nyimbo

  1. S

    Mtanzania ahamasisha maandamano Marekani kwa nyimbo za Kiswahili. Waandamaji wamuitikia kwa kuimba Kiswahili

    Mtanzania ahamisha maandamano Marekani kwa nyimbo za Kiswahili. Waandamaji wamuitikia kwa kuimba Kiswahili Serious nimependa sana. Kidogo kidogo kiswahili kitaenea tu.
  2. sky soldier

    Tuache utimu: Kuna nyimbo inayofikia hata "Matatizo" tangu Harmonize aanze kujitegemea

    Binafsi naona kijana nyimbo zake ndio ni nzuri ila tu kwa sasa zimekua na uzuri wa levo za kawaida tu, sio kama za yule harmonize tuliemjua wa kwangaru, firewaist, matatizo, n.k Kwa sasa kwanza niseme tu kijana kajipa mzigo mkubwa kwa hulka nazoweza kusema za kuonyesha watu kwamba anaweza zaidi...
  3. Fibonacci

    Naombeni List ya nyimbo za hiphop ya bongo, zilizokuwa mixed na nyimbo za zilipendwa (zile za zamani)

    Mfano nyimbo ya tamaduni music - Jemedari au NashMc - Mapendo...... Natanguliza shukrani
  4. el nino

    WCB waachia Dude linaloitwa Quarantine

    Hawa watu wajanja sana, wameachia wimbo wao mpya ambao nina uhakika utatrend sana kwenye mitandao hasa huu mpya Tiktok unaoongoza kwa kuwa downloaded hivi sasa. Wasanii wengine chukue somo hapo, maana mtalalamika mnarogwa/logwa kumbe mchawi wenu ni nyie wenyewe
  5. Analogia Malenga

    Mapambano ya korona: TEC yatangaza kusitisha matumizi ya kwaya kanisani

    Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania ‘TEC’ limetoa tamko kutekeleza agizo alilotoa Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa Aprili 15, juu ya kujilinda na #COVID19 kwenye masuala ya ibada TEC imeamua kusitisha mazoezi ya kwaya ili kuepuka mikusanyiko. Pia nyimbo wakati wa ibada zimesitishwa ili Ibada...
  6. mbutamaseko

    Toka Harmonize aondoke Wasafi nyimbo za Diamond zimekuwa na tungo za kawaida sana kama sio mbaya. Ni kweli Harmonize alikuwa mwandishi tegemeo?

    Ukifuatilia kwa makini utagundua tu hili. Tazama mashairi ya wimbo kama I miss u wa Diamond unauona kabisa uandishi wa Harmo. Cheki na nyimbo zingine kabla ya harmo kuondoka! Leo unakuja kuimbiwa wimbo kama gere melody mbaya, mashairi ya kawaida sana na ndio maana ulidumu kwa Sikh tatu tu...
  7. B

    Wasanii waungana kutoa wimbo wa kuelimisha jamii kuhusu Corona

    April 4, 2020 CORONA : WASANII WAUNGANA STUDIO KWA MARCO CHALI KUTOA NYIMBO YA KUELIMISHA JAMII Wanamuziki wakongwe wameamua kuingia studio ili kutengeneza wimbo maalum kuelimisha umma juu ya.janga la gonjwa la Covid - 19. Source : millard ayo
  8. Y

    Kati ya hizi nyimbo za Corona upi umekubamba?

    1. Corona ya Rayvany 2. Corona ya beka flavour 3. Corona ya Lava Lava 4. Corona ya Dogo Silla 5. Corona ya Mzee wa Bwax 6... 7.... 8.... Binafsi nimeilewa ya lava lava, ina melody kali mno sema ni vile dogo ana nyota ya kunguni kabisa no one who care about him. Je, upande wako ipi umeilewa?
  9. Wu-Ma

    Kwa nyimbo hizi, nachelea kusema Rayvanny ndiye King of Romantic Songs kwa sasa

    Leo nimeingia YouTube niangalie nin kinatrend Bongo, nikakuta wimbo wa Rayvanny unaitwa Ex Boyfriend, bonge moja la pini. Huyu mwamba nimempigia saluti anaimba vitu real sana na very romantic kwa kweli. Unasikiliza hata kama una stress zinakuhama kidogo. Kwa nyimbo hizi nimempigia saluti. 1...
  10. test man

    Naombeni majina ya nyimbo nzuri RC

    Please msaada jamani naombeni anayejua wimbo wowote mzur wa Roman Catholic
  11. chinchilla coat

    Eti nyimbo ya ''Usimchezee Chatu'' inamzungumzia kiongozi fulani wa nchi?

    Hii nyimbo nilikuwa naisikia nikiwa mdogo,kwa akili yangu nikaelewa kama anaimbwa chatu kweli kwani ni mnyama hatari tuliambiwa anameza watu Lakini leo hii nimesisikia tena lakini mashairi yake yanaonyesha kama haimbwi chatu kweli, ni kama anaimbwa mtu ambaye anapoteza watu maana kuna sehemu...
  12. Z

    #afroeastalbum... Thread maalum kupata update za album , tyari nyimbo 18 zimpostiwa na kondeboy

    Msanii anaekuja kwa kasi ya moto.. Harmonize amepost list ya track zitakazokuwepo kwenye album yake. Aisee kazi ipoooooo
  13. beth

    Rwanda: Msanii maarufu wa nyimbo za injili Kizito Mihigo akutwa amejinyonga ndani ya Kituo cha Polisi

    Polisi ya Rwanda imetangaza kwamba msanii maarufu wa nyimbo za injili, Kizito Mihigo amekutwa amejinyonga kwenye Kituo cha Polisi. Kwa mujibu wa tangazo la Polisi, maiti ya msanii huyo imepatikana katika chumba alichokuwa anazuiliwa kwenye Kituo cha Polisi mtaa wa Remera, mjini Kigali. Polisi...
  14. maji ya gundu

    Nyimbo gani umeshawahi kuzisikiliza 'non-stop' zaidi ya siku mbili?

    Habari zenu wapendwa katika mimi! Kuna wakati fulani unaweza ukaskiliza wimbo mmoja hata wiki nzima. Hii huwa inatokana na aina ya wimbo, pia huo wimbo umeutafuta kwa muda gani. Myself nina nyimbo ambazo nishawahi kuzisikiliza non-stop. Do Better - Chris's brown Die For You - The weekend...
  15. U

    Kati ya hizi Nyimbo za Diamond alizowaimbia Zari na Wema, zipi zilikuwa Kali, je ndo alipendwa zaidi

    Katika maisha ya mapenzi ya Diamond amekuwa akiimba nyimbo kali na za hisia hasa anapokuwa katika mahusiano. Kati ya wapenzi wake wawili tu ndo wameimbiwa nyimbo nyingi, yaani wema na zari. Sasa kwa kucheki ni collection ipi Ina nyimbo kali tunaweza jua nani alikuwa anapendwa zaidi akatungiwa...
  16. Da'Vinci

    Kuna wasanii hawajawahi kuimba nyimbo mbaya

    Hi guys.. Kuna wasanii wana bahati sana wao kila nyimbo wakiimba ni hit, au wakiimba inakua nzuri sana. Mimi wangu ni hawa.. Runtown G nako (akishilikishwa) Jux Celine Dion Enrique Iglesias Sia Katy Perry Paul okoye (Rude boy) Kala Jeremiah David Gueter Dj Snake Westlife P Square Lucky Dube...
  17. Extrovert

    Mwenye wimbo wa Sugua wa Jux naomba anitumie

    Wazee samahanini kwa kuwaingilia ndani ya masaa ya kazi. Nilikua naomba mwenye hilo Pini la Sugua lenye sauti ya juu. Maana copy niliyonayo mimi haina sauti af kila nikidownload nakutana na ile ile ambayo haina sauti. ==...
  18. Akili Unazo!

    Naomba Kujiunga na Kwaya Yoyote Yenye Nyimbo za Kugusa Mioyo ya watu

    Wakuu.. Navuviwa na Karama kuponya mioyo iliyopondeka kwa adha mbali mbali kupitia huduma ya uimbaji? Naomba kama kweli kuna Kundi ambalo linaimba kwa haki na Kweli na Nyimbo zao zina Gusa shida za watu na kupitia nyimbohizo Ushuhuda na Uponyaji hutokea naomba connections? Mimi ni mtunzimzuri...
  19. Justine Marack

    Marijani Rajabu vs Mbaraka Mwinshehe : hizi ndio nyimbo zinazo watoa droo

    Katika Mpambano ambao huwa ni Mgumu ni huu wa Hawa Miamba wawili wa Muziki wa kale. Unapo sikiliza basi akili na amoyo wako vitaegemea kwa unaye msikiliza. Hizi ndio Nyombeo zao zinazo toa Droo na kukosa Majibu. Inagawa kwa mimi Binafsi namuweka Marijani juu kidogo kwa ailimia tano tu yaani...
  20. Semeni People

    Siasa za Nyimbo: Maisha ya kuboresha ndani ya uoga asilimia 100

    Huwa wanaimba nyimbo za wanawake lakini ndiyo mfumo wa maisha ya Mtanzania kuwa ni kisiwa cha amani. Ikifika kwenye kuboresha vitu kama majengo, kilimo, uvuvi, mifugo n.k utakutana na ubaguzi mkubwa sana hapo ndipo episode za movie huishia tukutane kwenye movie nyingine. Hongera Kayumba huu...
Back
Top Bottom