natafuta kazi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. sangaone98

    Natafuta kazi, kibarua au ajira

    Heshima yenu wana JF popote mlipo, I hope mko sawa, mimi ni kijana wa kiume umri wa miaka 26. Naombeni kwa yeyote anayeweza nisaidia kupata kazi, kibarua, Ajira mwenye connection ya mchongo wowote halali naomba anisaidie naamini kwenye uwezo wenu wana JF. Kwa sasa niko iringa ila naweza kuja...
  2. N

    Naombeni kibarua cha kusogeza siku za maisha yangu yaliyobaki hapa duniani

    Hello JF family. Nakuja mbele zenu ndugu zangu mnisaidie kibarua chochote kile ili nipate kusogeza siku zangu za kuishi hapa duniani bila kuwa tegemezi wala kero kwa wengine. Sihitaji kazi ambayo itakuwa na mambo mengi, nahitaji kibarua cha kuniwezesha kumudu tu gharama za Chakula na sehemu...
  3. M

    Natafuta kazi yoyote, nina BSc. Biotechnology and Laboratory Science

    Habarini wakuu mimi ni muhitimu wa BSc. Biotechnology and laboratory science mwaka huu kutoka Sokoine University of Agriculture (SUA). Natafuta kazi ata nje ya taaluma yangu Kwa mwenye connection naomba msaada🙏
  4. O

    Natafuta kazi ya kufundisha shule za technical na vyuo vya ufundi

    Habari: Mimi ni mhitimu wa degree ya ualimu wa civil engineering,, Natafuta kazi ya kufundisha shule za technical na vyuo vya ufundi, kwa mawasiliano 0747541717.
  5. F

    Natafuta kazi ya kupiga msasa/finishing mbao

    Ndugu zangu natafuta kazi ya kupiga msasa/finishing mbao na mdf bord.... Ni mzaliwa wa Tanga ila kwa sasa nipo Dodoma. Nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote. kikubwa maelewano
  6. Sh3isart

    Natafuta kazi, fani ya mipango miji(Bsc. Housing and Infrastructure planning)

    Habari, nina degree ya housing and Infrastructure planning (Mipango miji) nimemaliza chuo kikuu Ardhi mwaka 2023 nipo Dar es Salaam. Natafuta nafasi ya kazi au hata ya kujitolea hata kwenye kampuni binafsi . Nitashukuru sana kwa msaada wako.
  7. K

    Natafuta kazi ya uhasibu au kazi yoyote ndani ya mji Tunduma au mkoaa wa Songwe

    Habari Wana JamiiForums Mimi ni mkazi wa Dar es salaam ila kwa Sasa naishi Tunduma. Natafuta KAZI YOYOTE katika taasisi binafsi mfano shule,kampuni ya mabasi,clearing & forwarding company na hata Usimamizi wa biashara.Elimu yangu ni UHASIBU yaani Nina Bachelor of education in Commerce and...
  8. Monetary doctor

    Natafuta kazi ya Uhasibu

    Salaaaam wana JamiiForums Habari wakuu nina uhitaji wa kazi au nafasi ya uhasibu.. Nimehitimu shahada ya bank na fedha kutoka IFM.. 2023 Nimefanya intern ya uhasibu, kwa miezi nane kwenye kampuni ya madawa hapa dar es salaam, hivyo nina ujuzi angalau wa kihasibu kwenye kampuni. Kazi nilizokuwa...
  9. the fresh salim

    Natafuta kazi

    2024 mpk 2025
  10. JMWAKA

    Mwalimu wa English & Kiswahili natafuta kazi

    Hello everyone I have a Bachelor degree of Art with Education specialized in English and Kiswahili from University of Dar es Salaam Nipo Dar es Salaam natafuta kazi ninao uwezo wa kufundisha na uzoefu madarasa ya sekondari kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita. Kwa mawasiliano 0710358330...
  11. O

    Natafuta kazi ndugu zangu

    Elimu: shahada ya uuguzi. Umri: 31 Jinsia: Me Location: Dar es salaam Nina uzoefu wa kutosha wa kuhudumu, naombeni kazi wakuu. Niko full licenced. Mawasiliano yangu. 0694029955 / 0718605934 Email;omaryabdallahram@gmail.com
  12. D

    Natafuta kazi, nimemaliza Degree ya Uhasibu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

    Habari, Natafuta kazi ya nimemaliza degree ya uhasibu chuo kikuu cha Dar es Salaam, kazi mahali au mkoa wowote. Nipo mbeya Mawasiliano: 0672876887
  13. D

    Natafuta kazi (ajira) Viwandani, dukani, hotelini hata za ujenzi

    Ndugu zangu mimi nipo Arusha, nina umri wa 33, natafuta kazi, Viwandani, dukani, hotelini hata za ujenzi. 0747073431
  14. F

    Natafuta kazi ya Customer Services

    Hello naitwa Agnes mkazi wa Dar-es-Salaam ubungo natafuta kazi ya customer services
  15. F

    NATAFUTA KAZI YA CUSTOMER SERVICES

    Hello naitwa Agnes mkazi wa Dar-es-Salaam ubungo natafuta kazi ya customer services
  16. M

    Natafuta kazi ya receptionist

    Hello naitwa jenipha natafuta kazi ya receptionist naombeni msaada wenu 0713776534
  17. Being Pablo

    Natafuta Kazi

    Habarini wana jamvi popote mlipo,I hope mko sawa, mimi ni kijana wa umri wa miaka 24 naombeni kwa yeyote anayeweza nisaidia nipate kazi au mwenye connection ya mchongo wowote halali jamani anisaidie maana napitia wakati mgumu sana kwa sasa mimi niko Dodoma elimu yangu niliishia chuo kikuu mwaka...
  18. B

    Natafuta kazi ya kusimamia shamba/ kiwanja/ nyumba

    Habari zenu kwa mara nyingine tena ndugu zangu wa JamiiForums wote mko salama salimini. Naitwa bina nina Miakai: 29 Elimu: 7 Jinsia: Mwanaume Natafuta kazi ya kusimamia shamba, kiwanja au Nyumba vyote kwa pamoja ikiwemo kuvifanyia usafi na utunzaji na kwa mkoani mbali na nilipo mimi nakuja...
  19. B

    Natafuta kazi Kanda ya Ziwa, nina ujuzi wa kazi za nje

    Habari za wakati huu ndugu zangu wapendwa katika Bwana!? Najua mko katika mahangaiko. Natafuta kazi zozote katika ukanda wangu huu wa Kanda ya ziwa, Nina ujuzi aina mbalimbali kama kazi za nje!? Kazi za nje kufyeka nyasi kulima nyasi, kukata miti na zozote zile za nje? Pia kama una connection...
  20. M

    Natafuta kazi nimesomea Human Resources chuo kikuu cha Dar-Es-Salaam

    Habari zenu watanzania wenzangu naitwa FAIDHAnimemaliza chuo kikuu cha Dar es salaam katika kozi ya afisa mwajiri Mawasiliano 0624-137476 E-mail:faidhak6@gmail.com
Back
Top Bottom