mwanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. RIGHT MARKER

    Wakati tukiwa tunapambana na "Ukatili wa kijinsia kwa Mwanamke, Tusimsahau na mwanaume

    Mhadhara - 49: ✍️Wakati tukiwa tunapambana na "Ukatili wa kijinsia kwa Mwanamke", tusisahau kuwa wapo baadhi ya wanaume pia wanapitia Ukatili wa Kijinsia. ✍️Kwa kuwa dhana ya ukatili ni pana sana, hivyo hatuwezi kuacha kuamini kwamba hata baadhi ya wanaume ni wahanga wa Ukatili wa kijinsia...
  2. Metronidazole 400mg

    Hivi ni sahihi mwanaume kugugumia/kulia kimahaba wakati wa sex??

    Kuna huyu jamaa jirani na nyumba niliyopanga, aisee nimeshindwa kumwelewa, akiwa huko faragha na mpenzi wako anagugumia/kulia kimahaba MPAKA kero....yaani wakigegedana huko yeye ndio anatoa makelele kupita hata huyo demu wake. Sasa nimejiuliza hii ni kawaida kweli??, kikawaida na uzoefu wangu...
  3. Natafuta Ajira

    Sikiliza kijana, mapenzi ni utapeli kwa mwanaume

    Leo nakufungulia hii code. Thamani za mwanaume na mwanamke zinaangaliwa katika vigezo tofauti. Thamani ya mwanaume ni mali/uwezo wa kifedha na thamani ya mwanamke ni mwili wake yaani ile purity. Mwanamke anaingia kwenye soko la mahusiano around miaka 15 hivi akiwa na thamani kubwa, hiki ni...
  4. Loading failed

    Ukweli mchungu: Wanawake hawana faida yeyote kwa wanaume uzeeni

    Mwanamke hana faida yeyote kwa mwanaume uzeeni zaidi ya kukulipizia kisasi na kukuwahisha kufa mapema Ndugu zangu kuna misemo na matisho wanayopewa vijana wa kiume huko duniani kuwa wewe mwanaume endelea kukataa kuoa FAINALI NI UZEENI pia wanawadanganya vijana wa kiume kuwa mwanaume akizeeka...
  5. Robert Heriel Mtibeli

    Wanawake wengi huondoka na Watoto wakidhani Wanaume watawafuata. Sijui nani aliwadanganya kuwa Mwanaume mtego wake ni Mtoto.

    WANAWAKE WENGI HUONDOKA NA WATOTO WAKIDHANI WANAUME WATAWAFUATA. SIJUI NANI ALIWADANGANYA KUWA MWANAUME MTEGO WAKE NI MTOTO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Watoto uliowazaa wanaumuhimu Kwa Mwanaume pale unapoishi naye. Weka akilini hiyo. Weka na hii Hapa, Mwanamke anaumuhimu Kwa Mwanamke...
  6. babukijana

    X mwanamke na x mwanaume huwa wapi mna tatizo?

    Nilitandika vibinti enzi hizo,na vikazaa hovyo tu,. Mi nikaendelea tu kibabubabu na kibibibibi. Mi ndoa nilishakataa. Sasa X zaidi ya saba wanataka kurudi ntawapeleka wapi? Huku nna x wa mwisho nae anandai hela nyingi tu. Kwenda mahakamani kujitetea ni kila siku,ni mke wa ndoa kabisa...
  7. Melki Wamatukio

    Enyi wanawake. Hakuna mwanaume bahili, ni vile tu ugumu wa upatikanaji wa pesa unatofautiana. Tuoneeni huruma

    Jioni hii nikiwa hapa nje kibarazani, nawasikia wanawake hapo koridoni wanamteta mshkaji mmoja hivi mpangaji kuwa anapenda mbunye lakini ni mbahili. Jamaa ana mwezi wa tatu tokea aondoke kwenda kijijini kuhudumia ujauzito, cha ajabu wanamsema kwa kutumia wakati uliopo. Nimejiongeza tu nikajua...
  8. M

    Je kati ya mwanamke na mwanaume nani anafaidika sana kwenye mahusiano ama ndoa ?

    naomba mnisaidie kujibu ili swali maana watafiti hewa wamenichanganya na mchoro wao huu chini
  9. Robert Heriel Mtibeli

    Nikienda Sokoni namuungisha mfanyabiashara Mwanaume na kumuacha mfanyabiashara Mwanamke Kwa sababu zifuatazo:

    NIKIENDA SOKONI NAMUUNGISHA MFANYABIASHARA MWANAUME NA KUMUACHA MFANYABIASHARA MWANAMKE KWA SABABU ZIFUATAZO: Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Íwe ni Mabibo SOKONI, iwe ni Kariakoo, íwe ni Karume au sehemu yoyote inapofanywa biashara Taikon Master nitakapokuta biashara Ambazo kûna Mwanamke na...
  10. Manyanza

    Mwanaume tambua uko peke yako na unawajibika kivyako

    Wasalaam Wakuu, Humu ndani kuna Wanaume na Watoto wa kiume lakini ukiwa Mwanaume tambua yafuatayo 1. Hakuna anayekujali. 2. Sio mkeo. 3. Sio familia yako 4. Si marafiki zako. 5. Sio wenzako unaofanya nao kazi. 6. Hakuna mtu anayekujali. Watu hufanya mambo kama wanajali lakini ndani yao hakuna...
  11. X

    Mwanaume akikukamata umemcheat bora uachane naye tu. Wanaume huwa hatujui kusamehe mwanamke msaliti. Usijidanganye!

    Ukweli ni kwamba mwanaume hata ajitahidi vipi kukusamehe haitatokea kamwe, wanaume huwa wanadhani wanaweza lakini hawawezi. Tutazungumzia hili kwa kutumia makundi matatu ya wanaume KUNDI LA KWANZA Hawa ni wanaume ambao tukijua tu wapenzi wetu wametusaliti huwa hatuna mjadala hata ulie, uombe...
  12. Marcy

    Usimwamini mwanaume ambaye hampendi mke wake

    Kuna Baadhi ya wanawake wana date na wanaume waliooa Usimwamini mwanaume ambaye hampendi mke wake Hajawahi kuku valisha hata hiyo pete na anakuambia anakupenda Unafikiri anakupenda wew? Kama aliyemvalisha pete anam cheat wew kwake utakuwa na thaman?? usiwe mjinga Anakuambia anakupenda na huku...
  13. Lethergo

    Ni ngumu sana kumpa Mwanamke anaeweze kuvumilia kila hali ngumu za maisha unazokumbana nazo Mwanaume

    Intro: Bila salamu. Literature Review: Ni kwamba ni ngumu sana kwa mwanaume kumpata mwanamke mvumilivu wa kila hali, hapa nieleweke ninaposema kila hali hususani hali ngumu za maisha yaan ukata, hali ya kutokuwa na kitu mfukoni, umepigwa ukapigika, umepigwa ukapauka ukafubaa, hali ya kukimbiwa...
  14. Expensive life

    Mwanaume mwenzangu katika pitapita zako usiombe ukutane na wanawake wa sampuli hii. Hakuna rangi utaacha ona

    Wanawake wa namna hii hakuna anachowaza zaidi ya shughuli, kwa masifa anatunza malaki ya pesa, hawazi maisha au baadae ya watoto. Yeye ni shughuli ukiwa hauna sasa anaenda kukopa huko, na vitu vya ndani anaweka bondi. Mjamba wangu alioa mwanamke wa sampuli hii, mkewe akiwa hana pesa ya shughuli...
  15. Zemanda

    Mwanaume usitengeneze mtoto na mwanamke ambaye hautaishi nae.

    Ni uongo au kujitoa ufahamu kusema mwanaume hauna akili ya kujua kuwa huyu mwanamke ana red flags za kutosha kukupa mrejesho kuwa hautadumu nae na hatobadilika hata ufanye nini. Mwezi wa kwanza tu wa kuishi na kuwa karibu na mwanamke tayari kwa mtoto wa kiume mwenye ubongo unaofanya kazi kiume...
  16. F

    Utamu wa Mwanamke na wa Mwanaume

    Je mwanaume asema nini kuhusu utamu wa mwanamke,kwamba mwanamke mtamu ana sifa gani,na je mwanamke anasemaje kuhusu utamu wa mwanaume,kwamba mwanaume mtamu ana sifa hizi,naomba majibu
  17. Lethergo

    Ukitaka uheshimike zaidi na Mwanamke kama wewe ni Mwanaume usimsikilize

    Sina haja ya salamu. Ninakukumbusha wewe Mwanaume ili uheshimike na mwanamke usimsikilize mwanamke, kwa sababu mwanamke jinsi alivyoumbwa akikwambia anataka ufanye hivi maana yake anataka ufanye vile yaan vice versa is true kwa hio anaweza akakwambia umpe limao kumbe mwenzako anataka umpe...
  18. Dumuzii

    Mwanaume jua thamani ya mdomo wako

    Kabla mambo hayajawa mengi ni ufala kwa mwanaume kuanzisha mahusiano yoyote kwa gia ya pesa. Kifupi ukianzisha hayo mahusiano jua umesaini mkataba wa kutumika. Na utatumika kama kondom vile. Yaani ponea yako labda upasuke. Hata vitabu vitakatifu vinakuambia hapo mwanzo kulikua na neno. Ndio...
  19. Money Penny

    Hivi Mwanamke au Mwanaume wa ndoto yako yupoje? Ulishawahi kumpata au ulishakata tamaa kumpata?

    Kama ilivyoandikwa Mwanamke au mwanaume wa ndoto yako Bado yupo? Ana exist Ha- exist Unae? Huna? Anafananaje? Au ushakata tamaa?
  20. Nanamucho

    Nyie Kuna wazee wanaswaga,Vijana mkasome

    Nikiwa town kwenye mishe zangu,Kuna mahali mchana huwa napenda kwenda kula,wakati natoka Kuna mahali nilipita kwenda kuchukua mkoba wangu Eeeeh sinikasikia naitwa,kugeuka namuona mbaba mtu mzima ila vaa yake kama wale dereva tours,nyieeeee 😹 Kuna watu wanajua kutongoza,yaani nimejiuliza...
Back
Top Bottom