nahitaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. General Nguli

    Nahitaji kuangalia Fainal ya UEFA Champions nyumbani kwangu kupitia Laptop.

    Wakuu naomba kujuzwa jinsi nitakavyo faidika kuangalia Uefa nikiwa kitandani na Laptop yangu. Msaada pliz
  2. Zekoddo

    Nahitaji bag moja la safari kama haya, huko Town/Kariakoo yanauzwa bei gani?

    Wadau, hizi bag nazikubali sana.. naona zitanitoa sana kwenye safari zangu za pale na kule.. So nahitaji kujua begi zake wakuu..
  3. Brightburn

    Nahitaji developers watatu (3), mshahara laki 4 kwa mwezi

    Heshima kwenu wakuu! Nahitaji developers watatu (3) wasio na ajira rasmi, kuna kazi watatakiwa kuifanya na baaada ya hapo kutakuwa na ajira rasmi kwao kwaajili ya kukiendesha walichokiunda, ajira rasmi itakuwepo endapo watafanikiwa kukamilisha kazi hiyo ya awali. Wanatakiwa devs 3 wenye ujuzi...
  4. Makonde plateu

    Nahitaji mke wakuu

    Hello getlemen and ladies i'm coming ti you once again for another request but this mostly for only mind girl mostly beutiful girl but even there man or boys who love mteremko it si fine na problem Nakuja kwenu nahitaji mke wowote yuke imradi mke even malaya tutajuana mbele kwa mbele haina...
  5. Mdigokhan

    Nahitaji kupungua Mwili/ Kilo. Naumia sana

    Khabari zenu, Nimekuwa mtu wa kujisikia vibaya sana nikiuangalia mwili wangu. Mimi ni kijana wa miaka 28, nina kilo 93. Nimenenepa sana. Nina kilo nisizozipenda, nimetumia mbinu ya mazoezi Ila nahisi kushindwa cuz ratiba za kujitafutia ridhiki zinabana. Natamani Nipungue nifikie hata kilo 75...
  6. Stunnaman008

    Nahitaji mwanamke

    Habar Kama mada ilokuepo juu nahitaji mwanamke wa kuchat nae
  7. D

    Msaada nahitaji kusoma programming language short course

    Hello habari ya saizi wana jamii wenzangu naomba msaada nahitaji kusoma programming short course je kama kuna chuo chochote kinacho fundisha au nipeni namna nayoweza kusoma ila isiwe online
  8. Chizi Maarifa

    Nahitaji msaada. Nadhani nina tatizo, hii si hali ya kawaida

    Ni miaka mingi sana kuna jambo nikiona mwanamke anafanya nachanganyikiwa kabisa. Na huwa napenda sana linanisisimua sana mwili. Napenda sana kumwona mwanamke anakojoa. Yaani kama ni mpenzi wangu nitataka achuchumae akoje nimwone huku nashika shika mkojo wake. Halafu nimnawishe. Au kama...
  9. K

    Nina 1m nahitaji sim kati ya iPhone au Samsung

    Mambo vipi wanajamvi. Naombeni ushauri wenu wataalam wa sim za mkonini. Kwa bajeti hiyo sim ipi itanifaa?
  10. T

    Nahitaji kununua gps (nipo mwanza)

    Habari wadau. Nahitaji kununua GPS, kwaajil ya kunisaidia kuchukua coordinates kwenye maswala ya uchimbaji (mining). Budget yangu ni kuanzia Tshs 400,000/= mpaka 900,000/= Kama nikapata contacts za dukani kwa Mwanza au Geita nitashukuru zaidi
  11. secretagent

    Nimeshikana na mgonjwa wa hepatitis sas nifanye?

    Nimeshikana na mgonjwa wa hepatitis sasa nifanye nini wakuu sielewi sehemu ya kuanza nahitaji muongozo
  12. sky soldier

    Ni kwanini ukidownload MB 10, Matumizi ya Data yanaonyesha kifaa kimetumia MB 12.

    Kwa simu tofauti na laptops nimefanya hii ishu na nimekosa jibu, hata Nikitumia router au modem nayo ni hivyo hivyo. Nilidhani ni janja janja za mitandao labda kuna vitu vyao ila nishajaribu line 4 tofauti, ni hivyo hivyo. Nadownload file la MB 10 lakini Data usage inaonyesha MB 12,,, Hii ni...
  13. jokotinda_Jr

    Msaada wa ramani ya nyumba

    Sina uzoefu wowote katika ujenzi naomba msada wenu. Nahitaji ramani ya nyumba iwe na vyumba vitatu ikiwemo masta moja jiko na dining pia kama ntapata fundi mzuri itapendeza, nawasilisha. Location yangu ni DSM Mbezi Mwisho.
  14. L

    Nahitaji vyuo vinavyotoa courses za certificates Kwa ada nafuu

    Wakuu nisaidieni hili
  15. KING MIDAS

    Nahitaji kuonana na watu hawa ili roho yangu ipone

    To yeye Nakubusu Bujibuji Simba Nyamaume GENTAMYCINE Mshana Jr Pascal Mayalla Nazjaz Sky Eclat Skylar Maxence Melo Santos06 UMUGHAKA Unique Flower Miss Natafuta bm x6 Jemima Mrembo Baba Swalehe litutumbwe
  16. H

    Nahitaji elimu juu ya mahusiano haya na mpenzi wangu

    Habari zenu ladies and gentles, natumaini mko poa popote pale mlipo. Naomba kupewa mawazo, maoni, experience au ushauri juu ya hii changamoto ninayokutana nayo. Nina mpenzi wangu tumeanza mahusiano huu tunaenda ni mwaka wa 3 sasa. Tulianza mahusiano vizuri sana, nilikuwa naenjoy chats and...
  17. R

    Nahitaji usafiri wa mizigo kutoka Himo mpaka Kisongo Arusha

    Habari wakuu. Nahitaji usafiri wa mizigo kutoka Himo mpaka Kisongo Arusha. Mzigo wa tani Moja ukiwa kwenye magunia au viroba. Naomba price quote. Ni biashara endelevu.
  18. Tanziti

    Nahitaji mtaalam wa programming

    Nahitaji mtu mtaalamu wa kutengeneza website pamoja na APP awe mbobezi na mwenye uzoefu wa kutosha kama upo tayari wasiliana nami kupitia whatsapp namba 0685451700 Asante.
  19. Liverpool VPN

    Nahitaji kumpima DNA za Mtoto, Naomba kufahamu taratibu za upimaji

    INTRODUCTION Mimi ni mwanaume Nina miaka 33 Ni mtumishi wa Halmashauri moja wapo nchini Nina mabinti wawili wa kwanza miaka 8 na wapili miaka mi3. SCENARIO Binti wa kwanza. Huyu ni mtoto wangu pure, yaani kila kitu ni Mimi. Ni copy ya sura na vitu vingi sanaa. Binti wa pili. Huyu ndio nahisi...
  20. Mahrez

    MSAADA: Nahitaji bidhaa ya Yasaki Lube; wapi nitaipata kwa jumla?

    Natumai muwazima wa afya poleni na harakati za kusaka haki ya tumbo. Nipo mkoa wa tanga mimezunguka sana kusaka hiyo bidhaa pichani. Lakini bado sijafanikiwa nahitaji msaada wapi nitapata kwa jumla na kwa bei gani kimsaada zaidi Natumai nitapata mrejesho wenu mapema sana na asante sana kwa...
Back
Top Bottom