Habari zenu ladies and gentles, natumaini mko poa popote pale mlipo.
Naomba kupewa mawazo, maoni, experience au ushauri juu ya hii changamoto ninayokutana nayo.
Nina mpenzi wangu tumeanza mahusiano huu tunaenda ni mwaka wa 3 sasa. Tulianza mahusiano vizuri sana, nilikuwa naenjoy chats and...