha au kuchapisha maudhui ya watu wazima yanayohusisha Ngono ilimradi tu yaandikwe kabisa kuwa ni maudhui ya aina hiyo.
Hatua hiyo inairasimisha sera ya maudhui ya kikubwa...
Mawasilianao ni kitendo Cha kupashana habari baina ya mtu mmoja na mtu mwingine au baina ya mtu mmoja na kundi la watu. Kuna njia nyingi za mawasiliana kama vile kupigiana simu,kutumia a meseji,kuandikisha barua nk.
Ukosefu wa mtandao unaweza kuwa na madhara makubwa kwa watu binafsi, biashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.