nguruwe

Nguruwe
Nguruwe ni wanyama wa familia Suidae. Nguruwe-kaya hufugwa kote duniani. Nguruwe ni jamii ya wanyama wasiocheua, na wenye kwato zilizogawanyika. Wanyama wengine walio kwenye jamii hii ni pamoja na Nguruwe pori na Ngiri.
  1. Tajiri Tanzanite

    Arusha: Pale kwa Mromboo nimelishwa nyama ya nguruwe

    Hapo vip!! Leo siku ya mwaka mpya, nikaona nimalizie siku pale kwa murombo kwa lengo la kupata nyama ya kuchomaa, nilipo ingia pale nilikuta pako busy sana ila nilipo waangalia watu wengi waliopo pale ni watu wa class ya kawaida sana ila wengi wanakunywa pombe sana. Anyway nikaona sio hiyana...
  2. MK254

    Video: Mamluki wa Urusi, Wagner group wauawa kama nguruwe

    Hivi kuna nini Bakhmut hadi Warusi wameamua kujitoa mhanga almradi wasiipoteze, wanauawa kila siku lakini wamekomaa kishenzi hadi wanatia huruma, jameni mbona Putin atakua na wakati mgumu kueleza Warusi nini ilikua maana ya uchizi wote huu...
  3. L

    Nauza nguruwe dume niko Dodoma

    Habari wanajamvi Kama kichwa cha habari kinavyosomeka Mimi ni mfugaji wa nguruwe napatikana maeneo ya Ntyuka Dodoma. Nauza dume kubwa kabisa kwa mahitaji ya kufuga au Kuchinja Umri: mwaka mmoja Aina: largewhite *landrace Mawasiliano: 0672493720/ 0717201982
  4. Zanzibar-ASP

    Kati ya samadi ya ng'ombe, mbuzi, kuku, nguruwe, Sungura nk. ipi ni bora zaidi shambani?

    Wadau mbalimbali wa kilimo na ufugaji, ninaomba muongozo wa namna bora ya kutumia Samadi ya asili shambani. Kwa kuanzia, nilitaka kufahamu, Samadi ipi ya asili inafaa shambani kwa kilimo cha mboga mboga, matunda au mahindi? Je, kati ya kinyesi cha ng'ombe, mbuzi, Kuku, Nguruwe, Sungura ipi ni...
  5. A

    SoC02 Jinsi walaji wa kitimoto walivyo hatarini kupata magonjwa

    Walaji wa nyama ya nguruwe nchini wako hatarini kupata magonjwa mbalimbali kikiwamo kifafa kutokana na maandalizi duni ya kitoweo hicho maeneo ya baa na nyama hiyo kutokaguliwa na wataalamu. Pia, kukosekana kwa machinjio za nguruwe za kutosha ni changamoto nyingine inayosababisha watu kuchinja...
  6. M

    Sensa ya Watu na Makazi: Tuliulizwa kama unafuga ng'ombe, mbuzi, kuku. Lakini kwanini hatukuulizwa kama unafuga Nguruwe na Mbwa?

    Ina maana kama Taifa hatuhitaji kujua hali ya ufugaji wa huu mfugo utupatiao kitimoto kilicho mkipenzi cha wengi? Je, hakuna mpango wa kuendeleza ufugaji wa nguruwe? Je hakuna haja ya kujua tuna mbwa wengi kiasi gani? Kama ni hivyo tutapangaje mpango wa kuwachanja mbwa dhidi ya kichaa cha mbwa...
  7. Lycaon pictus

    Kwanini nguruwe huwa wachafu sana?

    Kama unawajua vyema, nguruwe ni moja ya wanyama wasafi na wenye akili sana duniani. Sasa kwanini wanasifa ya kuwa wanyama wachafu sana? Kuna mawili. 1. Nguruwe huwa hawana tezi za kutolea jasho. Wala hawawezi kupunguza joto kwa kutoa ulimi kama mbwa. Hilo linafanya wahitaji mazingira yenye...
  8. Mokaze

    Kumbe viungo (organs) vya nguruwe vinashabihiana na viungo vya binadamu !! 😱.

    Wakuu hii threads haihusiani na masuala ya imani za kidini, ni katika kujiuliza tu; ni kwanini Wanyama hususani jamii ya nyani ambao ndio tunashabihiana nao sana, hawatumiwi sana katika tafiti za tiba kwa ajili ya kupata viungo vya kupandikizwa watu wenye mahitaji ya viungo kama; figo, moyo...
  9. ward41

    Kibiblia, nguruwe ni halali kuliwa

    Huu hapa ufafanuzi Dunia hii imepita Kwenye vipindi tofautitofauti na ni Mungu ndiyo anaongoza hivi vipindi. Kipindi Cha kwanza: Mungu anatoa Sheria ya wanadamu kula matunda tu. Hili tunaliona Kwa Adam na Hawa Kipindi Cha pili. Mungu anatoa maelezo ya wanadamu kula vyakula vyote isipokuwa...
  10. Gama

    Sasa nguruwe wanaenda kuiangamiza dunia

    Kutokana na matumizi yasiyofaa ya dawa jamii ya ANTIBIOTICS kwa nguruwe, sasa nguruwe wamekuna GENES ambazo zinamfaya nguruwe asiweze kutibiwa kwa dawa za jamii hiii pale anapopata magngwa yanayohitaji kutibiwa kwa dawa za jamii hii. hatari hii huedna itapasishswa kwa binadamu hasa wale...
  11. A

    Je hiki kinaashilia nini kwa nguruwe?

    Habar natumaini mu wazima Nguruwe wangu anatoa ute mweupe sehemu yake ya Uke Kiumri ana miezi 8. Naomba kujua hiki kinaashiria nini? NB:hajawahi kupandwa wala kubeba mimba
  12. MSAGA SUMU

    Sheikh apigwa miaka 5 baada ya kuua nguruwe

    Bila shaka sheikh alidhani yuko Riyadh Saudi Arabia. Tiririka nayo. Mtu mmoja nchini .Rwanda amehukumiwa kifungo cha miaka 5 baada ya kuua nguruwe Mashahidi watatu wamedai kumuona imam sadate Musengiana akimpiga nguruwe na kumuua hapohapo. Wakili amedai mteja wake alimuua kwa bahati mbaya...
  13. gimmy's

    Nguruwe wangu anatatizo la kukojoa mfululizo mara tu baada ya kunywa maji hayakai tumboni anayakojoa yote papo hapo

    Wanajukwaa wenzangu kama yupo mwenye majibu ya tatizo naomba maelekezo, Ukweli tanzania tunasafari ndefu kwani ukosefu wa maabara za mifugo umewafanya ma afisa mifugo kuwa wapiga ramli chonganishi kwenye matibabu ya mifugo yetu. Natanguliza shukrani!
  14. Nguku Wakabange

    Nguruwe wangu ametokwa na mapele kuzunguka titi

    Habari za hapa wanajamii forum!! Naombeni msaada wenu kwa wanaojua tatizo la nguruwe aliekaribia kuzaa (amebakiza wiki 1) kutokwa na mapele kuzungukia titi. mapele haya yalikuwa na hali tofauti yalipo anza ukigusa mengine magumu na mengine malaini lakini hayatoi usaha na cha ajabu sahivi...
  15. M

    Kati ya Nguruwe na ngombe kipi kinalipa?

    Kwa waliowahi kufuga nguruwe na ngombe kipi kinalipa? Kwa mazingira niliyokuwepo ngombe ni biashara sana, yaani maziwa sipati hela ya maendeleo, lita tsh 700 kwa maeneo niliyokuwepo na kupata breed yenye maziwa mengi imekuwa mtihani. Nakubali ngombe analipa sababu napata samadi ambayo naitumia...
  16. T

    Binadamu wa kwanza kupandikizwa moyo wa Nguruwe, afariki Dunia miezi 2 toka apandikiziwe

    Mwezi January iliyokea mafanikio makubwa ya kimatibabu baada ya madaktari wa Marekani kufanikiwa kupandikiza moyo wa nguruwe ulioboreshwa (Genetically modified heart) kwa binadamu na kuleta matumaini makubwa kwa mahitaji ya kiungo hicho muhimu. Miezi 2 baadae, yaani leo, binadamu wa kwanza...
  17. M

    Ufugaji Nguruwe Kibiashara sio rahisi ila unawezekana🙂

    Habarini za mwaka mpya wana Jf! Baada ya muda mrefu kuto post makala humu (nimekuwa busy kwenye media zingine kama instagram, utube,whatsap,telegram..),acha leo nichangie kidogo maana nimeona post nyingi kuhusu ufugaji nguruwe zenye mapungufu. Wakongwe wa Jf watanikumbuka maana nime post sana...
  18. gimmy's

    Nguruwe wangu amezaa lakini maziwa hayatoki na watoto wanahangaika njaa. Nifanye nini?

    Tafadhali naomba nisaidiwe kwa yoyote mwenye kufahamu, Kuhusu chakula sio tatizo ninakitabu kinaniongoza namna nzuri ya uchanganyaji chakula cha nguruwe. Natunguliza shukurani, Thnx.
  19. J

    Madaktari bingwa wafanikiwa kumpandikiza binadamu moyo wa nguruwe

    Sijajua kama hapa Tanzania itakubalika labda Moshi. -- Moyo wa nguruwe wapandikizwa kwa binadamu nchini Marekani Katika picha hii iliyotolewa na Chuo cha kikuu cha Tiba cha Maryland, timu ya upasuaji inaonyesha moyo wa nguruwe tayari kupandikizwa kwenye mgonjwa Kwa mara ya kwanza duniani...
  20. N

    Umewahi kuona machinjio ya Nguruwe?

    Nyama ya nguruwe, ambayo inajulikana zaidi kama “kiti motó” inaliwa na kupendwa na watu wengi, lakini wanaweza kuwa hawajawahi kujiuliza machinjio ya wanyama hao yako wapi. Si machinjio tu, nguruwe hawaonekani kwenye minada ya kawaida ya mifugo. Huuzwa wapi? Kwa watu wanaoishi nje ya miji...
Back
Top Bottom