nywele

  1. Sky Eclat

    Faida za kutumia mafuta ya mzeituni (olive oil) kwenye kichwa dakika 30 kabla hujaosha nywele

    Olives are a wonderful fruit native to Mediterranean Europe. They are also cultivated in many other regions of the world nowadays. Some of these including North and South America, South Africa, China, India, Australia, and New Zealand. But olives’ health benefits tend to fly under the radar, as...
  2. F

    Akili ni nywele

    Tukio siyo halisi. Mtanzania mkazi wa Kijiji cha Kowak (a.k.a Home of Intellectuals) Wilayani Rorya Mzee Sebastian Obaso Ogutu (70) amedakwa na Polisi Migori–Suna County Kenya kwa kosa la kujisaidia haja ndogo na kubwa sehemu isiyoruhusiwa kwenye mtaro wa barabara kuu ya Migori–Isebania. Baada...
  3. C

    Afanya upasuaji kwa kuweka cheni zenye dhahabu kichwani kwake kama nywele

    Rapa kutoka Mexico, Dan Sur @dansurig amefanyiwa upasuaji na kuondolewa nywele zake kichwani na kuwekewe cheni za dhahabu. Dan Sur anasema alitaka kufanya kitu tofauti, kuwa binadamu wa kwanza kuwa na cheni za dhahabu kichwani badala ya nywele, "Hizi cheni zimewekwa ndani ya ngozi yangu, mimi ni...
  4. KAGAMEE

    Baada ya matumizi ya superblack nywele zangu zimeharibika

    Wakuu habari za weekend? Niende moja kwa moja kwenye mada yangu. Mwanzo nilikuwa na nywele nzuri kiasi (kipilipili)baadae nikaona niwe napaka super black. Cha kushangaza nisipopaka super black nywele zinakuwa nyekundu (imagination). Hii ilipelekea kuwa mtumwa wa super black, hali hii inaniboa...
  5. nover

    Mke wangu amenyoa nywele na zilikuwa zinanivutia sana

    Habari wakuu, mimi sio mgeni jamiiforums mara nyingi hapenda tu kuangalia nyuzi za watu na kuchangia inapobidi.Leo nimeona niwashirikishe yaliyonisibu Nipo kwenye ndoa zaidi ya mwaka sasa na kati ya vitu vilivyonivutia na vinavyonivutia sana kwa mke wangu kwakweli ni nywele zake zilivyo ndefu...
  6. Mtoto deko

    Leo tuongelee nywele kidogo

    Wapendwa naombeni mwenye kujua nywele zangu niliweka dawa na ni fupi ila sio sana natamani ziwe kama hivi[emoji116][emoji116] Je, zitakuwa nzuri kweli?
  7. alcacer

    Nywele zangu zimekuwa za brown, naomba msaada zirudie rangi nyeusi

    Nisaidieni nywele zangu zimepoteza ublack sasa hivi niza brown nafanyaje kuzirudisha katika hali yake ya kawaida?
  8. Meneja Wa Makampuni

    Anaondoaje tatizo la kuwasha nywele kichwani baada ya kusuka?

    Habarini za leo marafiki. Ndugu zangu mwenzangu ana tatizo la kuwasha nywele kichwani baada ya kusuka. Anaondoaje tatizo la kuwasha nywele kichwani baada ya kusuka.
  9. BAK

    Madaktari waeleza umuhimu wa nywele sehemu za siri

    Madaktari waeleza umuhimu wa nywele sehemu za siri Dar es Salaam. Wataalamu wa afya nchini Tanzania wamesema nywele sehemu za siri hazitakiwi kuondolewa kutokana na umuhimu wake hasa kuzuia bakteria na wadudu mbalimbali kuingia mwilini. Wamesema kulingana na tafiti mbalimbali zilizowahi...
  10. C

    Nywele kubadilika rangi na kuwa za Rangi nyekundu au ule weusi wa nywele kufifia

    Habari wakuu? Nina changamoto ya nywele zangu kila zinapokuwa na kufikisha urefu wa karibia sentimita 2 hivi huwa zinabadilika rangi na kuanza kuwa nyekundu au pengine ule weusi wa nywele kufifia. Sasa wakuu ni vipi naweza kuzifanya nywele zangu zikaendelea kuwa na rangi yake nyeusi ya asili...
  11. Hornet

    Wanawake baada ya nywele tukumbuke na miguu pia

    Wanawake ni kundi lenye majukumu lukuki katika siku, pamoja na majukumu hayo usafi na urembo ni jambo muhimu pia. Wanawake wengi wamekuwa wakizingatia zaidi nywele na uso huku wakiacha miguu na kucha zake vikibaki kwenye hali taaban, Unakutana na mdada kasuka knotless kachora wanja wa lulu...
  12. Saint_Mwakyoma

    Je, Mitindo ya nywele kwa wanawake inatosha kukujulisha tabia zao?

    Pamekua na wimbi kubwa la vijana haswa tulio katika muda wa kuchagua yupi wa kufunga nae pingu za maisha, kuhofia wanawake wanao weka style fulani fulani kwamba hawajatulia au wakorofi nk. Ningependa kujua wewe mwenzangu unatafsiri vipi hii mitindo ya nywele.
  13. A

    Vibanio vya nywele vya kisasa kabisa

    Habari Karibuni vibanio vya nywele kwa bei ya jumla Tsh 7000-10000 popote ntakutumia kwa uaminifu mkubwa. Karibu upendeze na vibanio vya kisasa kabisa
  14. Bushmamy

    Hizi ni nywele zangu lakini nataka ziwe katika style hii , nifanyeje?

    Nywele zangu ni natural na huwa Napenda kuosha saluni na kuzibodrai huko huko. Kwa sasa najaribu kuchana aina hii ya style lakini inagoma sijui hawa walitumia nini kuziweka kama zilivyoonyeshwa hapa chini. bushmamy
  15. Waterbender

    Msaada wa mafuta ya kufanya nywele zangu ziwe laini na nyeusi

    Nywele zangu ni ngumu na zinavozid kukua zinakuwa brown in colour. Kama kuna anaejua mafuta mazuri ya kuzifanya ziwe rahisi hata kuchanika anitajie (lain na kuretain colour)
  16. mambali

    Kuna madhara yoyote ya kunyoa nywele za kifuani(GARDEN LOVE)?

    HABARI WAKUU MBALIMBALI; Kuna mdau kanielezea yeye hapendi nywele za kifuani so toka zimeanza kuota amekuwa na tabia ya kuzinyoa kila ikifikia level flani ni kwa muda sasa amekuwa akifanya hivyoo, anauliza je kuna madhara yoyote yanayoweza kutokea hapo mbeleni???
  17. Dr. Zaganza

    Business Partner Anahitajika Katika Upanuzi wa uzalishaji Sabuni za ngozi na Mafuta Ya Nywele

    Namshukuru Mola tumeweza kwa muda wa miaka 5 kuzalisha na kusambaza mikoani bidhaa 5 za ngozi na nywele. Sasa wingi wa oda kwa mawakala wa mikoani, unafanya tushindwe kuwahudumia kwa wakati kwa upungufu wa mtaji. Tumeweza zalisha bidhaa 5 ambazo ni 1.Udongo tiba 2. Sabuni za udongo 3.Lotion...
  18. Dr. Zaganza

    Business Partner Anahitajika Katika Upanuzi wa uzalishaji Sabuni za ngozi na Mafuta Nywele

    Namshukuru tumeweza kwa muda wa miaka 5 kuzalisha na kusambaza mikoani bidhaa 5 za ngozi na nywele. Sasa wingi wa oda kwa mawakala wa mikoani, unafanya tushindwe kuwahudumia kwa wakati kwa upungufu wa mtaji. Tumeweza zalisha bidhaa 5 ambazo ni 1.Udongo tiba 2. Sabuni za udongo 3.Lotion 4...
  19. Miss Zomboko

    Ubaguzi wa rangi: Tangazo la nywele lasababisha maandamano

    Waandamanaji nchini Afrika Kusini wamewalazimisha wenye maduka ya dawa na vipodozi kufunga maduka yao, baada ya kurushwa kwa tangazo la nywele ambalo wanadhani kuwa la ubaguzi wa rangi. Tangazo hilo linaonesha picha za nywele za kiafrika zikiwa kavu na hazina muonekano mzuri wakati nywele za...
  20. Mkogoti

    Wewe dada mwenye nywele ndefu halafu una ndugu Mwanza nimejua ulikuwa unaniongopea?

    Story ipo hivi huyo dada nilikutana naye pande flani hivi maeneo ya Sokoni ilikuwa Jumapili jioni, nikamwomba namba akanitoa kiroho safi. Mahusiano yetu yakaanza tumekaa kama miezi mitatu kama sikosei. Sikuwa namtafuta maana namba yake ilikuwa haipatikani mpaka nikaona ngoja nitulie kwanza, ila...
Back
Top Bottom