Andiko la mwisho la Ole Mushi hebu lipitie👇🏿
UKOLONI UNARUDI TANZANIA?
Na Thadei Ole Mushi.
Miaka 60 ya Uhuru tumeshindwa kabisa kusimamia rasilimali zetu wenyewe.
Migodi tumeitoa kwa Wazungu, Misitu tumeitoa kwa Mwarabu, Posta tumeitoa kwa Mwarabu, Misitu tumeitoa kwa mwarabu, Gesi...