Heshima sana wana ukumbi,
Nimesoma maandiko mengi ya wanazuoni wa Kiislam ambao kwa miaka mingi wamekuwa wakimtwisha zigo Mwl Nyerere kama muasisi wa mfumo Kristo.
Katika tafakari yangu ta leo nimejikuta nikishangaa na kusikitika kwa wakati mmoja.
Muasisi wa mfumo Kristo alitengeneza mfumo...