1. Mligo wa njombe 600000/=
2. Evodi wa kibaha 100000/=
3.Elibariki wa moshi kati ya 280000/= umenirudishia 15000/=
4. Dotto wa kibaigwa 45000/=
5. Mama Thadeo wa ilemela 68000/=
Haya madeni yana miaka miwili na zaidi Mungu atanilipa. Ila mligo wa njombe ushapata adhabu yako hapahapa duniani...
Balozi wa Tanzania Nchini Uingereza, Mbelwa Kairuki amesema kuanzia jana kuna ujumbe mfupi wa video uliozunguka katika mitandao ya kijamii uliorekodiwa na Raia wa Uingereza mwenye asili ya Tanzania Martina Farrall, akielezea maisha yake kuwa hatarini huko anapoishi Ireland ya Kaskazini.
Kwenye...
Mtanzania mmoja aliyeolewa huko kaskazini mwa nchi ya Ireland amerikodi videonakieleza jinsi mumewe mzungu na polisi nchini humo wanavopanga kumuua. Katika video hiyo ameeleza jinsi anavopitia unyanyasaji na vitisho na mipango ya mumewake kutaka kumuua.
Rais Samia ameandika kupitia X
Asante Badru & Mika. Furahia safari yako na mashambani. Nina habari njema kwako. Ujenzi wa sehemu za Isaka-Mwanza & Tabora-Isaka unaendelea, na Mungu akipenda zote zitakamilika.
Badru ameonesha kiwango cha ujenzi wa Kituo ch Reli ya SGR cha Morogoro.
Ikumbukwe...
Nadhani ni kama mwaka mmoja sasa umepita kulikuwa na kijana alikuwa hewani kupitia redio mojawapo akasema yuko mbioni kutengeneza metaverse yake (virtual universe). Sijasikia lolote.
Mtanzania Andrew Thomas Mlugu {uzito wa 73kg} ashinda mpambano wa kwanza wa mchezo wa judo katika mashindano ya 33 ya olimpiki ya majira ya joto huko nchini paris baada ya kumtoa mpinzani wake William Tai Tin, kutoka nchini Samoa ambapo aliutawala mchezo mzima leo Julai29, 2024 ...
Waziri Mkuu wa kwanza kuwa Rais.
Waziri Mkuu wa kwanza kuwa Makamu wa Rais.
Mwanamke wa kwanza kuwa Waziri Mkuu.
Mwanamke wa kwanza kuwa Jaji Mkuu.
Mwanamke wa kwanza kuwa Mkuu wa Majeshi.
Mwanamke wa kwanza kuwa Mkuu wa Polisi (IGP).
Mwanamke wa kwanza kuwa mkuu wa Magereza.
Mwanamke wa...
Serikali tunawashauri mapema.
Msije kusema hamkushauriwa kwenye upande wa matumizi ya fedha za wananchi bila mpango mzuri.
Kwanza futa post za wakuu wa wilaya na majukumu ya uenyekiti wa ulinzi na usalama atachukua DSO,
Futa post za wakuu wa mikoa na majukumu ya uenyekiti wa ulinzi na usalama...
1. Ni nani aliidhinisha kampuni za bahati nasibu nchini zije zikusanye billions of money kwa Watanzania na kuacha pesa ndogo kwa jina la kodi?
Jibu ni Mtanzania.
2. Ni nani ametoa kibali na ni nani anazifanyia matangazo kampuni za mikopo ya kihuni na kitapeli mitandaoni?
Jibu ni Mtanzania.
3...
Huyu jamaa ni moja ya watu wenye vipaji na amekuja tofauti kabisa na comedian tuliowazoea. Comedian wenye hutumia maneno kuchekesha, lakini yeye anafanya komedi ya soka
Je, ni nani huyu mtu? Namuona huvaa jezi ya Taifa Stairs kwenye clips zake, bila shaka ni mtanzania, sina hakika. Lakini...
Tanzania ni nchi iliyojaaliwa kuwa tofauti na nchi zingine za Afrika Mashariki na Afrika; kijiografia imebarikiwa kuwa na eneo kubwa la ardhi kutosha kwa kilimo, vyanzo vya maji na bahari yenye ukanda mrefu wa pwani na vivutio vya utalii vyenye umaarufu mkubwa duniani. Kijamii, imebahatika kuwa...
"Kila mtanzania analaumu watanzania wengine ni wajinga hawaleti mabadiliko, na hao wanao laumiwa nao wanalaumu" - min -me
Kwa takriban juma zima sasa suala la kashfa ya sukari ime trend sana kwenye mitandao ya jamii na JF ikiwa ni moja wapo. Hatimaye sakata la sukari likiwa linaendelea...
Wakuu naomba kwa yeyote anayejua anisaidie namna ya kuhama kutoka kuwa mtanzania wa Tanzania bara na kuwa mtanzania wa Zanzibar yaani kuwa mzanzibari
Nataka kuwa mzanzibari wa kuhamia ili niwe na haki ya kumiliki ardhi kule na Tanzania bara pia, kugombea uongozi kule na nafasi za Muungano kama...
Inakuaje Mchina Kariakoo anauza bidhaa/vitu kwa bei chee lakini mtanzania anakuuzia kwa bei ghali? Kwanini mtanzania naye asiuze bei chee kama mchina?
Mfano unakuta mtanzania anakuuzia kitu kwa 90,000/= Tsh lakini ukienda kwa mchina anakuuzia 45,000/=Tsh
Kwanini mtanzania asiende kununua...
Rushwa ni adui wa haki Kwa mtanzania yeyote yule mwenye uzalendo na kuipenda nchi yake Kwa moyo wake wote.
Rushwa inaweza kuzibitiwa Kwa njia mbali Kwa kila mtanzania mpenda maendeleo ndani ya nchi yake.
Tukisema rushwa ni adui wa haki Kwa mtanzania hatukosei hata kidogo walio wahi kutana na...
Yamkini tukiweza kuruhusu na kufungua sehemu nyingi za kiuchumi kufanya kazi usiku na mchana tutaongeza wigo kubwa la kuwapatia nafasi wasiokuwa na ajira kupata ajira.
Tukiachilia hivi karibuni baadhi ya mabasi yaliyoachiwa kufanya kazi ya usafirishaji wa abiria usiku na baadhi ya makampuni...
Tuorodheshe tabia za waTanzania halisi
1 Anakukopa hela kiupole ila ukidai automatically unakua mtu mbaya kwake asiyefaa
2 Kabla hajajua cheo chako au wadhifa wako anakutreat kama takataka ila akisikia wew mtu flan ghafla treatment inabadilika
3 Mkiwa mnamiadi maybe kuonana au mnaonana saa...
Ni kwamba hakuna mtanzania asiyejua adha wanayopata watu wa kipato cha chini pale wanapougua magonjwa mbalimbali.
Serekali na Wizara ya Afya waje na sera ya kumpatia kila mtanzania bima ya Afya ili kuondoa adha hii na hii kupiga tadhimini na kujua namna gani fedha zitapatika ili kufanikisha...
Mtanzania Jabarldin Hamis Ijengo ametishia kwenda Mahakamani Kuishitaki Ubalozi wa Marekani Nchini Kwa madai kwamba haijamlipa pesa zake kufuatia kutoa taarifa za Siri na uhakika zilizowezeshwa kuuwawa Kwa Gaidi Maarufu bwana Osama Bin Laden.
My Take
USA acheni Utapeli lipeni pesa za watu...
Utangulizi: Ukifuatilia kwa umakini zaidi kuhusu Maendeleo ya Nchi nyingi zilizoendelea hapa Africa, America na hata Ulaya, Utagundua kabisa kuwa mambo mengi au vitu vingi ukiacha miundo mbinu iliyofanywa na serikali!, Vingi pia vya kuvutiaKama Hoteli kubwa, Shule, Viwanda Nk. vimefanywa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.