natafuta kazi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Elimu yangu ni Bachelor of Business Adminstration, natafuta kazi

    Salama wakuu, Mimi ni kijana wa Kitanzania mwenye mke na watoto wawili, nimekuja mbele yenu kuomba msaada wa kazi yoyote ile kujikimu mimi na familia yangu. Elimu yangu ni "Bachelor of Business Adminstration". Yoyote mwenye kazi au connection ya kazi yoyote halali na yenye kipato basi nitakua...
  2. Ezra cypher

    Nimesomea Early Childhood, natafuta kazi

    Habari wakuu, Naitwa Erick Bernard natafuta Kazi ya ualimu nimesomea early child hood. Sifa zangu Mpole na mwenye kuheshimu kila MTU Mchapakazi Ninafundishika Hofu ya Mungu ELIMU- degree ya early child hood. Natanguliza shukurani wakuu. Namba ya simu: +255 748 630 698 Pia naweza kufanya...
  3. Mediaty

    Natafuta nafasi ya kazi

    Habari za wakati huu wanajamii forum? Mi niko vyema kabisa! Kwa mara nyingine tena, nakuja kwenu, lengo ni kutafuta fursa ya kazi yoyote halali. Nina experience ya marketing and promo strategies kwa miezi kadhaa. Kuuza kwenye store za nguo, vyombo na vifaa vya electronic. Lakini pia ni...
  4. B

    Natafuta kazi Wakuu

    Habari zenu Wakuu. Jamani kama amekosekana wa kunishika mkono kupata KAZI) Kibarua, Tafadhali nisaidieni majina na location ya viwanda ambavyo wanapokea vibarua. Nawaomba sana, Nikipata kazi ya kulipwa kiasi chochote kulingana na uwajibikaji wangu watakavyoona. Naishi Dar es salaam, Ni fresh...
  5. Tanki

    Nina uzoefu wa miaka minne as a Store keeper, stock controller, section controller. Natafuta kazi

    Husika na kichwa Cha habari hapo juu. Nipo Dar es salaam ila nipo tayari kufanya kazi hata nje ya Dar es salaam. Umri = 31 Elimu = Form four Uraia = Mtanzania Uzoefu = Miaka minne Note: Nilijifunza hii taaluma Kwa vitendo kwenye kiwanda Cha kampuni fulani ya vinywaji. Bidii, kujituma...
  6. Rocco sifredi

    Muhitimu wa shahada ya sheria natafuta kazi yoyote

    Habari wakubwa mbele yenu ni mdogo wenu fresh graduate wa degree ya sheria Niko mkoa wa Mwanza lakini niko tayari kwenda sehemu yoyote muhitimu wa shahada ya sheria Naomba ajira au nafasi ya internship sehemu yoyote Nina ujuzi wa na ninaweza yafuatayo i/ legal research and writing skills, ii/...
  7. N

    Natafuta kazi za ndani

    Habari wanajamii, mimi ni kijana wa kike natafuta kaz za ndani mshahara angalau uwe laki, naweza kufanya kaz zote za ndani na kutunza watoto pia. Ni mchapakaz na mwaminifu napatikana dar es salaam...
  8. Q

    Natafuta kazi hali ni mbaya

    Natafuta kazi yeyote iliopo ndani ya jiji la Dar es salaam naombeni msaada wa kazi hali ni mbaya
  9. R

    Natafuta kazi

    Jina: Rich Mashauri Mahali: Dar es salaam Elimu: Muhitimu Bachelor of accounting with information technology (BAIT) chuo cha IFM Miaka: 23 Gender: Male Ujuzi: IT skills, accounting ethics na ujuzi katika maswala ya biashara na tax principals Majukumu kwa sasa: Najiendeleza na masomo ya CPA...
  10. M

    Natafuta kazi ya udereva

    Habari za mida wakubwa zangu! Naitwa Mzelela Ally, nina miaka 25 ni dereva na nimesomea VETA pamoja na N.I.T. course ya Public Service Vehicle na nina lesen Class A, B, D, C1, E pia nina uzoefu wa miaka mitano hadi sasa. Naomba kwa atakaekuwa na tenda za ajira ya udereva wa makampuni, binafsi...
  11. Wauzaji wa containers

    Natafuta kazi ya jikoni - kuuza chipsi, kuku, supu n.k

    Habari ya uzima. Mimi naitwa Erick Bernard napatikana DSM kwa sasa. Natafuta Kazi ya jikoni Kama kuuza supu ya kongoro, chipsi, kuku wa kukaanga, chakula na huduma zote za chakula. Nina uzoefu wa hii kazi, nimefanya Sana hii kazi maeneo ya DSM kibamba, Mbezi na Banana Gongo la Mboto. Nina...
  12. Bruno Jewel

    Natafuta nafasi ya kazi

    Mimi ni muhitimu wa shahada ya kwanza ya elimu, nimesomea ualimu wa masomo ya Kingereza na fasihi ( English Language and Literature) pia nina uwezo wa kufundisha lugha ya Kifaransa (FRENCH)kwa ngazi ya chini ( beginners). Natafuta nafasi ya kazi ili niweze kutumia maarifa na ujuzi wangu...
  13. D

    Natafuta kazi

    Ndugu zangu, mimi ni kijana me (24) elimu yangu 4m 4. Natafuta kazi yoyote ndani ya Dar napatikana kwa namba 0783090144.
  14. H

    Natafuta kazi yoyote ile iliyo halali

    Kwa majina naitwa Hamis Mahujaji Hamis mwenye umri wa miaka 24, mkazi wa mkoa wa Dar Es Salaam katika wilaya ya Kigamboni, piah ni muhitimu wa stashahada katika fani ya PROCUREMENT, LOGISTICS AND SUPPLY CHAIN MANAGEMENT, nilikuwa naomba kazi ya aina yoyote Ile inayoweza kunifaa ndugu mtaani ni...
  15. F

    Natafuta kazi, nimesomea Uandishi na Utangazaji wa habari

    Habari zenu watanzania wenzangu. Nimemaliza Chuo Kikuu katika kozi ya mawasiliano kwa umma hivyo natafuta kazi ya uandishi na utangazaji wa habari. Pia Hata kwa kazi ya kujishikiza huku nasubiri cheti, nipo dar es salaam wilaya ya ilala, ukonga. Kazi ya dukani hata mashuleni nafanya. Asanteni 🙏
  16. R

    Bado natafuta kazi

    Wakuu nipo hapa tena mbele yenu bado natafuta kazi sehemu yeyote ile viwandani na sehemu nyiginezo naamin kupitia jukwaa hili mtanisaidia ombi langu wenye connection sehemu mbali mbali naombeni mnisaidie kwa hili sichagui kazi japokuwa nimesoma.
  17. wamjin

    Natafuta kazi, nina uzoefu wa kuuza duka la nguo na simu

    Habari za muda huu wana jf, Nina shida na natafuta kazi, nina Certificate of Achievement, natafuta kazi ya counter (nina uzoefu), duka la simu au la nguo (accessories) kwa mwenye connection please anisaidie.
  18. sanzy

    Natafuta kazi

    Habari WanaJF mimi ni kijana wa kiume (25) shupavu mwadirifu na nimwaminifu .Sina ELIMU sanaa Nina certificate ya 4m4 tu, nipo hapa kwa ajili ya kuomba kazi ndugu zanguni, nikipata kazi yoyote ambayo inayoweza kusongesha maisha yangu nitashukuru Naombeni mnisaidie Asanteni
  19. X

    Kwa mashirika/kampuni au watu binafsi naomba mnipe nafasi niwatumikie, hamtojuta

    Salute kwa wanajamii wote! NB: Nipo tayari kufanya kazi mazingira ya mjini au Vijijini. KWA MASHIRIKA YA VIKUNDI VYA KIJASILIAMALI naweza Kuunda mashine,mbalimbali zinazotumia teknolojia ya kisasa na kuzisimamia kwa ajili ya miradi ya vikundi na wajasiliamali. Mfano: *Maashine...
  20. R

    Mwalimu wa physics & chemistry (bachelor) natafuta kazi ya kufundisha

    Habari wanajamvi, shule zinaenda kufunguliwa kesho hivyo kwa mwenye connection ya kazi ya kufundisha anisaidie, chuo nmehitimu UDSM
Back
Top Bottom