nyimbo

  1. Its Pancho

    Producers wa sasa kina es2kizzy na Laizer, Abbah jifunzeni muziki mzuri kupitia bolingo za nyuma muache huu utopolo

    Kwa wale wapenzi wa muziki wa zamani bolingo japokuwa mimi sio old skool ila nimetokea tu kuzijua nyimbo nyingi kutokana na nature ya kazi nilizowahi kufanya na ninazofanya Ninachojiuliza zamani teknolojia kuwa ndogo lakini mbona bolingo hizo nyingi sauti na vyombo vimepangiliwa kwa ufasaha...
  2. Shadow7

    Wenye uhitaji wa nyimbo za kwaya ya ulyankuru mp3

    Nawasilisha.
  3. JOESKY

    Nyimbo nzuri za mahaba

    Mapenzi ni kitu ambacho kwa asilimia kubwa kinatawala katika nafsi ya mwanadamu. Amini usiamini kubali ukatae mapenzi yana thamani sawa na uhai wako. Mimi ninapokuwa niko free napenda kusikiliza nyimbo zifuatazo kwa utulivu na kwa hisia nzito nikitafakari mengi juu ya wapendwa wanaonipa amani...
  4. Kiminyio 01

    Majina ya hawa wasanii katika nyimbo hii..

    Wakuu kupitia nlivyoandika kuna mwenye idea ya hiyo nyimbo nimeshindwa kuiandika vyema nimeikutia mwishoni,sifahamu hasa namna ya kuiimba Am so soulaa enheee,shwai issh Manish ndolee,tikiittk mandole tikiitk mandole am so soulaa ehh wishu badnlldole ...
  5. May Day

    Hivi Wasanii hufaidika nyimbo zao zinapofanyiwa parody?

    Huko kwenye you tube nimeona parody kibao za Waah ya Mondi, ningetamani kujua kama anafaidika ama ni wanajifurahisha tu...ingawa Watu wanapata views kupitia hilo. Moja wapo hii hapa.
  6. TheDreamer Thebeliever

    Uzi wa walevi: Je, nyimbo gani unapenda kuisikia ukiwaumelewa?

    Habari wadau! Kautafiti nilichokafanya nimegundua kila mlevi na mnywaji kuna nyimbo huwa anaipenda kuisikia pale pombe inapokolea au anapokuwa anakunywa. "Nainua mkono mama kitambaa cheupee...hayo yote ni kitambaa cheupeee"- ni moja kati ya nyimbo ambazo nikizisikia kama nilipanga kunywa bia...
  7. P

    Navutiwa sana na nyimbo za Mwinjuma Muumini. Nisaidieni kunitajia baadhi ya nyimbo alizoimba nizitafute nisikilize

    Wakuu habari zenu. Wale wapenzi wa music wa dansi naombeni mnitajie nyimbo za huyu mwamba nizipakue mtandaoni tayari kwa kuzisikiliza. Shukurani kwa wote mtakaoonesha ushirikiano.
  8. S

    Sisikii sioni, Magufuli milele, hii sasa ndio imekuwa nyimbo yangu

    Yaani kila nikiiangalia CCM kusema kweli hawana anaeweza kumrithi Magufuli, hamna nikiwaangalia naona hawaiwezi kazi ambayo Mheshimiwa anaendana nayo, Sasa hata kule kwa wavaa makoti wala bata na pilau nako ndio yaleyale maji ya futi kwa nyayo. WaTanzania walio wngi sasa wameanza kuona matunda...
  9. Blue Bahari

    Kuna uhusiano gani kati ya nyimbo na uchungu wa nafsi?

    Habari za mwaka mpya wandugu. Natumai mko poa kabisa. Nina hoja ambayo nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu, kwamba inatokana na nini? Ni hivi, je umewahi kusikiliza wimbo fulani kisha ukajikuta unaanza kupatwa uchungu wa nafsi? Namaanisha unapousikiliza wimbo fulani unajikuta ni kama unataka...
  10. N

    Nyimbo mpya ya Harmonize(wapo) ni kali sana

    Goood guuud safi sana kali aiseee
  11. Mad Max

    WCB naona Nyimbo juu ya Nyimbo, Kuna nini?

    Naona mwisho wa Mwaka ndani ya Mwezi mmoja WCB wanaachia pini juu ya pini zaidi ya Nne ambayo sio kawaida. Lavalava ft Diamond Rayvanny ft Diamond Baba Levo ft Diamond Diamond ft Koffi Olomide Zuchu & Rayvanny Hizo tatu za mwanzo kama wanamshambuliana "Kibonge ila Kwenye Muziki Bado...
  12. Deejay nasmile

    Kuna aina ngapi za muziki?? Orodhesha unazozifahamu na baadhi ya nyimbo zake

    Mfano Sweete reggae --Busy signal-come over Hip hop--coolio-i see you when u get tgere Singeli---msaga sumu-mwanaume mashine Country-kenny rogers-gamble Rnb-chris brown-with you Morden Taarabu--jahazi-najiamin .... .... ..... ..... .... Tuendeleee
  13. FRANCIS DA DON

    Wimbo wa Diamond Platnumz - WAAH ndio nyimbo namba moja duniani kwa sasa!

    Yaani katika dunia hii ya watu karibu takriban bilioni 8, nyimbo ya kijana wetu, mTanzania mwenzetu, Diamond Platnumz - WAAH ndio nyimbo namba moja duniani kwa sasa. Wizara ya maliasili na utalii itumie fursa hii adhimu kuiambia dunia kwamba Tanzania ina nini cha kuwapa watalii, maana kila mtu...
  14. Nafaka

    Hivi category za nyimbo Bongo huwa inategemea kaimba nani?

    Vipindi vingi vya miziki ni Bongo Fleva, utasikia top ten ya bongo fleva. Hutosikia wanapiga sebene la Nyosh El Sadat wala Patcho. Ila sasa ikitokea Alikiba kaimba sebene kama Chekecha au Mwanadar es Salaam, au Diamond na sebene lake la Waah, utalisikia linapigwa kwenye hivyo vipindi. Sasa...
  15. GENTAMYCINE

    Akijua fika Mimi ni mwana CCM na Yeye ni mwana CHADEMA nimemtembelea 'Ofisini' Kwake kila mara ananiwekea tu hizi Nyimbo

    Nyimbo zenyewe ni kama zifutazo... 1. Tutatoana Roho Yarabi 2. Ujanja wa bure tu 3. Mwaka huu unalo 4. Mbabe kakutana na Mbabe mwenzake 5. Za Mwizi 40 6. Mwosha huoshwa 7. Malipo ni hapa hapa duniani Wewe Mtani wangu wa Kisiasa mwana CHADEMA hapo Mbezi 'Goigi' Mimi GENTAMYCINE mwana CCM...
  16. Bujibuji Simba Nyamaume

    Mchelea mwana kulia, hulia yeye. Tulimsifu kwa nyimbo na mapambio mwanetu, leo tunalia

    Huyu mwana wetu, hatukumwambia alipokosea, aliamua kufanya lolote atakalo, na hata alipofanya mabaya tukamsifu kwamba huo uovu wake aufanyao ndio uanaume wenyewe. Alianza kwa kuwatumia rafiki zake wa kutoka mbali tusiowajua kupoteza wadogo zake, akaenda mbali akafanya maovu makubwa, tukamsifu...
  17. Da'Vinci

    Nyimbo nilizozisikiliza mara nyingi 2020🙄

    Ifiatayoni nyimbo zangu nilizozisikiliza mara nyingi zaidi kwa mwaka huu 2020 Kutoka Tanzania nyimbo zangu bora mwaka huu ni.. Joh Makini ft Lady Jaydee _Kiwembe Darasa ft sho madjozi _ I like it Rayvanny _ Mama, Teamo Diamond_ Jeje. Napenda video tu na beat (Kwa orodha hii nafunga nyimbo...
  18. fungi06

    Nyimbo za Navy Kenzo zaniongezea wateja mgahawani kwangu

    Unajua kila alfajiri hapa nchini Ujerumani ninafungua kamgahawa kangu; ni kagari nimekafanya mgahawa unaotembea. Sasa kuna sehemu apa karibu nimepata location nzuri ina mchanganyiko wa watu, nikaamua nipaki gari langu aina Fiat ndogo. Nikashusha spika zangu kubwa mbili nika-play nyimbo ilivo...
  19. Decoration

    Hii nyimbo inaitwaje ya kinaigeria hivi siijui jina lake

    Ya kwanza niliitafuta sana aliimba fally ipupa na j martin Sasa hii ya pili inafanana na hiyo ila jina silijui ina kama sauti yake inasema "kibai bai baiii" jina tafadhali. Nyingine inaimba "....wanna make me gongoweo dondoweo dondoweo" halafu inamalizia kwa kuitikia "iye iye iye iye"...
  20. askofu rashid

    Kumbe wasomali wanajua kuimba nimependa nyimbo zao

    Katika pita pita yangu youtube nikakutana na nyimbo za wasomalia asee ni nzuri mno japo sielewi waimbacho ila nimependa nyimbo zao kuanzia melody,beat,uvaaji na sauti Hizo apo ni baadhi ya nyimbo zao.
Back
Top Bottom