nmb

NMB Bank Nepal is a commercial bank in Nepal with headquarters in Kathmandu. The bank is licensed by central bank of Nepal, the Nepal Rastra Bank and has 163 branches across the nation providing retail and commercial banking services.
Recently, it acquired Om Development Bank.
The bank's shares are publicly traded in the Nepal Stock Exchange. The Bank has a joint venture agreement with Netherlands Development Finance Company (FMO) a Dutch development bank which holds 17% of the bank's shares and is the largest shareholder of the Bank.

View More On Wikipedia.org
  1. Nsanzagee

    NMB ni bank inayopata faida sana kwa sasa, ila huduma zake kwa wateja ni za hovyo sana!

    Unaingia bank ina madirisha matano kwa mfano, ila linalotoa huduma ni moja na wateja ni wengi, basi mnasimamaaa mpaka miguu inauma Unatumia masaa sita kuhudumiwa, hii hapana, tunafanya uchumi wa wengine kuharibika kupitia huduma hizi mbovu NMB rekebisheni hii kitu bhana, mnaumiza watu
  2. Financial Intelligence

    Hatimaye benki ya biashara ya NMB Tanzania yasaini hati ya mashirikiano na ZASCO

    === Hatimaye NMB wamesaini makubaliano ya miaka mitatu (3) ya ushirikiano na Kampuni ya Zao la Mwani Zanzibar (ZASCO) ikiwa ni hatua ya kuendeleza sekta ya kilimo cha mwani na kuleta maendeleo yenye tija kwa wakulima katika pwani ya Bahari ya Hindi (Tanzania Bara na Visiwani). Katika maeneo...
  3. W

    Annual Tanzania Service Excellence Awards 2024 waitaja NMB kama Benki bora zaidi Tanzania

    Benki ya NMB imeshinda tuzo tatu kutoka Taasisi ya Chartered Institute of Customer Management zikiitambua Benki kama kinara katika utoaji huduma bora na wezeshi nchini. NMB imepata heshima hiyo kupitia tuzo za ‘Mwaka za Umahiri wa Huduma kwa Wateja 2024 (Annual Tanzania Service Excellence...
  4. Replica

    Pamoja na faida kubwa mabenki ya Kenya, mikopo chechefu yatishia uimara wake. Benki zetu kubwa mbili hazifanani nao?

    Taasisi ya Moody's inayohusika kutoa muono kwenye soko la mikopo na madeni imebadilisha maoni yake kuhusu hali ya mabenki ya Kenya kutoka imara mpaka hasi ikitoa tahadhari juu ya kiwango kikubwa cha mikopo chechefu na isiyofanya vizuri pamoja na faida kubwa na mtaji imara ambacho mabenki ya...
  5. Jamii Opportunities

    Network Specialist at NMB Bank January, 2024

    Position: Network Specialist Duty Station: Head Office, HQ Main Responsibilities: Oversee and maintain peak performance of Unified Communication hardware and equipment (including routers, switches, servers, TV screens, collaboration endpoints, etc.) for users at the NMB Head Office, contact...
  6. M

    NMB App mna shida gani Leo?

    Hivi hii benki kuwa hivi hapa nchini yenye kutengeneza mabilioni ya faida kila mwaka ni ya kumiliki app yenye kusumbua wateja kwa siku nzima wakisaka huduma? Hivi kitengo chao Cha IT kinawawajibika ipasavyo? Imagine, nimelipia huduma kwa nmb app na pesa wamekata ila hazijafika nilikozielekeza...
  7. A

    Naomba kujua kama kuna mtu aliyeomba nafasi za DSS NMB akatumiwa email kwa ajili ya Aptitude Test

    Habari wana JF, Naomba kujua kama kuna mtu alieomba nafasi za DSS Nmb akatumiwa email kwa ajili ya Aptitude test. Na pia kama kuna mtu alishawai kufanya aptitude test za nmb atusaidie muongozo.
  8. T

    NMB Direct Sales Staff Aptitude Test

    Wakuu, habarini za muda huu na poleni kwa mihangaiko na shughuli mbalimbali. Nina maswali kadhaa kuhusu procedure za ajira NMB Bank upande wa Direct Sales Staff. 1. Maswali common yanayoulizwa kwenye aptitude test ni yapi? 2. Je ukifanikiwa kupita kwenye aptitude test inachukua muda gani...
  9. M

    NMB badilikeni

    Imekuwa kawaida watu kukaa kwenye foleni pasipo sababu za msingi, katika hili mnatukwaza wateja wenu. Bank ina madirisha yakutolea huduma hata 4 lakini unakuta hakuna dirisha hata moja linalofanya kazi na wakijitahidi sana ni dirisha moja ndio utakuta linafanya kazi. Badilikeni katika hili, hii...
  10. T

    Mnaotoa fedha kupitia NMB wakala kuweni makini

    Habar za muda huu! Niende kwenye mada husika. Leo nilikuwa na jamaa yangu kuna sehemu tunaenda tupo na pikipiki, so jamaa akaona tupitie kwenye ATM atoe fedha kwa ajili ya mafuta. Tunaingia kwenye ATM, hapo kwenye ATM kuna sheli ya mafuta lakini mabasi yanayoenda mikoani wanapita hapo kwa...
  11. ras jeff kapita

    NMB mna shida gani!? Watu tunataka kutoa pesa hampatikani online sio kwa mawakala sio kwenye ATM

    Wasalaam Leo ni siku muhimu watu wanataka kutoa fedha waka-enjoy na familia zao. Jambo la kusikitisha hampatikani online kwenye kutoa hela kwa mawakala na ATM Binafsi nilikuwa nawaamini sana sasa nimeanza kuwa na mashaka. Mnapotea hewani siku ya muhimu kama hii What a pity?
  12. Determinantor

    Foleni za Huduma NMB ni ujinga mtupu

    Yaani kila Bank ya NMB Tanzania unayoingia kuna foleni kubwa na Wahudumu wame-relax Tu hapa. Leo Niko hapa Mlandizi NMB, nimesimama queue zaidi ya dakika 56 sijapata Huduma bado. Kuna Binti WA kichina kacharuka hapa ndio kapewa Huduma. Juzi nilikua Tanga, foleni kubwa mhudumu mmoja, Jana...
  13. Faana

    NMB Morogoro: Mmehamisha Location Kimyakimya?

  14. Jamii Opportunities

    Senior Product Manager Asset (Re-advertised) at NMB Bank December, 2023

    Position: Senior Product Manager Asset (Re-advertised) (1 Position(s)) Job Purpose: - Responsible for asset product development, management and performance for Retail Banking - Monitoring and ensuring asset product profitability and its end-to-end life cycle Main Responsibilities: Develop...
  15. Jamii Opportunities

    Legal Counsel Civil Litigation (2 Posts) at NMB Bank December, 2023

    Position: Legal Counsel Civil Litigation (2 Posts) Location: Head Office Job Purpose: Oversee the artistic design of the bank's digital assets for multimedia and graphics projects while tracking the success of the designs, and...
  16. 4

    NMB acheni wizi kwa wateja wenu

    Ndugu zangu kila mmoja kwa imani yake popote mlipo, amani ya Bwana ikawe juu yenu. Rejea kichwa tajwa hopo juu. Why NMB Bank mnatenda hivi? Ni kweli mmekuja na app yenu on line, nawapongeza kwa hili, ila kumbukeni mteja na app yenu atachukua pesa kwenda na pesa yake na atatoa kwa wakala...
  17. T

    Mashine za Uwakala za NMB ni ghali sana halafu ni shida mno kuzipata

    Nawatafuta NMB, nilishawahi kuona uzi wao humu lakini sijui ulipo sasa. Mashine za uwakala za NMB (POS) moja inauzwa TZS 1,106,000/= (Milioni moja laki moja na elfu sita). Ajabu ni kwamba, pamoja na bei kubwa kiasi hicho kuipata mashine ya NMB ni kazi ngumu mno. Nimeomba kwao kupatiwa hii...
  18. YoyoTheDeveloper

    Kutoa Pesa Payoneer Kuja Bank nitumie NMB au CRDB

    Habari, nimejiunga na mtandao wa UPWORK hivi karibu. Swali langu kwa wazoefu, Je nitumie bank gani ya uhakika kati ya NMB na CRDB kwa ajili ya kutoa pesa payoneer?
  19. Jamii Opportunities

    Various Posts at NMB Bank November, 2023

    Position: Remittance Product Manager (1 Position) Job Location: Head Office Job Purpose: This role ensures the client's expectations are met, by managing remittance business and ensuring optimal delivery of related solutions. Key functions include participating in client engagements, sales...
  20. senkoP

    Ubabaishaji wa Benki ya NBC kwenye kutoa mikopo

    Bank ya NBC ni wababaishaji sana kuhusu utoaji wa mikopo. Sijui tatizo ni nini? Mtu anaomba mkopo taratibu zote zimesha kamilika mpaka makato tayari lakini hawaingizi mkopo. Kuna jamaa ameomba mkopo NBC yapata mwezi sasa umekwisha mkopo hawaingizi na anakatwa. Amefatilia kwa Afisa Mikopo...
Back
Top Bottom