nahitaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Siwamilele

    Nahitaji location nzuri yenye mzunguko kwa biashara ya stationary

    Wakuu poleni na purukushani za kujitafutia mkate wa kila siku. Kwa mwenye kufahamu wapi nikifungua biashara tajwa hapo juu naweza kupata mzunguko mzuri? Tafadhari share nami location nikapambane mwenzenu, maana hapa nilipo hainilipi kabisa. Napendekeza iwe mkoa wa Morogoro au Pwani. Hata...
  2. Zikwe

    Nahitaji Eneo la Biashara ya Chipsi

    Habari Wana JF, Kama Kichwa Kilivyoeleza. Nahitaji Eneo la Biashara ya Chipsi Na Mgahawa Kwa Kupanga Na Ikiwezekana Tuma Na Picha Ya Eneo Lenyewe tuje tuingie Mkataba. Haya ndo Maeneo Ninayoitaji Eneo Hilo Liwepo; i) - Sinza ii) - Kinondoni iii) - Magomeni !v) - Mbezi Karibu na Magufuri...
  3. emmarki

    Nahitaji iPhone XR au Xs max

    Nahitaji iPhone XR au Xs max, simu iwe clean
  4. Justine Marack

    Nahitaji kukutana au kuwasiliana na Waziri Bashe

    Mimi kama Mtanzania wa kawaida, ninayo haki na wajibu wa kukutana na kiongozi wangu yeyote na kubadilishana naye mawazo ili kujenge nchi yetu kwa pamoja. Mimi nimebehetika kukaa katika biashara ya mazao na pia kulima mazao katika mikoa minne ya kanza ya Magharibi na kusini. Nimefanya export ya...
  5. Jasuma

    Nahitaji Mke

    Naitwa Emason umri Wangu miaka 35, Elimu yangu Degree, Ajira yangu nipo serikalini, lakini pia nimewekeza katika business, situmii kilevi chochote, Mimi ni mkristo, pia nipo social sana, siyo kwamba najisifu ila najieleza uhalisia juu yangu. Natafuta mke wa kuoa, na hii imetokea baada ya Mimi...
  6. T

    Nahitaji Tank la Maji used

    Nahitaji used simtank la maji lita 10,0000 Angalizo Liwe bado zima Iwe Dodoma
  7. K

    Nitapata wapi Powerful Laptop (Mobile Workstation)?

    Nahitaji laptop powerful iwe; 1. DELL au HP 2. 15 inch screen size and above 3. Numeric keyboard 4. 11th generation and above 5. Minimum Core i7 Wapi naweza pata?
  8. Afisa Mteule Drj 2

    Msaada Nahitaji Display Original ya Samsung Galaxy A10

    Simu yangu ilitumbukia kwenye maji display ikaharibika niikaweka display nyingine kwa sh 70,000,display hii mpya haina ubora kama ile original iliyokuja na simu na napasuka kama kioo cha dirisha pia inastack ovyo nikitouch.Nauliza kuna anayejua wapi naweza kupata display nzuri na original ya...
  9. Mamujay

    Nahitaji Nyumba ya kununua iwe mabibo mwisho

    Kama nilivyo sema ninahitaji nyumba ya kununua mabibo ofa yangu mil 20 madalali wekeni picha msilete biashara za kufatana inbox
  10. Mamujay

    Nahitaji flemu ya kununua Kariakoo

    Kama nilivyo sema ninahitaji flemu ya kununua kariakoo ipo mil 10 hapa
  11. The last don

    Nahitaji licenced windows 10pro na ms office 2016

    Habari wadau nahitaji licenced windows 10pro na ms office 2016 Ninatoa 100k Nicheki 0621973591. Note: Sihitaji pirated wala cracked version. Ikiwa kwenye cd yake ni bora zaidi.
  12. UMUGHAKA

    Nahitaji kupingwa kwa hoja kwa mambo ninayo amini kuhusu watu weusi

    Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane. Huwezi kuniambia niendelee kuusifu Uafrika wakati kuna mambo ya kutumia tu akili ndogo tumeshindwa kuyafanya. Mfano. Taifa la Tanzania ni moja ya nchi inayopatikana kwenye hili bara la Afrika (BARA LILILOJAA NEEMA).Moja ya Rasilimali tulizonazo kama...
  13. R

    Nahitaji gari used (Saloon car)

    Salaam wakuu, Nahitaji gari ndogo kwa ajili ya matumizi na mizunguko midogo midogo hapa mjini Dar es salaam. Napendelea zaidi Spacio, Premio, Allex, Runnex, Raum, Ractic na Rumion. Bajeti yangu ni TZS 6M. Tuwasilisane kupitia namba 0622078182.
  14. M

    Mtaji kiasi gani unatosha kufanya biashara ya kuuza vifaa (accessories) za simu?

    Wakuu habari, Mtaji wa kuuza accessories za simu kama vile. Earphones, Battery, Cover, Screen protector na Charger. Unahitaji mtaji wa shingapi yaani kianzio
  15. Ricky Blair

    Naomba kujuzwa nauli za safari hizi

    Naombeni Msaada wa mabus mazuri ya luxury ya kawaida kwa routes izi na bei zake. Dar to Tanga city Tanga city to Lushoto Lushoto to Mwanza Mwanza to Dar Dar to Lindi city Lindi city to Mtwara city Mtwara city to Songea Songea to Mbeya city Mbeya city to Kigoma Kigoma to Dar. Serious answers plz...
  16. G

    Nahitaji mke aliye serious na mwenye hofu ya Mungu

    Umri wangu miaka 34. Mwajiriwa serikalini, Natafuta mke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo: 1. Awe na umri kuanzia miaka 20 Hadi 30 2. Awe na Elimu kuanzia ngazi ya chuo 3. Awe mweupe au maji ya kunde 4. Awe na hofu ya Mungu 5. Awe amezaa au hajaza lakini asiwe na zaidi ya mtoto moja 6. Awe mkristo...
  17. No SQL

    Nahitaji suzuki carry ya kukodi / kununua kwa malipo ya kila mwezi

    Habari Kwa mmiliki wa suzuki carry, nahitaji kukodi kwa malipo ya mwezi au uniuzie kwa malipo ya kila mwezi.. Tutaandikishiana na dhamana zipo. Kama unayo unaweza kunichek DM tukaelewana. Naishi Kigamboni, Dar es salaam
  18. N

    Nahitaji mpenzi (Mume)

    Mimi Ni mwanamke mwenye umri wa miaka 23, natafuta mume. Aliye serious karibu PM kwa maelezo zaidi, thanks!
  19. Financial

    Nahitaji vifungashio kama hivi

    Habari wana jf nahitaji vifungashio vya kuwekea mafuta ya kupaka mgando vikiwa na uwezo wa kutosha kuweka 500gm kilo 1 na kuendelea
  20. E

    Msaada nataka kumfungulia mtoto account ya USD kwa ajili ya kumtunzia hela

    Mambo vp wadau kama kuna mtu yoyote anaweza kunisaidia kujua faida na hasara kwa kufungua acc ya usd kwa kuhifadh hela naomba anifafanulie nipate uwelewa vizuri.
Back
Top Bottom