mwanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Magical power

    Hakuna tena sababu ya kukaa kwenye mahusiano kwa miaka 5 halafu mwanaume anakwambia anataka kuoa mwanamke mwingine!

    Hakuna tena sababu ya kukaa kwenye mahusiano kwa miaka 5 halafu mwanaume anakwambia anataka kuoa mwanamke mwingine! Dalili zote za mwanaume ambaye anakutumia zinaanza kuonekana ndani ya miezi 3 ya mahusiano. Shida inakuja tu kuwa, baada ya miezi 3 ya mahusiano, wanawake wengi ni vigumu kuona...
  2. Natafuta Ajira

    Kwanini mwanaume unatakiwa kuwa katili kwenye soko la mahusiano?

    Utakapokua umejipata wanawake watajisogeza kwenye maisha yako, sasa hiki ndicho kipindi ambacho hautakiwi kuwa na huruma kabisa kwa mwanamke. Kumbuka walijiweka mbali na wewe kipindi unajitafuta, hivyo basi na wewe utakapojipata jiweke mbali na wanawake masikini. Kumbuka hakuna mwanamke...
  3. Magical power

    Mume aliniacha nimefungua Biashara ila nina Mwanaume mwiangine naye kaniletea mtoto!

    Mume aliniacha nimefungua Biashara ila nina Mwanaume mwiangine naye kaniletea mtoto! Hello, kaka Iddi. Habari ya kazi? Naomba ushauri nisiendelee kuharibu zaidi. Niliolewa ndoa ya Kikatoliki, nikazaa na mume wangu watoto watatu. Maisha hayakuwa mazuri sana kwa sababu ya changamoto za...
  4. mwanamwana

    SI KWELI Mwanaume mwenye vipele vidogo kwenye kichwa cha uume hawezi kupata UKIMWI na magonjwa ya zinaa

    Nimeona huko walimwengu wakijadili kuhusu vile vipele vinavyozunguka kichwa cha uume, sasa baadhi wanadai kuwa mwanaume mwenye hivyo vipele ana asilimia ndogo sana ya kuambukizwa UKIMWI hasa akiwa na damu group O-, lakini pia mwanaume mwenye navyo hawezi kupata magonjwa ya zinaa. Haya mambo...
  5. mr pipa

    Kanitapeli na katuma watu wanivamie. Nimchukulie hatua gani?

    Huyu jamaa yangu kamtuma mtu kunifanyia utapeli nikamstukia baada ya kushindwa hizo mbinu kaandaa watu wavamie nyumban kwangu waniibie na hizo taarifa nazipata kupitia watu wake wa karibu. Je, nichukue hatua gani kwa mtu kama huyu?
  6. Mwamuzi wa Tanzania

    Hakuna umuhimu wa kuoa mke mfanyakazi. Labda kwa waliofeli maisha wafanye hivyo wasije kufa njaa

    Hello! Ofisi yetu ya umma ina mabinti zaidi ya 20, iko Dar es salaam. Kati ya hao mabinti zaidi ya 20 mabinti zaidi ya 10 kila mtumishi anajua kuwa bosi kawapitia. Hapo hatujahesabu wengine ambao aliweza kutembea nao kwa siri zaidi. Kati ya hawa mabinti wapo wake za watu na wachumba wa watu ...
  7. Pascal Mayalla

    Inawezekana Wamarekani ni wajinga ajabu? Wamemchagua mwanaume na kumtosa Mwanamke. 2025 Watanzania tuchague mwanamke kuonesha tuna akili zaidi yao?

    Wanabodi, Hapo nilipo bado nimepigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa Marekani, na kujiuliza Inawezekana hawa Wamarekani ni majitu majinga ajabu! Wamemchagua rais mwanaume, na kumtosa Mwanamke kwasababu tuu ni mwanamke? Mnaonaje kama 2025, sisi Watanzania tuchague mwanamke ili kuonyeshea...
  8. redpill evengalist

    Mifumo ya dunia sio rafiki kwa mwanaume

    YEAH ,mifumo ya dunia haikupi favour wewe mwanaume, huna haki wala mamlaka. Kila siku Natafuta Ajira hua anasema hapa jukwaani kwamba dunia sio rafiki kwa mwanaume hua mnabisha Mfano mzuri mwamba mmoja toka guinea baltazar ,unaona dunia inavomuongelea mwamba kama ni haramia ilihali wanawake...
  9. Etugrul Bey

    Inaposemwa mwanaume hawezi kuwa na mwanamke mmoja huashiria kwamba hata mkeo anaweza kuwa wa mwanaume mwingine

    Imezoeleka kusemwa kwamba mwanaume katu hawezi kuwa wa mwanamke mmoja ila lazima awe na wanawake wengi,je umeshawahi kujiuliza kwamba huyo mwanaume ambaye hakai na mwanamke mmoja kwamba anaweza pita na mkeo? Kama hivyo ndivyo basi nadhani wanaume ifike kipindi tujue kwamba kama sisi hatuwezi...
  10. M

    Kati ya hivi vitu vinne, ni kipi unadhani mwanamke anaweza kukikosa kutoka kwa mwanaume na bado akaendelea kuvumilia?

    Kiasili kila mwanamke anahitaji vitu 4 kwa wakati mmoja. Akikosa kimojawapo , atakitafuta nje. Sababu moja wapo kati ya hizi, inamfanya mwanamke kuchepuka:- 1. Financial support (Mpe Pesa na matunzo) 2. Good sex (alidhike kitandani) 3. Attention (simu za mara kwa mara kumjulia hari, msifie...
  11. Mende mdudu

    Mwanaume; tambua dhamani ya pesa yako, usi mnyenyekee mwanamke

    Wakuu. kuna watu wanatafuta pesa kwa shida sana kwenye kuitafuta. ila inapo kuja kwenye kupata faraja jion au akirud kwa yule ampendae pia ana ambulia zarau, kejeli na kero mbali mbali, u Kwa matabaka yote ya kiuchumi Kwa wenye maisha mazuri mwenye uwezo wa kumpangishia mwanamke nyumba, chumba...
  12. G

    Mwanaume, acha kujitetea sana kwa mchumba/mke. Watoto uliozaa na wanawake wengine kabla yake usimwambie

    Mwanaume kazi yake ni kuzalisha (kutoa mbegu). Hata ukiwa umegawa mbegu kwa wanawake 10 tofauti wewe kaa kimya tu. Usianze kumfungulia codes zote huyo mwanamke unayetaka kuishi ama unayeishi naye. Acha awajue watoto anaowazaa yeye tu, wengine hawamuhusu. Hata kipato chako usimwambie, ili upate...
  13. Etugrul Bey

    Mambo sita ambayo mwanaume yeyote anapaswa kuyasoma

    Jambo la kwanza, wavulana huingia kwenye uanaume pale wanapoanza kuelewa kwamba,hakuna anayewajali kama hawana mchango wowote katika maisha,kama unataka kuwa mwanaume basi onyesha thamani yako katika maisha. Jambo la pili, jifanye hauna uwezo wa kupata mkate wako wa kila siku mpaka pale...
  14. B

    Mke kumuhadithia mwanaume baki madhaifu ya mume

    Habari wakuu, natumai mko poa wa afya. Nina mke wangu nimeishi nae takribani miaka 8 Mwaka nyuma alipata kibarua ila huko kazini yupo na jamaa fulani hivi ila chakushangaza imefikia hadi hadi madhaifu yangu anamuhadithia huyo jamaa. Mtaniaamehe mimi sio muandishi mzuri naomba hoja na mawazo...
  15. appoh

    Mwanaume tengeneza ndoa tulivu kwa kufanya haya

    1.mpende kwa maneno mazur mkeo 2.mpe pesa sio lazima hela nying ni hata vijisent mpe tu elf 7 kum na nk bila maelekezo yaan yake kama unazo nying mpe tu hata nne tano milion au gar 3.kua msafi unaevutia mbele za watu au wanawake wengine 4.jar ndugu zake au marafiki 5.show show kitandan fanya...
  16. Dr PL

    Tatizo la matiti makubwa kwa mwanaume (gynecomastia) na tiba yake

    Picha kwa hisani ya Google Kuota matiti kwa mwanaume (Gynecomastia) ni kuongezeka ukubwa/ujazo wa matiti kwa mwanaume. Hutokana mabadiliko ya viwango vya homoni za kiume (Testosterone) na homoni ya kike (Estrogen) kwa mwanaume [hormonal imbalance] ambapo mwanaume anakuwa na viwango vya juu vya...
  17. W

    Mke wangu anawasiliana na mwanaume waliyesoma naye chuo huu mwaka wa sita, kila nikimuuliza kulikoni anasema ni urafiki tu hakuna kingine

    Kifupi nina mashaka na urafiki wao japo sijathibitisha, mpaka sasa tuna ugomvi anasema mimi ni malaya ndio maana nafikiri kila mtu ana tabia za kihuni kama mimi na amesema bora tuachane kama siwezi kumuamini
  18. Money Penny

    Kilio cha mwanaume kwenye mapenzi kwa sasa ni hiki

    Sikuhizi wanaume mnalia hivi Nakupa mapenzi Nakupa vichenji Nini haupati, Vikoba nimekulipia Dah, ila wanaume mnajua kulia? Mpaka mnaenda studio mnaimba kabisa Akina mama wapunguzieni adhabu wanaume wa watu jamaan, mtawamaliza mjue
  19. Jumanne Mwita

    Mwanaume yuko radhi alale njaa au kushinda njaa bila kula ili hawala yake asie na malengo nae ale.

    Nilipita mahali leo ( uswahili kidogo) nikaona maandazi aina ya half cake Dukani kwa mangi nikayatamani. kwakua sijayala muda mrefu nikasogea kwenda kuuliza bei nikaambiwa 200 moja, muuzaji akaniambia naomba hela yako iwe ya chenji sina chenji zinasumbua. nikamwambia nina elf 1 akasema unataka...
  20. N'yadikwa

    Kama kutamani tu ni dhambi, kuna mwanaume ataenda mbinguni kweli?

    Mathayo 5: 28 Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake. MY TAKE: Kuna mwanaume ataenda mbinguni kweli? Labda awe kipofu, huku kukicha mizigo huku na kule humo.
Back
Top Bottom