Mwalimu wa shule ya msingi Isomya, Manispaa ya Singida, Mjengi Samsoni Munkeny, amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 30 jela baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kubaka na kumpa mimba mwanafunzi wa darasa la sita katika shule hiyo.
Katika shauri la jinai namba 81/2020, Mwendesha Mashtaka...