Jambo la kwanza, wavulana huingia kwenye uanaume pale wanapoanza kuelewa kwamba,hakuna anayewajali kama hawana mchango wowote katika maisha,kama unataka kuwa mwanaume basi onyesha thamani yako katika maisha.
Jambo la pili, jifanye hauna uwezo wa kupata mkate wako wa kila siku mpaka pale...