nani

  1. Mohamed Said

    Ni Nani Huyu?

    Ni nani huyu hapo chini? Ikiwa unamfahamu tafadhali nitajie jina lake. Hakuna leo anaemjua Iddi Tulio. Picha ya Mzee Iddi Tulio nimeitafuta kwa miaka mingi na nikakata tamaa ya kuipata. Msamaria mwema ameniletea leo. Allah amjaze kheri nyingi. Hivyo hapo chini ndivyo nilivyomweleza Mzee...
  2. Mwamuzi wa Tanzania

    Tetesi: Kwasababu ya umaskini na woga vijana wanachukua kadi za CCM kwa kasi sana. Nani atalikomboa taifa na adui wetu 3 wa asili?

    Hello ! Mwanzoni mwa mwezi May 2024 mke wangu aliniambia kuwa kadi za CCM zinefika, mjumbe kaandika jina lako hivyo twende ukachukue kadi yako. Nilitafakari, inakuwaje mjumbe aandike jina langu kwenye orodha ya wanaohitaji kadi za CCM bila ridhaa yangu. Kwakuwa nilikuwa free nikaona nisigombane...
  3. Ileje

    Ni nani Rais wa heshima wa Simba?

    Katika hali isiyo ya kawaida na isiyo ya kikatiba Mwenyekiti wa Simba upande wa Mwekezaji anajiuzulu na kumteua Rais wa heshima wa Simba Mo kuwa Mwenyekiti upande wa Mwekezaji! Hii kitu hakijawahi kutokea tangu kuumbwa kwa dunia na hivyo ajabu lingine la dunia! Ina maana kumbe Mo ni Mwekezaji...
  4. 1

    Nitafsirieni hii code

    Nani kaelewa hii code ya hawa watu.
  5. mkolechi

    Nani anataka Fursa hii

    Unakaribishwa Niko Mbeya
  6. EvilSpirit

    Nani humu ana ujasiri wa kufanya hivi

    One blow only and there goes the terrorist
  7. S

    Wanawake wa Dar es Salaam nani kawaloga?

    Kweli Dar es Salaam imejaa vituko, vitimbi na watu wenye matatizo ya akili. Hivi inawezekanaje mwanamke uliyepevuka kiakili na utimamu wa mwili unaenda kupanda usafiri wa umma(daladala au mwendokasi) hujavaa nguo yoyote ya ndani (iwe ni underwear or tight) na wakati huo huo ukitambua kwamba kuna...
  8. SweetyCandy

    Nani kapata mwenzi huku na wameoana?

    TUambiane jamani tujue
  9. GoldDhahabu

    Nani anastahili salam ya shikamoo?

    Mwaka 2010, nilienda na rafiki yangu nyumbani kwao Usukumani. Nilishangaa nilipoamkiwa "shikamoo" na dada yake ambaye alionekana wazi anaweza akawa mkubwa kwangu. Ndivyo alivyoniamkia na ndivyo alivyomsalimia pia rafiki yangu ambaye ni ndugu yake wa damu. Japo niliitikia, lakini ilikuwa kwa...
  10. Eli Cohen

    Adam Sandler vs Ben Stiller: Nani ni mfalme wa Comedy Movies

    BEN STILLER Miongoni ya Movies zake: 1: Night at the museum 2: Along came Polly 3: Meet the Fockers 4: Tropic Thunder 5: Zoolander ADAM SANDLER Miongoni ya movies zake: 1: Anger Management 2: Grown ups 3: Zohan 4: Just go with it 5: Blended
  11. Robert Heriel Mtibeli

    Kwanini Watu wenye sifa nzuri kama uzuri na uhandsome au utajiri husemwa kwa mabaya? Je, ni wivu kwa waliokosa sifa hizo?

    Habari za jumapili! Ni wivu katika jamii au ni jambo gani? Ña hii tabia ipo kwenye jamii maskini hasa huku Afrika, Ni kwànini mdada akiwa mzuri wale ambao hawakujaliwa uzuri humpa maneno mabaya na kumhusisha na umalaya, udangaji, ukahaba n.k? Wakati ûkienda site unakuta hali ni tofauti...
  12. let the caged bird sings

    Ni nani kati ya hawa wanne anadanganya?

    Kulitokea Wizi wakati wa Majira ya Barafu, ila kila. Mmoja alisema hakutoka Nyumbani siku ya tukio. Ukiangalia picha hii kuna mmoja anadanganya. Unadhani ni nani huyo anaedanganya kati ya hawa wanne?
  13. L

    Naomba kuelezwa ni nani Mwingine zaidi ya Dkt Tulia na David Kafulila amewahi kurejesha Chenji Serikalini?

    Ndugu zangu Watanzania, Kuna watu ni WAZALENDO kwelikweli,ni wasafi sana, ni waaminifu waliopitiliza,ni wacha Mungu na wenye Hofu ya Mungu sana na wana uchungu mkubwa Sana na Maisha ya watanzania. Miongoni mwa watu hao basi ni hawa watu wawili ambao wamewahi ishitua Tanzania na kugusa mioyo ya...
  14. Jaji Mfawidhi

    Polisi wakikutwa wao hawajitaji majina, ila raia wanatajwa majina hata bila udhibitisho, sasa je, RTO wa Iringa anaitwa nani?

    Wanyonge wanaomba majina, mkoa gani na je , mbona huwa hamuwataji? Msemaji wa Jeshi la Polisi, DCP David Misime, amesema baada ya ukaguzi, wahusika walichukuliwa hatua za kinidhamu kwa kushtakiwa, Askari 8 wamefukuzwa kazi na kufutwa Jeshini na wengine kesi zao zipo hatua za mwisho. WADAU...
  15. Orketeemi

    Nani anamuelewa Dkt. Charles Msonde?

    Dkt. Charles Msonde ni Naibu Katibu mkuu TAMISEMI anayeshughulikia Elimu. Kabla ya kushikilia nafasi hiyo Dkt. Msonde alikuwa katibu Mtendaji wa Baraza la mitihani . Tangu aondoke NECTA na kwenda kushika nafasi aliyonayo Dkt. Msonde ni Kama amechanganyikiwa. Amekuwa akizunguka kwenye...
  16. Mjanja M1

    Picha: Unajua mimi ni nani?

    "Kuwa Makini kijana nitakupotezaa"
  17. Pdidy

    DOKEZO TANROADS, Magari ya mchanga yameharibu lami ya Tankibovu makazi mapya. Je, ni nani anawakumbatia hawa?

    MASIKINI INASIKITISHA SANA NILIKUWA SAFARI NIMERUDI JANA NIKASEMA NIKAMWONE DADANGU KIPENZI MAKAZI MAPYA MBEZI BEACH NIKAKUTA BARABARA AMBAYO DADA NAE ALICHANGIA 50000 HAIFAI....... Kabisaaaa Kuuliza naambiwa kunaa mkandarasi kapata tenda ya kutoa michanga huko chiinii mtonii Shida si...
  18. N

    SoC04 Machozi yake nani anayajali?

    Mtoto huyu, aliye katika jamii kwa sasa hajui nani amwamini nani asimwamini,mtoto huyu hana pa kukimbilia, si baba,si mjomba, si kaka, si babu, sio mwalimu, si kiongozi wa dini, sio binamu, mtoto huyu anateseka, mtoto huyu wa tanzania hana pa kushika,hakuna anayemtetea kwa dhati, mtoto wa...
  19. N

    SoC04 Nani amtetee Raia kutokana na unyanyasaji wanaofanyiwa na vyombo vya ulinzi na usalama?

    Tanzania ni nchi salama yenye hali nzuri ki siasa, kijamii na kiusalama, lakini kama watanzania ama mtanzania napenda kusimama kuzungumza na kushauri mambo kadhaa hasa yanayohusu vyombo vyetu vya ulinzi na usalama polisi na jeshi. Polisi na Jeshi katika utaratibu wao wa kufanya kazi ni nani...
  20. Suley2019

    Nani mchezaji wako bora wa Yanga (MVP) kwa msimu huu wa 2023/24

    Naaaje wazee! Kwa Sisi wadau wa soka la nyumbani uhondo wetu unafikia mwishoni. Mpaka sasa Wananchiiiii wamesepa na kikombe Chao huku watani zao wakiendelea kujitafuta kupambania nafasi ya pili na dhidi ya wana lambalamba. Tukirudi kwenye mada, msimu huu ni miongoni mwa misimu Bora kwa Young...
Back
Top Bottom