Nimelala during the daytime, baada ya breakfast leo, nimelala, nimeota ndoto.
Katika hiyo ndoto mimi ni monk,nipo darasani na monks wengine,tunamsikiliza mwalimu wa monks.
Halafu mini nimeondoka. Yule mkufunzi akasema,"Huyu anapenda sana glucose. "
Pale kuna discipline kali,haiwezekani...