Habari,
Naomba nipewe 1,2,3 kuhusu biashara ya nguo za dukani (kijijini kwetu tunaita special).
Nahitaji kuchukulia Dar - Kyela border. Naomba kujua profit, cost, TRA.
Binafsi nimekomaa mpaka mwisho nimepata 1M.
NB: Fremu ipo free, ni yangu.
Mchango wa mdau