SABABU ZA KUKUA KWA LUGHA YA KISWAHILI KIMATAIFA NA KUDUMAA NCHINI
Kiswahili ni Lugha inayozidi kukua barani Afrika na duniani kote kadri siku zinavyozidi kusogea hili likidhihirishwa na maboresho na mabadiliko ya mitaala ya elimu katika mataifa mbalimbali barani Afrika ili kutoa mwanya wa...
Wadau wa elimu nchini.
Ipo haja mitihani hii isimamiwe na NECTA ILI kuiongezea TIJA na mkazo mashuleni KULIKO ulivyo Sasa.
Napendekeza yafuatayo kufanyika.
1. RATIBA
Ratiba ya ufanyikaji wake iwe sawa kote nchini ILI kuepusha ratiba kutofautiana toka mkoa mmoja hadi Mwingine kama Sasa. Hii...
Jamani naombeni msaada wenu mimi nilipotelewa na cheti cha form four mwaka 2001, tangia hapo nimekuwa nikitumia results sleep na lose report Kila mahali panapotakiwa vyeti.
Ila mwezi huu kulifanyika uhakiki wamevikataa hivyo vielelezo na kunitaka necta au notangaze gazetini.
Nilienda necta...
NECTA ACSEE RESULTS: SHULE ZILIZOONGOZA KWA KILA MKOA
1.MWANZA- SUMVE SECONDARY SCHOOL
2.TABORA-TABORA BOYS
3.SIMIYU-MKULA SECONDARY
4.KILIMANJARO-USANGI DAY
5.Morogoro-MZUMBE SECONDARY
6.KAGERA- KEMEBOS
7.ARUSHA -KISIMIRI
8.Manyara-Dareda secondary
9.Tanga-mkindi secondary...
Orodha hiiya matokeo ya leo kuna wavulana watatu pekee
𝐖𝐚𝐧𝐚𝐟𝐮𝐧𝐳𝐢 𝟏𝟎 𝐛𝐨𝐫𝐚 𝐤𝐢𝐭𝐚𝐢𝐟𝐚 𝟐𝟎𝟐𝟐 𝐤𝐢𝐝𝐚𝐭𝐨 𝐜𝐡𝐚 𝐬𝐢𝐭𝐚
1. Catherine Alphonse Mwakasege (PCB) – St. Mary’s Mazinde Juu Tanga.
2. Lucy Magashi (PCB) Shule ya St. Mary’s Mazinde Juu Tanga.
3. Mhewa Charles Kamando (PCB) – Tabora Boys
4. Minaeli...
Watahiniwa 93,136 (98.97%) wamefaulu Mitihani yao, ikielezwa Wasichana ni 40,907 na Wavulana ni 52,229. Aidha, Baraza la Mitihani (NECTA) limesema jumla ya Watahiniwa 83,877 (99.24%) wamefaulu katika Daraja 1 hadi 3
Ufaulu katika Masomo ya Historia, Kiingereza, Kifaransa, Kiarabu, Physics...
HABARI,
Kilichomtoa Msonde NECTA ni Kufaulisha sana, bila mpangilio, Rais agusia leo kwa kumwambia kimafumbo kamwacha palepale elimu akahakikishe vijana aliowafaulisha anawajengea uwezo kama sio kuwaajiri kabisa.
Na imeonekana na hasara kwa Serikali kufaulisha kisiasa, tutegemee matokeo ya...
Tumeona ,Msonde kawa promoted to TAMISEMI, (kwa mtazamo wangu hii ni demotion)
Swali la kujiuliza kwanini aondoke MITIHANI YA A LEVEL NECTA ikiwa inaendelea?
Je, kwa mtazamo wako unadhani Nani ni sahihi Kumrithi, Msonde NECTA?
Mimi, nampendekeza Mr.Mbwaga,Innocent (Ana deserve),atafanya...
Watahiniwa 95,955 wa kidato cha sita wanatarajiwa kuanza mitihani ya Taifa leo Mei 9, 2022 na wakitarajiwa kumaliza Mei 27, 2022 ambapo washiriki wanatoka katika shule za sekondari 841 na vituo vya kujitegemea 250.
Kuelekea kuanza kwa mitihani hiyo, Katibu Mtendaji wa Baraza za Mitihani la...
Habari wanajukwaa,
Mimi nimekuwa mhanga kwelikweli wa elimu yetu hii ya tanzania hasa huku chini.
Juzi TAMISEMI wametoa mwongozo mpya ambao unatakiwa kutumia kufundishia kuanzia darasa la kwanza mpakakidato cha 6, ambapo kila mwalimu anatakiwa kuandaa kalenda la kufundisha na kwamba wanatak...
Moja kwa moja mada.
Hivi karibuni tumeshuhudia unyanyasaji mkubwa and unprofessional kabisa kwa walimu kupitia NECTA.
Kwanza kabisa NECTA na walimu ni idara mbili tofauti kabisa, NECTA husimamia natioanl assessment na walimu ni watekelezaji wa teaching and learning process,kwa Tanzania...
Habari,
Naitaji kufaham jinsi ya kupata access ya API ya NECTA ili kuweza kuverify index number ya mwanafunzi au utaratibu wowote au mwenye nazo anaweza kushare.
Asante!
Wakuu Sina la kusema Sana nitaatach maswal ya MALISA ambayo amewauliza NECTA
Kama haitofunguka
Anauliza shule ya SEKONDARI ANWARITE ina watoto 76 wote wamepata daraja la 1 na imekuwa ya 11 kitaifa
Lakn sule ya SEKONDARI FEZA WAVULANA ina watoto 62 lakn 59 wamepata daraja la 1 na 2 daraja la 2...
Mimi Taaluma yangu ni mhandisi ambaye nilipenda sana somo la fizikia enzi nikiwa shuleni.
Nimejaribu kurejea mambo wanayofundishwa watoto wetu nikashangaa kuna upotoshaji mkubwa.
Mfano:
NECTA FORM 2 ya mwaka 2019 kwenye Section A, swali la 1, (i) ameuliza ifuatavyo
(i). Why Physics...
1. Kuna ukweli kuwa mitihani zamani ilitungwa na walimu wakongwe, na sasa NECTA wametunga wenyewe?
2. Usahihishaji unafanyika kwa muda mfupi sana , wameongeza wasahihishaji au wasahihishaji wameongeza speed?
3. Kuna ukweli kuwa wasahihishaji wakimaliza kazi, wataalamu na standardazation...
Salaam Wakuu!
Ni mda kidogo sija post katika Jukwaa hili.
Nimeombwa na mtu hapa nimuangalizie matokeo yake ya Form Four.
Nimeshangazwa kuona karne hii ya ishirini na moja, katika serikali ambayo ina promote na ku adopt ICT katika business operations zake, kuona kuna services zinakwama kuwa...
Salaam!
Baraza la Mitihani ya Kitaifa linajiandaa kutangaza matokeo ya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Nne ulifanyika mwishoni mwa mwaka 2021 (CSEE).
Pamoja na Mtihani wa Upimaji kidato cha Pili (FTNA).
Wahitimu wote mkae mkao wa kuvuna kile mlichopanda.
Soma Pia Matokeo mengine kuanzia 2009...
Nawasalimu kwa jina la JMT.
Kuna msemo una sema " ukitaka kuleta maendeleo ktk taifa lolote, badili au weka mfumo mzuri wa Elimu". Hivyo Basi naomba kuwasilisha kwa wadau swali langu kuwa;
"Elimu yetu ambayo mwanafunzi akimaliza form 4 anaenda form 5&6, ina tija gani kwa taifa letu?"
Maelezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.