ndoa

  1. Bata batani

    Ewe kijana wa kiume wakwe zako wa leo ndio maadui zako wa kesho baada ya ndoa hivyo ishi nao kwa akiri

    Ewe kijana unapoingia katika maisha tambua ya kwamba wakwe zako ndio maadui zako kwani baada ya ndoa na Sterling movie hii ni mke wako sasa naomba unisikilize kwa haya machache 1.wakwe zako wengi huamini nyumbani kwako ndio nyumbani kwao na ndugu zako sio nyumbani hivyo mkeo atatumika kama...
  2. L

    Kama umeamua kuwa mchepuko basi zingatia yafuatayo

    .
  3. Abtali mwerevu

    Kalamu inavyoweza kumtuliza mume asiyetulia katika ndoa yake

    Wanawake wanapigana vita vingi. Kutafuta mume ni vita, ukimpata mume bado shida zinabaki palepale, mume hatulii, akipata visenti vyote anamaliza nje na wanawake wa kila aina. Pesa zinapotea, afya ya mume inazorota na hatari ya kupata maradhi inaongezeka. Basi mwanamke usiwe na wasiwasi, leo...
  4. Mwamuzi wa Tanzania

    Ndoa ni kambi jeshi na mume ndiye mkuu wa kikosi, mume simama katika nafasi yako

    Ukifika jeshi kabla ya kuanza mafunzo kuna ile introduction to Depo, kwenye introduction to Depo mutazungushwa maeneo yote ya kambi , mutapewa miiko na amri zote. Ili baadaye ukikosea ujue kabisa kuwa kosa hili adhabu yake ni ipi. Kuna makosa adhabu yake ni kulimwa guard (kulinda night za...
  5. Tlaatlaah

    Mahusiano au ndoa zenye majukumu ya kifamilia zimetulia sana

    Mahusiano au ndoa zenye majukumu mazito ya malezi, kwa mfano ya watoto wa3 au zaidi, huwa ziko na furaha, ziko imara na vizuri sana katika kushirikiana na kusaidiana kwa dhati na kwa upendo mkubwa, katika kutimiza msingi wa ndoto za watoto wao, mfano katika kupata haki ya mahitaji yao muhimu...
  6. Pdidy

    Usije kuoa/kuolewa kwasababu ya mambo haya, sauti inatosha huko nyuma?

    Don't Marry because of SEX Don't Marry because u are getting OLD Don't Marry because u are of AGE Don't Marry because u are LONELY Don't Marry because u need someone to support you FINANCIALLY Don't Marry because u got PREGNANT for him Don't Marry because u don't want to LOSE the PERSON, Don't...
  7. Dr Jeremiahs

    Unazingatia Vitu gani kabla ya kuingia kwenye Ndoa?

    Kabla ya kuingia kwenye ndoa kuna zile FACTORS za muhimu kila mtu huwa anazingatia. Kutokana na utofauti wa kimtazamo na fikra kila mtu anakuwa na Criteria zake. Kutokana na uelewa, experience na mtamzamo wako unahisi ni kipi kati ya hivyo ni vya kuzingatia zaidi? 1. ECONOMY STABILITY(UCHUMI)...
  8. Pdidy

    Wikiendi Njema: Maombi yangu kwa wanawake wote wa JF wawe wenye kutenda haki na kuwa kwenye unyoofu

    BINTI YANGU NJOO NIKUAMBIE HAPA. Mithali 20:7 [7]Mwenye haki aendaye katika unyofu wake, watoto wake wabarikiwa baada yake. Haki katika ndoa yako ambayo Mungu amekupa hakikisha unaishi katika haki, wamama wengi siku hizi hasa hawa mabinti wanajivunia watoto wao wakiwa wazuri wa sura, wakiwa na...
  9. Pdidy

    Ndoa zimetengeneza vichaa wengi sana mtaani

    Ukweli ndioo huo kila siku mtaaan watu wanaongeaa peke yao kama wako na famlia unawaza anaongea na nanii..loh
  10. ndege JOHN

    Ushauri: Kumpa hela mama mkwe wako wa zamani ni sawa au niache kabisa kujipendekeza?

    Wakuu nilikuwa na msichana fulani niliyeishi naye miaka takribani mitatu ila bahati mbaya hatukupata baraka za kuwa na watoto na kibaya zaidi tukaja kuachana kwa mambo fulani fulani ambayo sioni haja ya kuanza kuwachosha kuyaelezea. Ila sasa mama yake alikuwa ni mtu mwema kwangu kiasi kwamba...
  11. U

    SoC04 Kuondoa Ukatili wa Kijinsia na Ndoa za Utotoni

    UTANGULIZI: Tanzania inatakiwa kuwa na malengo ya kuwa nchi yenye usawa wa kijinsia na kuheshimu haki za binadamu kwa wote. Moja ya changamoto kubwa ni ukatili wa kijinsia na ndoa za utotoni. Kuondoa changamoto hizi ni muhimu kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Katika miaka ijayo, Tanzania...
  12. Maleven

    Usije kuoa kwa kuangalia uzuri wa mwanamke, utajuta sana

    Unaweza kulala kitandani, ukamuona mtoto anang’aa, shape imejilaza ila hata kumgusa unashindwa, au hutamani kwa maudhi anayokupa. Yani utaambulia sifa za watu tu kua mke wako mzuri ila wewe hufaidiki wala huna amani. Yani umelala na mke wako kitanda kimoja, unamtani ila humpati. Kama hujaoa...
  13. Paspii0

    Maisha ya Ndoa Takatifu: Changamoto na suluhisho katika jamii ya kisasa

    UTANGULIZI. Maisha ya ndoa takatifu yanamaanisha maisha ya ndoa ambayo yanafuata na kuheshimu misingi ya dini, imani, na maadili ya kiroho. Mwanza tuangazie mambo kadhaa muhimu: 1.Uaminifu. Wanandoa wanapaswa kuwa waaminifu kwa kila mmoja katika kila hali. Uaminifu hujenga imani na heshima kati...
  14. VINICIOUS JR

    HIVI WANAUME WOTE WALIOOA WANAKUTANA NA HAYA MASWAHIBU AU NI BAADHI YA WANAUME HUKO KWENYE NDOA ZENU?

    Bila shaka mko poa wana jukwaa na wale mabingwa wanaendaelea kusherekea ubingwa wao.HALAA MADRID. Moja kwa moya kwenye mada, wakuu nina rafiki angu kaoa mwana mke kahitimu chuo huko daslam miaka mitatu iliopita nadhani ni diploma ya uwalimu ila bado hajeajiriwa sasa huyu mwanamke nifull jeuri...
  15. Shuku_

    Mwanandoa au wapenzi tupeni uzoefu ulinusuru vipi ndoa au muhusiano yako

    𝗛𝗮𝗯𝗮𝗿𝗶 𝘇𝗲𝗻𝘂 𝘄𝗮𝗸𝘂𝘂... Poleni na majukumu. Bila kupoteza muda 1kwa1 kwenye mada kama kichwa kinavyosema, Ni changamoto gani uliipitia katika ndoa/muhusiano yako ambayo ilitaka kuvunja ndoa/mahusiano yako kisha ukainusuru kwa kuitatua na mambo yakawa saaafi kama mwanzo.
  16. Braza Kede

    Tendo la ndoa chanzo cha kuua ndoa nyingi

    Wanandoa wengi wanaonekana kuamka nyumba moja na wenza wao tena wengine wakionekana kuwa na nyuso za furaha lakini kiukweli yanayoendelea humo ndani sio ya kufurahisha hata kidogo. Ukweli wenyewe wanandoa wengi hawapati tendo kama walivyokuwa wanafikiria kabla ya kuingia kwenye ndoa. Lakini ni...
  17. M

    Mwanamke ukiishi naye kinyumba (bila ndoa) hata kwa miaka kadhaa, kisheria hastahili kupata chochote endapo mtaachana

    Huu ni ushuhuda wa kweli. Kuna mwanaume amepata ushindi mahakamani dhidi ya gumegume, ambao inabidi tushirikishane hapa ili wanaume msiogope kuwafukuza wajasiriaNDOA a.k.a "makupe"au magumegume. Kuna wanasheria uchwara huku kitaa, wanatutisha kuwa ukikaa na mwanamke kwa zaidi ya miezi 6 basi...
  18. Abdul Said Naumanga

    Mafufu: sheria ya ndoa ibadilishwe katika vipengele vya ugawanaji wa mali baada ya talaka

    Hoja ya kubadilisha sheria ya ndoa, hasa kwenye vipengele vya ugawanyaji wa mali baada ya talaka, ni mjadala unaoweza kuibua hisia tofauti na mitazamo mingi. Katika jamii yetu, ndoa ni taasisi muhimu inayoheshimiwa na sheria zetu. Hata hivyo, pale ndoa inapovunjika, suala la ugawanyaji wa mali...
  19. Mjanja M1

    Hekaheka za Ndoa

  20. Prakatatumba abaabaabaa

    Mkioa/Kuolewa mtulie kwenye ndoa

    Copy and paste kutoka kwenye page ya HIV living postive instagram. "Naitwa XXX naishi iringa naomba msaada napitia kipindi kigumu sana sijui nianzie wapi nina stress nyingi sana nimeolewa na nimeishi na mtu wangu kwa miaka miwili sasa, tulipima pamoja na tulikua negative 2022, Mwaka jana...
Back
Top Bottom