nyoka

Nyoka the Jungle Girl is a fictional character created for the screen in the 1941 serial Jungle Girl, starring Frances Gifford as Nyoka Meredith. After the initial film, Nyoka appeared in comic books published by Fawcett, Charlton, and AC Comics.

View More On Wikipedia.org
  1. Mjukuu wa kigogo

    Hii ndio maana halisi ya biashara ya nyoka inalipa

    Mzigo ndio hivyo kama unavyoonekana kilimo cha nyoka kinalipa.
  2. Phdum

    Kwanini Wajita hawaui nyoka aina ya kifutu? Bado wanaamini katika nyoka hao?

    Kuna mila na imani nyingi saana potofu. Niliishi kwa wajita huko kijiji fulani karibu na kibara. Kuna siku nyoka mkubwa aina ya kifutu alionekana cha kushangaza badala ya watu kuanza kumshambulia walianza kukimbia kila mtu kutafuta njia yake. Baadae wakaja na mfuko eti wanambembeleza aingie...
  3. GENTAMYCINE

    Waziri Dk. Gwajima kumkamata huyo Dada wa Nyoka kwa Utapeli na kuwaacha Matapeli wa Kawe, Buza kwa Lulenge na Kimara Temboni ni Unafiki mkubwa

    Tena Mimi naona huyo Dada wa Nyoka ana Nafuu kwa huo Utapeli ila Matapeli halisi na Wezi wa Umasikini wa Watanzania wengi kwa njia ya Imani yao ya Uwongo na Kweli wako Tanganyika Packers Kawe, Buza kwa Lulenge na Kimara Temboni.
  4. Mto Songwe

    Angalia Treni za umeme zilivyolala hapa nchini China. Sisi tuna miliki nyoka wangapi?

    Duuh! Watu wapo mbali angalia machatu hapa chini Sisi kinyoka kimoja tu mpaka wachungaji na masheikh kukiombea🤡 Bado tupo nyuma sana inabidi tukimbie
  5. LA7

    Nimeng'atwa na nyoka ndotoni

    Poleni na majukumu watu wa humu, niende moja kwa moja kwenye mada, Tulikuwa watu zaidi ya watatu, tulikuwa kwenye eneo Kama mbuga hivi ambalo ni nyasi kwa wingi, Sasa ilikuwa ni Kama unachagua pa kukanyaga maana Kila baada ya hatua tatu ni nyoka wakubwa kwa wadogo, Ikatokea nyoka mmoja mkubwa...
  6. The unpaid Seller

    Msaada: Huyu ni nyoka wa aina gani?

    Peace, Wakuu jirani yangu amekua ananiambia hua anamwoma nyoka mkubwa nyakati za jioni akikatiza katika uzio wake. (Uzio unaotutenganisha) awali nilidhani ananitania maana manawake huwa waoga waoga tu akiona kijiti anaweza kusema nyoka au pia utani na masikhara Lakini kwa umri wake sio mtu wa...
  7. Mshana Jr

    Nyoka koboko

    Hapo ni Urambo Tabora na huyu ni Nyoka aina ya Koboko aliyeuliwa na wakulima. Koboko ndiyo nyoka hatari kuliko nyoka wote hapa duniani na hii ni kwa sababu ya mkusanyiko wa sumu kali alionao, nyoka huyu ana aina mbili za sumu ambazo hufanya kazi kwa pamoja na endapo mtu atang’wata basi ndani ya...
  8. Mhafidhina07

    Alama ya nyoka kwenye noti za mataifa huashiria nini?

    Nimesoma bibilia ya agano la kale mwanzo:2:15 mungu anamlaani nyoka kwa matendo yake na alijua kuwa ni mwerevu kuliko wanyama wote hivyo naweza kuchukulia maana hyo kwenye kutambua alama ya nyoka kuwa ni mdudu mwenye sumu kali na ukitaka kumuua tafuta kichwa. Je swali langu nyuka amepewa sifa...
  9. Robert Heriel Mtibeli

    Siasa za CCM ni kama Maisha ya Nyoka, kujichubua na kutaga mayai

    SIASA ZA SISIEMU NI KAMA MAISHA YA NYOKA, KUJICHUBUA NA KUTAGA MAYAI. Anàandika, Robert Heriel Mtibeli Aliyesema SISIEMU itadumu daima hakusema kwa bahati mbaya. Alisema huku akijua kuwa Ukoloni upo na mpaka leo unadumu. Ili SISIEMU ife itahitaji Ukoloni nao ufe. Nazungumzia Ukoloni wa wale...
  10. Robert Heriel Mtibeli

    Ndoa ni lazima kwa watu wanaotaka kuwa na familia na kizazi Bora, ila kizazi cha mbwa au nyoka Ndoa sio lazima

    NDOA NI LAZIMA KWA WATU WANAOTAKA KUWA NA FAMILIA NA KIZAZI BORA, ILA KIZAZI CHA MBWA AU NYOKA NDOA SIO LAZIMA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Kama hutaki kuzaa watoto na kuwafanya wawe watoto bora wenye malezi ya Baba na Mama. Basi kwako Ndoa sio lazima. Ndoa sio ishu ya Sex pekee. Sex...
  11. G

    Tuishi na wanyama vizuri: paka wangu kaua nyoka jioni ya leo, bila yeye nyoka angekuwa ndani ya nyumba na lolote lingeweza kutokea

    Mida ya jioni nikiwa nimetoka kwenye shughuli zangu nilifika nyumbani, nikaenda sebleni kupumzika, paka wangu nae alikuja miguuni kujizungusha zungusha kama kawaida yake nadhani huwa ni salamu yake kisha akarudi zake kupumzika kisehemu chake. Ghafla nikaona paka anaenda mlango wa kuingia ila...
  12. Engager

    Kuna hawa wadada/wanawake wa kuwa attached to Jesus. Kwa ground ni nyoka

    Ukipitia accounts zao kwenye mitandao ya kijamii ni mwendo wa 'Asante Jehova' hawaposti nyimbo za kidunia wao ni gospal kwa kwenda mbele. Kujisnap wanaimba vijimbo vya kusifu na kuabudu. Jumapili kama hii wanajiposti, gauni refu la kitenge, biblia mkononi wanakwenda kanisani uuuuh Wanawake wa...
  13. Mwamuzi wa Tanzania

    Ushauri: Kijana kama huijui kamari usiisogelee kabisa, kamari ni hatari zaidi ya hatari ya kuchezea nyoka

    Kamari Kamari Kamari Kamari nakuita mara 3, kamari iwe ya kubashiri mpira, kucheza madubwi ya mchina, au online casino maadamu tu inaitwa kamari hiyo ni sumu kali. Uswahili vijana wanazeeka hawaoi kisa kamari. Kamari inakupa tamaa ya mabilioni na magari ya kifahari halafu unaishia kuvisikia tu...
  14. Q

    CHADEMA shikilieni hapo hapo nyoka ameanza kutoa kichwa.

    Maridhiano yalitaka kuwatoa kwenye reli ila kwa sasa naona mmerudi kwenye mstari wenu ulionyooka, tunaiona Chadema tuliyoizoea. Hotuba ya jana imedhihirisha hilo, ni hotuba iliyojaa hofu iliyochanganyikana na hasira. Ametumia muda mwingi kuizungumzia Chadema kuliko kilichompeleka, ilionekana...
  15. Makonde plateu

    Fursa kwenye kilimo cha nyoka, karibuni

    KILIMO CHA NYOKA Achana na Matikiti sijui Kuku, sijui Vitunguu sijui Mayai ya kwale hili sasa ndio suluhisho, kilimo cha Nyoka ni suluhisho. Kwa mujibu wa hisabu za calculeter yng ya cm, hebu fikiria uwe na Cobra kumi, Cobra mmoja anataga Mayai 60 kwa mwezi na anatotoa. Ukichukua 60 mara kumi...
  16. gango2

    Leo ni siku ya Nyoka duniani

    Kama ulikuwa hufahamu: Leo ni siku ya nyoka duniani: Siku hii maalumu inatumika katika kuongeza elimu juu ya Nyoka: Siku ya leo pia inatumia kutoa elimu na kuongeza upendo kwa nyoka na kuondoa mawazo hasi juu ya nyoka. Kumbuka 1. Duniani kote kuna aina takribani 3,500 ya nyoka duniani kote 2...
  17. Bujibuji Simba Nyamaume

    Nyoka na kujamiiana: Kwanini anakonda wa kike hummeza wa kiume baada ya tendo?

    Ngono ni jambo gumu. Kadiri tafiti zinavyofanywa kuhusu ngono, ndivyo mambo ya kushangaza yanavyozidi kuja. Jesus Rivas ni mtaalamu wa nyoka anayefanya kazi katika Chuo Kikuu cha Mexico Highlands nchini Marekani. Hivi karibuni Jesus alijifunza jambo la ajabu kuhusu maisha ya ngono ya nyoka...
  18. Mzee Mwanakijiji

    Wazo la Leo: Aliyeumwa na Nyoka...

    Tatizo siyo DP World, tatizo ni kumbukumbu zetu. Sababu zinazotolewa ni zilezile na serikali inayotoa ni ya Chama kilekile; NBC TANESCO ATC TRC -NUDA Mwisho wa siku tukajikuta tunarudisha mikomoni mwa "Wazalendo!" Hili la bandari ni majaribio yaleyale ya kushindwa kwetu? Mkataba...
  19. L

    Wazee huyu ni nyoka aina gani?

    Eti huyu nyoka anaitwaje?
  20. jamesandrew

    Nyoka ni alama ya Tiba na Uponyaji ndio maana taasisi nyingi za Tiba hutumia nembo ya Nyoka

    Nyoka ni alama ya Tiba na Uponyaji ndo maana taasisi nyingi za Tiba hutumia nemboya Nyoka. Hata Shirika la Afya Duniani WHO linaumia nembo ya nyoka, waganga wa jadi wanafuga nyoka wa kutosha, hata kwenye nembo ya hospitali ya Muhimbili kuna chata ya nyoka, Noti ya shilingi mia tano pia ilikua na...
Back
Top Bottom