nywele

  1. Intelligent businessman

    Hivi ni kwanini wanasayansi wengi walifuga nywele ndefu?

    Salaam wakuu, katika kujifunza kwangu nimekuwa nikijifunza Mambo mengi kuhusu uvumbuaji wa vitu mbalimbali. Lakini kuna kitu kimoja mpaka Sasa sijakielewa?, hii ni kuhusiana na wanasayansi wengi wanaosifika kuwa na akili kubwa, basi wengi wao walifuga nywele ndefu. Je, kuna siri yoyote...
  2. Bridger

    SI KWELI Nywele na kucha za mtu huendelea kukua hata baada ya kufariki

    Siku chache baada ya kufariki nywele za mtu pamoja na kucha zake huonekana zikiwa zimeongezeka urefu. Jambo hili huonekana mara nyingi sana, linaweza pia kuthibitika kwa kutazama masalia ya binadamu yanayoibuliwa kila kukicha. Baada ya kufariki, sayansi inasema kuwa ukuaji wa kiumbehai...
  3. Mganguzi

    Huyu Clement Mzize ni Hallaand mtupu, tofauti yao labda nywele na rangi tu!

    Hili dogo linatisha! ukimuangalia kwa haraka haraka urefu wa miguu yake kama nkwazi. Huwezi kabisa kumtofautisha na mshambuliaji wa man city earling hallaand! derby ije haraka! Hawa madogo ndio tunawataka taifa stars!
  4. Kalpana

    Dawa ya nywele zilizokazwa sana ni nini?

    Jamani hapa nataka nifumue ila hela yangu inauma, lakini naumia kila upande haufai kwa kulala, yaani nikilalia paji la uso ndo naona afadhali. Usiku wa leo ukiisha sitakaa kusuka tena nywele za kuumiza hivi aisee. Au nyie warembo mnazipozaje? Maana!
  5. MK254

    Iran: Aliyeishi miaka 54 bila kuoga afariki dunia

    Mwanaume wa Iran ambaye ameishi zaidi ya miaka 50 bila kuoga, hatimaye ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 94, ila huko huko Iran, mwanamke aliuawa kisa kipande cha nywele kilijichomoza kwenye ushungi.... An Iranian man nicknamed the "dirtiest man in the world" for not taking a shower for...
  6. MK254

    Mwanariadha mwanamke wa Iran apokelewa kwa shangwe ila wapo wanaomsubiri kwa kutositiri nywele

    Alipambana na kukamilisha mchuano nywele zikiwa nje akiwa huko Korea, sasa amegeuza nyumbani Iran na kupokelewa na maelfu ya wananchi amao wamechoka dhuluma za kidini, ila pia majihadi yanamsubiri hivyo maisha yake yako hatarini.... Iranian competitive climber Elnaz Rekabi received a hero's...
  7. NetMaster

    Jinsi nilivyotapeliwa na wakushi ambao hutumia uchawi/mazingombwe ya kumtemesha mtu nywele na kucha

    wanakupumbaza akili kwa madawa ya kienyeji ama technique wazijuazo wao na kukufanyia mazingaombwe ya kukutemesha kucha au nywele, huwa wanakua wawili mmoja anajifanya anauliza sehemu mwengine anajifanya mpita njia. Mkasa wangu niliwahi kumsimulia mtu moja tu wa karibu sana, wengine huwa...
  8. JanguKamaJangu

    Iran: Waliouawa katika maandamano wafika 76

    Inaelezwa kuwa idadi hiyo imefikiwa ndani ya siku 11 na shutuma zikienda katika vyombo vya usalama, ambapo Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Iran (IHR) limedai nguvu kubwa inatumika kuzuia maandamano . Mamia ya waandamaji wakishikiliwa, 20 kati yao wakiwa waandishi wa habari na yameendelea...
  9. MK254

    Maandamano Iran: Vifo vyafikia 41 baada ya kisa mwanamke kufia mikononi mwa polisi kwa 'kutojisitiri'

    Nchi inaendelea kuwaka moto, watu wamechoshwa na uzombi wa kidini, na badala ya serikali kutafuta suluhu imekimbilia kulaumu Marekani na Israel kama ilivyo mazoea yao. ========= The number of people killed in Iranian protests that were sparked by the death of a woman in police custody rose to...
  10. MK254

    Maandamano Iran: Hadi watu 35 wamekufa baada ya mwanamke kufia mikononi mwa polisi

    Mwanamke kuuawa kisa kijisehemu cha nywele zake kilionekana wazi, imesababisha wa-Iran waseme imetosha, uzombi wa kidini hawautaki tena. Miji 80 ya Iran inatamalaki waandamaji. Nilishangaa sana FaizaFoxy anatetea huu ukatili kwa wanawake wenzake kisa mzuka wa kidini. ===== Large protests...
  11. Donatila

    Nywele na kitovu cha mtoto hupelekwa wapi?

    Habari wakuu, Husika na kichwa cha habari hapo juu, Nywele za watoto wachanga zinaponyolewa huwa zinapelekwa kwa nani na kwanini? Pia kumekuwa na kitovu cha mtoto kimekuwa kikichukuliwa huwa wanapeleka wapi? Pia wanaochukua kitovu na nywele wanazifanyia nini? Haya maswali nimejiuliza ni...
  12. Uhakika Bro

    Angalizo: Mafuta ya kuotesha nywele na mafuta ya kuotesha ndevu ni vitu viwili tofauti

    Baada ya kutumia muda mwingi kutafiti [kigooglegoole] masuala ya nywele na upara na mambo yanayohusiana na hayo, basi leo nimehamishia udadisi wangu JF. Katika kupitiapitia baadhi ya nyuzi nimegundua kuna watu hasa kwa kutojua wamekuwa wakishauri vitu kuhusiana na upara katika namna...
  13. baiser

    Ndoto hii ina maana gani? Je, ni walking dead?

    Ndugu wana JF, mwezi wa.12 /2020 nilifiwa na mamangu mzazi. Leo saa Tisa na dakika kumi usiku (12/5/2021) nimeota ndoto niko na mdogo wangu nashusha mteremko kwa miguu nikitokea mjini Iringa kuja Ipogolo maeneo ya kitanzini tumekutana na mama akiwa kabeba kikapu chake anapandisha mjini yaani...
  14. sky soldier

    Kuna ukweli wowote katika aina hii ya utapeli?

    Huu utapeli hakufanyika kwa Tamaa kama ilivyozoeleka na ndipo napopata mashaka. Ni ndugu yangu wa karibu naemwamini sana, nilimtumia pesa laki 6 anunue laptop kwajili ya chuoni. sasa nikawa nafatilia hio laptop naona ananipiga sana chenga, nikafikisha hii kero kwa mama yake ambae ni mamdogo...
  15. mama D

    Hili la wanawake kwenda salon za kunyolewa nywele za sehemu za siri (Waxing) limekaaje?

    Sijui ni ushamba wangu au ni nini ila mimi binafsi nawaza mtu mzima mwenye miaka ya kutosha ati kila nywele zikikuota unaenda kuchanua makwapa na kipochimanyoya saloon; ati unyolewe na mtu mzima mwenzio, mwanamke au mwanaume kwa malipo! Tena unayolewa kwa kusuguliwa haswaaaa. Hili jambo...
  16. Red Giant

    Jinsi walivyokunywa supu ya nywele

    Miaka kadhaa iliyopita nilisoma kitabu kimoja juu ya wafungwa wa kivita wakati wa WWII. Huyu jamaa alikuwa ni mmarekani aliyekuwa anaishi Ujerumani. Baada ya Warusi kuingia Berlin, wakambeba wakimtuhumu kuwa mNAZI. Akiwa gerezani njaa ilikuwa kali sana. Walikuwa kila siku wakati wa msosi...
  17. Bujibuji Simba Nyamaume

    Nywele za bandia kwa wababa wenye vipara

    Tayari mchina kishafanya yake. Wale wababa na wakaka wenye vipara wasiopenda vipara vyao, sasa mmeletewa nywele za bandia. Kazi kwenu.
  18. Doctor MD

    Litambue tatizo la nywele kukatika au kunyonyoka kwa wanawake

    Kwanza awali ya yote napenda uelewe kwamba Kichwa Cha binadamu kinaunda na vishikizi vipatavyo 100,000 Hadi 300,000 ambapo kuptia vishikizi hivi nywele huota Nywele huota kutokana na sababu zipatazo mbili kuu ambazo ni pamoja na homoni na virutubisho ikiwemo vifamin mbalimbali na madini ya...
  19. K

    Nimemuambia wife awe anasuka style hii ya nywele ili ku-save cost, kaishia kunisunya na kunibinulia midomo

    Kwema ndugu zangu watanganyika? Kutokana na mimi kupitia changamoto za kifedha kwa sasa, nilimuomba Wife tupunguze gharama za uendeshaji wa maisha yetu kwa kujibana sana, pendekezo langu la kwanza nilipendekeza Wife anyoe nywele zake alizosuka, akajitetea kwamba nywele zake katumia karibia miaka...
  20. J

    Kuwa wakala wa nywele bandia kama weaving, laster, wig n.k

    Nataka kuwa wakala wa nywele bandia za makampuni ya hapa Tanzania mfano daring hair, prima hair n.k. Mwenye uzoefu wa biashara hii na pia utalatibu wa mchakato mzima pamoja na kianzio cha mtaji kila company anisaidie. Nitashukuru sana.
Back
Top Bottom