NMB Bank Nepal is a commercial bank in Nepal with headquarters in Kathmandu. The bank is licensed by central bank of Nepal, the Nepal Rastra Bank and has 163 branches across the nation providing retail and commercial banking services.
Recently, it acquired Om Development Bank.
The bank's shares are publicly traded in the Nepal Stock Exchange. The Bank has a joint venture agreement with Netherlands Development Finance Company (FMO) a Dutch development bank which holds 17% of the bank's shares and is the largest shareholder of the Bank.
Mfanyabiashara maarufu katika mikoa ya Arusha, Dar na Dodoma Joseph Kalugendo mkazi wa Moshoni jijini Arusha, ameibiwa fedha zake zaidi ya milioni 100 katika benki ya NMB tawi la Clock Tower Arusha na mtumishi wa benki hiyo.
Taarifa ambazo zimethibitishwa na Mfanyabiashara huyo amedai kuwa siku...
Wakati maelfu ya Watanzania kutoka kila pembe ya nchi wakiacha shughuli zao na kuelekea Lupaso kushuhudia ‘Wenye Nchi,’ Klabu ya Simba ikiukaribisha msimu mpya kwa tamasha lililofana, kikosi cha timu ya wafanyakazi wa Benki ya CRDB jana kiling’ara kwenye tamasha la Simba Day baada ya...
Habari wana jukwa!!!
Leo nnimepakua app ya NMB Mkononi kwenye simu yangu ya Android, Lakini kila nikijaribu kujisajili naletewa maneno haya kwenye screen..
Je, Shida itakua nini hapo?
Nimeamua kuyaandika haya maneno kwa sababu nimeshindwa kupiga screen shot, app yao imeblock kupiga screenshot...
Afisa Mwandamizi wa Benki ya NMB Tawi la Clock Tower idara ya Mikopo Jijini Arusha, George Kifaruka {43} mkazi wa Kijenge kata ya Kimandolu Jijini Arusha amepandishwa kizimbani na kusomewa shitaka moja la kumlawiti Mwanafunzi wa sekondari aliyechini ya miaka 17.
Akisomewa Mashitaka na Mwendesha...
NMB huduma za kibenki kupitia kwa mawakala imekuwa ni changamoto.
Unaweza kwenda kwa mawakala hata 5 mfululizo, kila mtu atakuambia mara huduma hamna, mashine hamna etc.
Sijui shida ipo kwa nani.
Yaani kama una shida ya haraka na hela yako lazima ukione cha moto, ukiachilia mbali ATM...
Position: Senior Specialist; Enterprise Architect (2 Posts)
Location: Head Office, HQ
Purpose: Leading the practice and introducing the overall technical vision for solutions that are intended to address specific business needs, requirements, or problems and to ensure successful implementation...
Position: Senior Network Specialist (CORE)
Location: Head Office, HQ
Purpose: Plan, organize and deliver cost effective, efficient, and highly available Core network infrastructure services that efficiently support Data, Voice, and Video
Main Responsibilities
Review and validate internal...
Position: Liquidity Risk Analyst
Location: Head Office
Purpose: To assist the Head; Market Risk to effectively assess and report on the Bank's liquidity risk.
Main Responsibilities
Develop and implement liquidity risk policy within NMB bank.
Develop liquidity early warning indicators and...
Benki ya NMB yazindua tawi jipya Buhigwe nyumbani kwa Makamu wa Rais Philip Mpango.
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango leo ameipa Benki ya NMB baraka zake na kuzindua Tawi jipya la Benki hiyo Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma na kuipongeza kwa uthubutu na kuwafuata Wananchi...
Hello bosses and roses....
"Security by obscurity" is for cowards, kwa sababu inaprove kwamba kuna loopholes nyingi na rahisi kupatikana kwenye hio system endapo nitajua au kuweza kufikia ulichokificha. Nikiwa nafanya security audit yoyote ile nikagundua developer ametumia sana 'secrecy' kwenye...
Ndugu zangu mtakuwa mashahidi nchi nzima hii benk imekithiri kwa kupangisha watu foleni.
Si mimi tuu hata msanii wa miondoko ya kufoka foka hapa nchini aliwahi kusema.
Tarehe 30/06 Tawi la kyela nilitumia masaa matatu mpaka kufika dirishani. Kuna muda nahesabu watu wapo kama 130 katika foleni...
Wadau nimeona serikali ikipokea gawio la hisa za Nmb bank na CRDB bank hivi karibu kama billion 45 hivi wadau kwa anayejua haya maswala ya hisa za hizi bank mbili ningeomba anifafanulie kidogo na vijana tufaidi uwekezaji wa taifa letu japo najua muitikio utakuwa mdogo karibuni wadau kwa michango...
Nichukue nafasi hii kwa kuipongeza NMB kwa gawio zuri kwa wanahisa wake kwa mwaka 2022/23. Naiomba CRDB iige mfano mzuri wa NMB kwa kutoa gawio inayoendana na uwekezaji wao. Gawio la CRDB ni ndogo sana na hii inawakatisha tamaa wanahisa wake. Hongera sana CEO wa NMB Mama Zaipuna.
Wahasibu mnisaidie hapa. Mwezi huu tumesikia CRDB wametoa gawio la 118bn kwa wanahisa wake, ambapo serikali yenye 21% imekabidhiwa 45.8bn. Kwa upande wa NMB wametoa gawio la 143bn na Serikali yenye 31% imepata 45.5bn. Hii kihasibu imekaaje, maana kihesabu za uwiano imegoma.
ALAT ni Jumuiya ya Tawala za Serikali za Mitaa...Association of Local Authorities of Tanzania
Benki ya NMB imefanikiwa kuchangia kiasi cha Sh. 200 milioni kwa ajili ya kufanikisha maandalizi ya mkutano mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za Serikali za Mitaa (ALAT) unaotarajiwa kufanyika kwa siku...
Aisee kuna hii branch ya NMB gomsi huwa najiuliza maswali nashndwa kuelewa. Branch iko mzambarauni karibu kabisa na gomsi means inahudumia population kubwa ya gomsi na maeneo jirani.
Lakini mazingira yake hasa kwa wateja wa nje wanaofanya transaction kwenye ATM huku nje ni balaa yan wateja...
Leo asubuhi nimeenda pale mliman city kusolve mambo yangu ya kibenki,nlichokutana nacho ni balaa.Kwanza wahudumu ni wachache sana hawakidhi mahitaji ukiangalia huu ni mwisho wa mwezi watu wamepokea mishahara yao.
Kingine hata viti tu vya kukalia pale kwa wateja wanaosubr customer care ni...
Nimemwambia mtu anitumie pesa kwenye akaunti yangu ya NMB. Baada ya nusu saa naangalia Salio hakuna pesa iliyoingia.
Nikamwambia aliyenitumia akasema anewapigia wamemwambia nisubiri masaa mawili pesa itaingia. Upuuzi Gani huu? Au tutumie mitandao ya simu tuwaache na upuuzi wenu?
Tanzania hii kuna shida sana taaasisi zake ni za hovyo kabisa. Unaomba mkopo wa boashara mara ya pili toka nmb kukupa tu ni tatizo ukiwauliza hawana majibu. Uneza kidhi vigezo vyote ila watumishi wake wanakuwekea urasimu usio na maana badirikeni la sivyo taasisi za nje zitatawala apa nchini...
wakuu wa jukwaa hili, heshima kwenu.
Kama kichwa kilivyo hapo juu, please nahitaji sana kueleweshwa kuhusu hii open bank project ya nmb bank ambapo unaweza kutumia APIs zao walizotoa kwa ajili ya ku utilize kwenye application/ system solutions zako unazo tengeneza kuwapatia clients wako nmb...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.