Ukija kwa sasa nje ya Nyerere ambaye aliweza kukiri makosa yake kadhaa na kukosoa chama chake! Naona mwingine anayeweza kuthubutu ni Tundu A Lissu,
CHADEMA ni chama tegemeo la Ukombozi kwa Watanzania hasa wapenda mabadiliko,
Walianza kumbwera au kupoteza ushawishi kwa watu wenye misimamo mikali...