NMB Bank Nepal is a commercial bank in Nepal with headquarters in Kathmandu. The bank is licensed by central bank of Nepal, the Nepal Rastra Bank and has 163 branches across the nation providing retail and commercial banking services.
Recently, it acquired Om Development Bank.
The bank's shares are publicly traded in the Nepal Stock Exchange. The Bank has a joint venture agreement with Netherlands Development Finance Company (FMO) a Dutch development bank which holds 17% of the bank's shares and is the largest shareholder of the Bank.
Yapo maswali mengi hapa:
Je, Tanzania kuna magaidi?!
Usalama wa maeneo kama Kanisani na misikitini na hata penye mikusanyiko yenye idadi kubwa ya watu kuna usalama tena?
Habari wakuu.
Kama kuna mwenye uzoefu wa kupokea pesa kutoka nchi za Ulaya kupitia benki ya NMB anijulishe inachukua siku ngapi. Nilikuwa natumia CRDB zamani ilikuwa inaingia ndani ya masaa 24.
Habari wakuu
Nahitaji swift code ya benki ya NMB .Inasomeka NMIBTZTZ. Hiyo character ya tatu ni namba 1 au ni herufi I ? Napiga namba zao za customer care hakuna option ya kuongea na mhudumu!
Habari mimi ni wakala nahitaji mwenye machine ya uwakala ya NMB aliepo dar es salaam offer ni 700k kununua na kama mtu anayo basi niko tayari anikodishe ntampa 30% ya kamisheni itakayopatikana taratibu za kisheria za makabidhiano zitazingatiwa nakaribisha pm
Hawa jamnaa ukienda kwa madirisha YAO unakuta madirasha yapo kama mannne hadi Matano lkn linalofanya kazi ni moja tu.
And the gui yuko hapo is like anawashwa anaingia anatolia. Yupo slowly kama funzaa
Shame on you NMB
HR Business Partner
Dar es Salaam
NMB Bank PLC
Job Location : Head Office
Job Purpose:
To align business objectives with employees and management in designated business units. The position serves as a consultant to management on HR related issues.
Main Responsibilities:
Maintain an...
PATA ELIMU KIDOGO KUHUSU NMB & CRDB MAKATO
Maswali ya msingi kabla sijakuelezea makato
a) Kipi Bora kutoa hela kupitia kwa Wakala, ATM au Ndani ya benk (Over the counter)?
a) Kipi Bora kuangalia salio kupitia kwa Wakala, NMB mobile/CRDB Simbanking, ATM au Ndan ya benk (Over the counter) au...
Roho inaniuma sana, juzi nilichukua statement nikauta wamekata 11,000 kama government levy
Baadaye nikapita JF nikakuta taarifa kua kuna tozo ya miamala ya kibenki tangu july
Jana, nime withdraw kiasi cha pesa, then leo kupitia statement fupi nimegundua kuna 10,010 imekatwa tena kama...
Account yangu nimekuta kimepungua kiasi Cha elfu sita (6000). Wakati huo sijafanya muamala wowote.
Je, hiyo elfu 6000 imeenda Kwenye tozo au Kuna kitu gani hicho.Toeni ufafanuzi wananchi tuelewe na kama sio tozo na haihusiki na chochote tuwafuate mameneja wenu.elfu.
6000 ni ndogo kwa mtu...
Salaam kwa NMB au washirika wao wanaopitia humu kwenye jamvi.
Tofauti na Benki nyingine, kwa maslahi ya kibiashara majina siwezi kuyataja.
Naomba mwenye kujua ni tatizo la kiufundi au salio langu kwenye simu ni tatizo na kama kuna mwingine anapata tatizo hilo tjuane.
Ukiingia kwenye NMB...
Nilikuwa sijawahi kutumia hii huduma lakini sasa nilijaribu wiki mbili zilizopita na sikuangalia salio.
Muda huu nimepata bank statement kwenye email ndio naona hayo makato.
Tsh. 5,300 (NMB Tsh. 4,491.53 na VAT Tsh. 808.47) imenishangaza kukatwa zaidi ya asilimia 10 ya fedha niliyohamisha...
Benki ya NMB imetangaza kupata kupata faida ya shilingi Bilioni 298 kabla ya kodi ambayo ni sawa na mwaka wa 54 % ndani ya nusu ya kwanza ya mwaka 2022 tofauti na kipindi kilichoishia June 2021 ambapo ilipata faida ya shilingi Bilioni 193.
Baada ya kodi imeongezeka kwa asilimia 53 na mawazo ya...
Ni miezi sasa watumishi wanaotaka kuuza deni kutoka NMB kwenda mabenk mengine wamekuwa wakicheleweshewa balance zao ili tu kusudi wasikope huko kwingine isipokuwa NMB.
Watumishi hawa wana mipango mingi na hiyo mikopo wanayotaka kuichukua, na hivyo wataongeza mzunguko wa pesa mtaani.
Mathalani...
Salaam Wakuu,
Moja kati ya mambo yanayonishangaza ni kuwa Chama cha Walimu Tanzania CWT walianzisha bank yao inayoitwa Mwalimu Commercial Bank ila ajabu no kuwa hadi Leo mishaara ya walimu bado inapitia NMB na mikopo pia wanakopa kupitia NMB.
Napenda kuwaambia CWT kuwa wasitegemee maendeleo...
Job Location : Head Office
Main Responsibilities:
Recruit, run, and drive merchant acquiring business through selling of POS, E-commerce and QR codes. This will involve working closely with Zones, and Branches.
Share weekly, monthly sales reports and pipelines on new acquisitions to zonal...
Job Location: Head Office
Main Responsibilities:
Recruit, run, and drive merchant acquiring business through selling of POS, E-commerce and QR codes. This will involve working closely with Zones, and Branches.
Share weekly, monthly sales reports and pipelines on new acquisitions to zonal...
NMB imesitisha rasmi huduma ya salary advance kwa mwezi June, 2022.
Hii night kutokana na kukopwa kwa kiasi kikubwa na kusababisha kushindwa kujiendesha.
Mtumishi mmoja wa NMB anadai hali ni Tete katika bank hiyo.
Binafsi niwapongeze sana uongozi mzima wa National Microfinance Bank(NMB) chini ya uongozi wa Mkurugenzi Mtendaji Mama Zaipuna kwa kazi nzuri mnayoifanya na kutuwezesha sisi wanahisa kupata gawio kubwa na ya kutosha kwa kila hisa. Leo nimeingiziwa kwenye akaunti yangu siyo chini ya millioni...
Habari za leo wakuu:
Siku hizi mawakala wapya wa NMB wanasajiliwa bila ya kupewa zile mashine za kutolea risiti badala yake wakala anafanya kupitia simu yake ya mkononi hivyo mteja anaondoka na ile risiti moja ambayo ameijaza na wakala atagonga mhuri . Kwa wazoefu hii haileti changamoto kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.