muziki

  1. Chief Kabikula

    Alichokisema Rais Magufuli Tabora ni kweli; majungu watu hawafanyi kazi. Kanisa lajengwa katikati ya barabara, lapiga muziki masaa 24

    Nikiwa Tabora ambapo nilikwenda kwenye msiba wa rafiki yangu aliyefiwa na mama yake mwezi huu. Nilikutana na kituko cha mwaka ambapo tukiwa hapo msibani ulisikika muziki mkubwa sana kiasi ambacho huwezi kuongea na mtu jirani yako, huwezi kupokea simu au kusikiliza simu. Nilipouliza nikaambiwa...
  2. Its Pancho

    Producers wa sasa kina es2kizzy na Laizer, Abbah jifunzeni muziki mzuri kupitia bolingo za nyuma muache huu utopolo

    Kwa wale wapenzi wa muziki wa zamani bolingo japokuwa mimi sio old skool ila nimetokea tu kuzijua nyimbo nyingi kutokana na nature ya kazi nilizowahi kufanya na ninazofanya Ninachojiuliza zamani teknolojia kuwa ndogo lakini mbona bolingo hizo nyingi sauti na vyombo vimepangiliwa kwa ufasaha...
  3. Its Pancho

    Rwanda muziki kwao ni chakula

    Jamaa wana wasanii wakali mnoo wanaimba muziki mmoja classic sanaaa Na unadumu hauchoshi kabisa. Sio takataka za jamaa wetu wa bongo zinaeleweka club tu.. Kuna wale Ambassador of Jesus Christ walitamba sana na gospel zao Meddy - huyu haina haja ya kumuelezea sana alivyo fundi ,anajua kutumia...
  4. X

    Naomba mwenye kuzijua zile ngoma kali za Hip hop zinazogusa maisha

    Wakuu naomba mwenye kuzijua zile ngoma kali za Hip hop zinazogusa maisha yani zinazoimba kuhusu Haso zitajwe hapa nahitaji kuzipakua. Mafano kama zile za Darasa. Sikati tamaa,Nishike Mkono n.k Majibu yenu plz
  5. Deejay nasmile

    Kuna aina ngapi za muziki?? Orodhesha unazozifahamu na baadhi ya nyimbo zake

    Mfano Sweete reggae --Busy signal-come over Hip hop--coolio-i see you when u get tgere Singeli---msaga sumu-mwanaume mashine Country-kenny rogers-gamble Rnb-chris brown-with you Morden Taarabu--jahazi-najiamin .... .... ..... ..... .... Tuendeleee
  6. Infantry Soldier

    Muziki kutoka nchini Zaire (sasa ni D.R.C) uliwezaje kutamalaki na kupendwa sana hapa Tanzania ilhali tumepakana na jirani wengine takribani 6?

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu JamiiForums. Ndugu zangu watanzania; Muziki kutoka nchini Zaire (sasa ni D.R.C) uliwezaje kutamalaki na kupendwa sana hapa Tanzania ilhali tumepakana na jirani wengine takribani 6? Mbali na D.R.C nchi yetu ya Tanzania pia imepakana na...
  7. P

    Muziki na Siasa ya Wasafi Tour 2020. Eti Wamesahau

    Ninapokumbuka muziki na siasa namkumbuka msanii aliyevuma sana nchini , wakati huo hapakuwa na Diamond wala nani , huyu ni MARLAW alikuwa na kipaji sana na kuelekea kampeni za urais 2010 nyimbo zake zilikuwa HITS kwenye radio top ten zote Mwaka 2010 alipata deal la kampeni akazunguka nchi nzima...
  8. U

    Waziri Mkuu Mstaafu Mheshimiwa Kassimu Majaliwa Kassimu Amtembelea na Kumjulia Hali Mwanamuziki Mkongwe wa muziki wa dansi Nchini King Kiki

    Mhesh Kassimu Majaliwa amemtembea nguli huyo wa muziki Nchini almaarufu Mzee wa Kitambaa Cheupe Nyumbani kwake leo.
  9. H

    Hii movement ya fans wa CHADEMA kwa Wasanii inanichekesha

    Nimeona mashabiki wachache wa Chadema wameanzisha Uzi kwaajili ya kutopiga kura kwa Wasanii wanaoshabikia CCM unajua Kuna vitu vinachekesha Sana na ukute hao watu Ni watu wazima na wengine wanawatoto yaani unawapangia wasanii Cha kumshabikia mbona wao hawajakupangia chama Cha kumshabikia Nani...
  10. EINSTEIN112

    Wako wapi hawa mastaa waliotikisa sana ulimwengu wa muziki

    Master P Sisco Dru Hill ODB Laurine Hill Shania Twain KCI & JOJO Keith sweet REY J MONICA COOLIO CRAIG DAVID ALL 4ONE Baadhi walihamishia passion zao kwenye uigizaji kama: Tyreese Ice Cube Quincy Ludacris XBIT Willy Smith Qeen Latifa DMX Wengine wamekuwa majaji kwenye "BSS" za huko majuu kama...
  11. D

    Kijana anaweza?

  12. Isaack Newton

    Kwa wapenda vyombo vya muziki, bass guitar na combo yake zinauzwa kwa bei nafuu

    Habar wakuu,! Bass guitar pamoja na combo yake vinauzwa kwa pamoja. Being ni laki tano(500000). Combo ilikuw inatumika kwa askofu Gwajina haina tatizo inagonga muzki mzito unaotak ila kwa nyuma haina mfuniko wake. Bass guitar ni mpya bado, imetumika miezi mitatu tu. Atakae hitaji anicheki...
  13. Civilian Coin

    Tathimini ya soko la Muziki na Filamu Tanzania kama ambavyo Don Nalimison anachambua

    TATHIMINI YA SOKO LA MUZIKI TANZANIA NA WASANII WA FILAMU Naitwa Don Nalimison ni moja ya Wanamuziki nchini Tanzania ninayefanya mziki katika Lugha ya Kiingereza cha Kiafrika. Leo nataka tuangalie soko lilivyo. ONLINE DISTRIBUTION MARKET Tanzania bado hatujafikia soko la Online kwa kuwa 10% ya...
  14. Civilian Coin

    Huyu ndiye mwanzilishi wa Tuzo za Muziki Tanzania "Tanzania Music Awards"

    HISTORIA YA MWANZILISHI WA TUZO ZA "TANZANIA MUSIC AWARD" Historia ya shujaa SOMA HISTORIA YA SHUJAA HUYU WA BONGO FLEVA ALIYESAHAULIKA JAMES Dandu ‘Mtoto wa Dandu’ siyo jina geni katika gemu la Bongo Fleva lakini ni wangapi wanamkumbuka na wanautambua mchango wake katika gemu la Bongo Fleva...
  15. Slim5

    Ya kale ni dhahabu: SAY - Mtoto wa Mwarabu mhamiaji aliyeitikisa Nchi kwa Muziki

    Mtoto wa Mwarabu mhamiaji aliyeitikisa Nchi kwa muziki MOJA kati ya matukio ambayo wakazi wa Morogoro na Tanzania kwa ujumla hawatoyasahau ni kuondokewa na mwanamuziki bora sana kitaifa, Salum Abdallah Yazid, maarufu ‘SAY’, hata ikaacha majonzi makubwa kwa mashabiki wa dansi Afrika Mashariki...
  16. George Betram

    Fireboy DML, Mfalme mpya wa muziki Afrika

    Muziki wa Nigeria una ushindani mkubwa sana, vijana kama Omah Lay, Joe Boy na Fireboy DML wanafanya kazi nzuri sana. Lakini mtu ambaye amebahatika kuteka hisia zangu zaidi ni huyu Fireboy DML, huyu jamaa anatisha sana. Nimebahatika kusikiliza albamu yake mpya inayokwenda kwa jina la APPOLO...
  17. maji ya gundu

    Nyimbo gani inaendana na hali yako ya mahusiano?

    Hope mpo good mapopo wenzangu Kulingana na maisha yako ya mahusiano nyimbo gani inaendana na hali yako ya mahusiano Binafsi "cry no more" ya breezy ndo inanifariji kidogo Pia nyimbo ya Khalid "bad luck"
  18. Nafaka

    Hawa ndiyo wanafanya muziki, kila kifaa kinapigwa live hakuna disortion

    Tazama hii show wimbo wa now we are free wa hans zimmer ukipigwa live, kila kifaa kinapigwa unakiona na kukifeel, kuanzia violin, marimba, na takataka zote. Huu mziki si wakiwango cha dunia hii
  19. Kichuguu

    Wizi wa Biti za Muziki

    Kwa mtu anayejua muziki vizuri, akiangalia kesi kadhaa amazo zimetokea huko Youtube kwa madai ya kuibiwa biti, akaweza kukubaliana nami kuwa kesi hizo zote ni frivolous na zinatakiwa kuwa zinatupiliwa nje. Sababu kuwa ni kuwa biti zote za muziki zina msingi wa aina moja. Ndiyo maana ingekuwa ni...
  20. John Kitime

    Muziki na siasa

    Joto la uchaguzi limeanza, wanasiasa wanapishana huku na kule wakitafuta njia za kuweza kuendelea kushiriki kwa namna moja au nyingine katika ngazi mbalimbali za uongozi wa kisiasa. Wanamuziki nao, wengine kwa upenzi wa kambi moja au nyingine ya kisiasa, au kwa kuona fursa ya kutengeneza fedha...
Back
Top Bottom