1. Epuka kuegemea ukuta au kupishanisha miguu
2. Epuka kukunja mikono yako kifuani; inaonyesha unajiamini kupita kiasi au dharau
3. Unapoulizwa maswali; daima angalia mbele, usiiname chini
4. Epuka kutafuna kitu chochote mdomoni au kung’ata kucha
5. Kama umekaa usiegemee sana kiti -...
Hili ni Somo zuri Kwa vijana na mabonge na mastaa wanene mpaka watangazaji, Ulaya mtangazaji akiwa mnene hapewi kazi ktk television, lazima uwe na umbo Dogo zuri, angalia, BBC, CNN, aljazira, wion. Kwetu hasa ITV watangazaji ni wanene kupita kiasi.
Tuje kwenye mada, Harmonize tembo wamemsema...
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limemkamata na linamshikilia Selemani Haruna maarufu Kwata (24), Mkazi wa Kimara Temboni mtaa wa Amani, kwa tuhuma za kumuua Editha Charles (22) Mkerewe, Binti wa kazi za ndani na kuuficha mwili huo katika stoo ya vifaa vya ujenzi katika nyumba ya...
Huko Canada, kuna ubunifu mpya ambapo mtu anaweza kuchagua aina ya mti au maua yatakayooteshwa juu ya masalia ya mwili wake baada ya kifo. Kampuni moja imebuni makasha maalum biodegradable ambayo huwekwa masalia ya mwili baada ya kuchomwa.
Pichani ni moja ya kasha la kuhifadhia majivu ya...
“Kwa sababu hiyo nawaambieni, Msisumbukie maisha yenu, mle nini au mnywe nini; wala miili yenu, mvae nini. Maisha je! Si zaidi ya chakula, na mwili zaidi ya mavazi?” Mt 6:25 SUV.
Hebu tuliangalie hili jambo, je tunapaswa tu kuwa bize na mambo ya Mungu na kuacha mambo mengine yanayohusu kazi...
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amemtaka aliyehusika na mauaji ya Askari Polisi kwa kutumia mshale wakati wa uwekaji wa mpaka Loliondo Mkoani humo ajisalimishe. Amesema hayo leo wakati wa kuaga mwili wa marehemu Garlus Mwita, ambao umepelekwa kwao Musoma Mkoani Mara.
Habari wanajamvi natumai mu na afya njema na wale ambao afya imelega kidogo poleni na ugua pole God atabless
Ndugu zanguni nilipiga Ct scan,, naomba kuuliza hiko nimezungushia kwenye picha ni kitu gani wataalamu?
Utashi ni kipawa cha binadamu kinachomfanya aweze kutaka mwenyewe chochote. Kitu hicho kinaweza kuwa chema na hata kibaya, ingawaakili yake mwenyewe inaona zaidi wema fulani uliomo na ambao unamvuta. [Wikipedia]
Je unafahamu vitu kama afya njema, umbo la mwili wako na hata sura yako kwa kiasi...
Ataupiga mwingi sana!! Atamkaribisha kwa hiari yake yule wa Zanzibar (mtoto wa mzee Mwinyi) aje agombee kwa tiketi ya CCM, halafu yeye ataenda kugombea Zanzibar!! Atapokelewa Zanzibar kama shujaa!! Anayowatendea ni mema kuliko maelezo!
Anawaingizia mabilioni kama "mgao wao"!! Huku pia mtoto...
Tatizo kubwa ni kwamba wakristo wanafata wanachoambiwa na viongozi wa kidini na sio maandiko yanavyosema. Hakuna sehemu imeandika mwanaume aoe mke moja tu.
Kuna huu mstari wa "Nao wawili watakuwa mwili mmoja." i hutafsiriwa vibaya kwa kudhani kwamba mwanaume inabidi awe na mke moja, La hasha...
Kitambo kidogoo...
Muda mchache majukumuu kibaooo
Umri unasonga mwili nao huooo jumbaaaa....
Jamanii mwili wa kibantu, nshauchokaa...
Yaani unanenepa sehemu na sehemu tuu...
Mikonoo, uso, mapaja, miguu tuuumbooooooo, tutako nehiiii 😞😞😒
Diet sana, mazoezi sanaa ila baada ya mwaka with the...
Jeshi Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Mwanamke mmoja kwa tuhuma za mauaji ya Mtoto wa Mdogo wake aliyekuwa na umri wa miaka miwili (2) na miezi minne. Mtuhumiwa huyo LATIFA BAKARI (33), mkazi wa Mabibo aliachiwa mtoto huyo na mdogo wake kwa lengo la malezi na Tarehe 05/04/2022...
Katika hali isiyo ya kawaida jioni hii, kijana mmoja jinsia mwanaume anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 25 hadi 30 amekutwa amefariki huku mwili ukiwa umetupwa katika ofisi ya mtendaji Mbagala Kuu jijini Dar es Salaam na kuzua sintofahamu kwa wananchi wa eneo hilo. https://t.co/2UMsTJynNR
Wizara ya Afya imebaini ongezeko la watu wenye dalili za homa, kukohoa, mafua, kubanwa kifua & maumivu ya mwili kuanzia Desemba 2021 hadi Machi 25, 2022, hali ambayo imekuwa ikitokea kwa miaka mitatu mfululizo. Wote wenye dalili hizo wametakiwa kwenda vituo vya afya kwa matibabu.
Umeenda mahala kula mzigo na una hamu kinyama na binti mrembo na anakubali umtafune na umvue nguo zake.
Lakini ukimvua tu nguo unakutana na chale mwili mzima za kila aina.
Hapa unapata picha gani?
Utapiga mzigo na kunasa?
Binti ni mzee wa kazi?
Habari WAkuu bila shaka muko salama
Moja kwa Moja kwenye mada kuna Ndugu yangu wa Karibu sana jana jioni wakati wa Mazungumzo alinishirika jambo lake akasema hivi "siku za Karibuni nimekuwa nakonda sana hadi nguo zangu zilizokuwa zinanibana zimeanza kuwa kubw atena Kwangu.
Nakula vizuri sina...
Mkazi wa Mtaa wa Kamando Kata ya Igunga Mjini, Wilaya ya Igunga, Veronica Jackson Juma (26) ameuawa na watu wasiojulikana na mwili wake kutupwa kwenye shamba la mahindi.
Mwili huo umekutwa umefungwa kamba kwenye mikono na mdomo kuzibwa na kipande cha nguo.
Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa...
Wakazi wa eneo la Old Vwawa mkoani Songwe wamekutana na kinachodaiwa kuwa ni mabaki ya binadamu katika shimo ambalo lilichimbwa maalum kwa ajili ya kusimika nguzo.
Shimo hilo lipo eneo hilo katika mradi wa kuweka nguzo za umeme kutoka Old Vwawa kwenda Msambawani mkoani hapo.
Mmoja wa mashuhuda...
Habari wakuu nina tatizo la mwili kuchoma choma kuanzia kichwani mpaka maeneo ya kifuani pale ninapopata joto, tatizo hili nilishawahi kuwa nalo kabla nlipewaga ushauri na daktari ambaye siwezi kumpata tena aliniambia ni minyoo akanipatia dawa za minyoo sizikumbuki ni aina gani nlipona kabisa...
Mwili wa marehemu Dr. Mwele Ntuli Malecela umewasili Dar es salaam mnamo saa sita usiku na ndege ya KLM.
Mwili umepokelewa na baba yake mzee Samwel Malecela pamoja na waombolezaji wengi waliogubikwa na huzuni, na waliosubiri uwanjani toka jioni.
Msafara uliekekea moja kwa moja nyumbani kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.