Mratibu wa zoezi la sensa mkoani Njombe
Amewafuta kazi makarani wawili, baada ya mmoja kuibiwa Kishkwambi, akiwa na mwenzake kwenye ulevi ulipitiliza
Pamoja na kuwafuta kazi hao, Mratibu amesema zoezi litakwenda vema japo hao wawili wameondolewa
Mambo ya ngoswe yameanza mapema kujitokeza...